Miaka Zaidi ya 60 Baada ya Uhuru,Tanzania Imeshindwa Kuondoa Mizizi ya Ukoloni Kwa Nchi kuwa tegemezi wa Uchumi na Mapato Kwa Jiji Moja tuu la Dar

Jadili sabubu za kuwezesha kuwapunguza na kuwadhibiti
 
Je sabubu ya kuwapinguza na kuwadhibiti
We Jamaa ni ngumu kuelewa.Sababu zinazosababishwa mrundikano Dar ndio inatakiwa kujengwa Mikoani japo Jiji Moja Kila Kanda Wala hutoona huo mrundikano
 
Swali fikirishi je ni mkoa gani Tanzania ambao una watu wengi zaidi ukipata jibu mimi kama mfanya biashara nitawekeza huko
Mkoa wenye watu wengi , kaangalie takwimu kabla ya uhuru halafu angalia uwiano wa watu ....Zamani wasomi wengi walihamia Dar kweny chuo kikuu hata viongozi walihamia Dar na kuacha mji yao ...Hii ilitokana na miundombinu mingi kujengwa huko , ikiwa ni pamoja na vyuo na sehemu za biashara .


serikali ilishindwa kufanya ushambazi wa vyanzo vya kiuchumi na kusababisha watu kusambaa sana , utakuja kuona kuna mikoa ilikuwa na watu wengi baadae wahamia kuziendea fursa .....Nyerere alifeli pakubwa hapa ila viongozi wa leo ndio yale yale , wote hawajui wafuatalo .


kwa sasa nenda Dodoma ndio serikali imeelekeza nguvu huko , wanatoa bil 34 kujenga jengo la makumbusho ili mradi tu Dodoma iwe na mejngo mengi .
 
Imekuwa hivyo Kwa sababu tumeshundwa Kuendeleza pale alipoishia.

Hii Nchi inaenda enda tuu haieleweki inataka nini kwenye Maendeleo yake
Waulize CCM chini ya samia. Maana ndo madereva wetu
 
Nadhani kwasasa mme elimika vya kutosha hadi mnayaona mapungufu hayo, ndiyo maana nasema tatizo ