Amesema atarekebisha jamnHivi mbona producer laizar kule kwa wazazi wake kigoma kunatia mashaka ukilinganisha na label(WCB) kubwa ambayo anafanya nayo kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mbona producer laizar kule kwa wazazi wake kigoma kunatia mashaka ukilinganisha na label(WCB) kubwa ambayo anafanya nayo kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
We acha kujifanya unajua watu we mbosso umewahi kumuonea wapi?Mbosso akijitegemea angekua mbali zaidi. Nyumba yake binafsi na gari kali zaidi. Sio ile Lexus ya mkopo kutoka WCB
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi, maybe kwakuwa sikubali aina ya uimbaji wake.Hizo nyimbo zake zote ulizotaja sizifahamu...japo nasikia ni mwanamziki
Hata mimi, maybe kwakuwa sikubali aina ya uimbaji wake.
Yeah, sijawahi kuzipenda.Mie kupitia huu uzi nimejua nyimbo zake...ziko kama taarab,sio nzuri hata
Is music a universal language? Ndio but sio kwa 100% kwanini?
despacito imeimbwa kiispanyola na wasanii wakubwa ambao wameshakita mizizi kwenye muziki globally, nchi zinazozungumza kiispanyola ni nyingi sana karibia Latino america yote wanazungumza kiispanyola plus Hispania vyenyewe so ni rahisi muziki wao kupenya, wakongo : wakongo wanaimba kilingala,kiswahili na kifaransa, kifaransa ni international language inazungumzwa afrika na nchi tu inazungimzwa ulaya so ni rahisi wao kupenya, wahindi waliliteka soko la dunia kupitia movies then nyimbo zao tukazijua kupitia muvi zao na nyimbo zote za kihindi zilizopenya na kuhit bongo hata worldwide tulizijua kupitia muvi zao na ndio maana mpaka Leo kuna watu wanaamini zile nyimbo zimeimbwa na kina sharukan,salman khan,ajay devgan,akshay Kumar n.k nikikuambia unitajie hao wasanii walioimba hizo nyimbo huwezi kuwataja labda u google nje ya hizo movie zao unamjua mwanamuziki gani wa India? India kwenye soko la dunia inajulikana dunia nzima katika nyanja mbalimbali za burudani na michezo mfano kriketi n.k sisi Tanzania hatujulikani popote muziki wetu bado uko chini sana yaani sana tu kwenye soko la dunia lugha tunayotumia inazungumzwa east Africa tu ukienda duniani huko hawaijui lugha ya kiswahili na wachace wanaoijua wanadhani ni ya Kenya unaanzaje kupata attention na kupenya ulaya bila kitumia lugha wanazozielewa au wasanii wenye soko ulaya na marekani,uarabuni i mean asia? Hapa Africa nchi zinazoelewa na kuzungumza lugha ya kifaransa na kiingereza ni nyingi kuliko zinazoelewa na kuzungumza kiswahili, unapenyaje? Halafu sisi muziki wetu ni fusion yaani mchanganyiko wa muziki mingi bado hatuna muziki wetu hata Nigeria nao muziki wao ni fusion watu kwenye muziki wao hapa afrika ni south afrika wana kwaito yaani ukisikia tu mdundo unajua hii kwaito haifanani na muziki mwingine
Mbosso akijitegemea angekua mbali zaidi. Nyumba yake binafsi na gari kali zaidi. Sio ile Lexus ya mkopo kutoka WCB
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo nyimbo zake zote zinafanana ila ni msanii mkali sana Mbosso.. zima feni (nipepee) [emoji91]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujitegemea kimuziki sio mchezo mangi,unaeza jikuta hata video Kali huna hela ya kushoot na usipoangalia utashoot kwa simu ya tecno boom j7,studio yenyewe ya kuingiza sauti utatafuta producer wa elf 50,unavyoona msanii anatoa ngoma Kali na kideo kikali kipo utube ujue hajatoa hata kumi yake,Bali ni uongoz wake unahusika kwa kila kitu,hadi mavazi,, yeye atakatwa kwenye pesa zinazoingia kupitia muziki wake,sema wengine wanakata sana hadi msanii anaishi kwa shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni uchawi wa kiwango cha lami.Mie kupitia huu uzi nimejua nyimbo zake...ziko kama taarab,sio nzuri hata
Hivi kuna nchi ukikubalika ndio anakuwa international na kuna nchi hata ukubalike bado anakuwa local?Tukubali tukatae, mbosso hayupo ki international yeye anafit kwenye soko la local pekee na mwenzake lavalava. Inshort wasanii wa wcb waliokuwa kiinternational ni harmonize na rayvanny tu bas. So kama ni karata ya kimataifa basi lavalava na mbosso ni magarasa when it comes to business.
Huu ni uchawi wa kiwango cha lami.
Uzi haujawekwa audio wala video ila umekufanya umezijua nyimbo zake zote ambayo ukuwai zisikia na ukaona zote sio nzuri.
Punguza upunguwan aisee.
Diamond angemsaini Aslay,WCB ingeparaganyika mapema sana,Kajamaa ni kasnitch flan halaf jeuri na kujiona mkubwa saaana...hili ndo linamfelisha katika kazi zake.Msanii mbosso Khan a.k.a Mr romantic au unaweza kumwita jina lingine muhindi wa kibiti amefurahia kufikisha miaka 2 tangu ajiunge na record label kubwa ya WCB na tangu hapo ameteka mioyo ya watanzania wengi kwa nyimbo zake zenye ufundi wa uandishi pamoja na sauti yake nzuri.
Wakati anasigniwa na WCB mashabiki wengi wa WCB walionesha kutomkubali kabisa walitegemea diamond atamsign aslay na si mbosso kwa kudai sio level ya WCB mpaka ikapelekea kumshambulia maneno makali diamond kwa kusema amemleta kimeo.Hii suala ilipelekea diamond atumie nguvu kubwa kuwaaminisha mashabiki mboso ni msanii mkali na anafit kwenye label yake.
Baada ya muda mfupi mbosso akaanza kutoa ngoma Kama nimeikubali,nimekuzoea za zenye ladha ya bongo fleva zinafanya vizuri but baadhi ya watu bado wakaonesha mboso afahi kuwa WCB lakini alivyotoa ngoma ya alele taratibu mashabiki wote wakaanza kumwelewa kuanzia hapo akateka mioyo ya watu na akaanza kutoa rasmi ngoma zenye ladha ya kihindi ndani yake na sasa amekuwa Moja ya msanii mkubwa nchini Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania
MAFANIKIO YAKE
1. kwa miaka Hiyo MIWILI ameweza kuwa nominees kwenye tuzo nne za nje ya nchi ikiwemo tuzo ya Afrima
2. Amefanya show si chini ya 70 ikiwemo show ya visiwa vya Mayotte wenye kuongea lugha ya ufaransa ambapo amekuwa msanii wa pili pekee ukimtoa Diamond kutoka Tanzania kufanya show hapo nakufanikiwa kujaza uwanja.
3. Nyimbo zake kuwa hit song kila aliyoreleese na pia kuwa na viewers wengi Kama hodari Ina viewers 22 million, Nadekezwa Ina viewers 16 million, Tamu Ina viewers 12 million,Nipepee Ina viewers 11 million na nyimbo zake zingine.
4. Moja ya msanii ngoma zake zinauza Sana kwenye platform tofauti ikiwemo spotfy ambapo ame kuwa stream 10.5 mil na kusikilizwa na nchi 50 tofauti tofauti.
NB: Mboso akupekewa vizuri kwa Mara ya kwanza Kama wasanii wengine wa WCB Rayvanny, Harmonize, Lavalava na Mavoko lakini akawa prove watu wrong namtakia kila la kheri kwenye career yake ya mziki.
sio lazma uzipende weweYeah, sijawahi kuzipenda.
Soma vizuri uelewe nimeongelea nguvu ya hayo mataifa kwenye soko la muziki duniani ni kubwa(namaanisha muziki wao ulishasambaa dunia nzima miaka kibao iliyopita) na lugha wanazotumia ni lugha ambazo zinazungumzwa dunia nzima na watu wengi kwa mfano equatorial Guinea wanazungumza kiispanyola despacito wanaielewa vizuri you see? Tanzania watu wengi tu wanajua kiingerza na kwa asilimia kubwa tu wanaelewa kinachoimbwa hata km sio kwa 100%, Kwani wabongo peke yenu ndio mnaosikiliza hizo nyimbo? Na sio wabongo wote hawaelewi wapo wengi tu wanaoelewaMaelezo mengi lakini bado hujaonyesha kuwa muziki unapendwa kwa sababu lugha inaeleweka.
Haya, wabongo tunaopenda hizo nyimbo za hayo mataifa yote uliyoyataja tunaelewa kinachoimbwa au tunafeel tu vibe lake?
Prakatatumba ina maana gani?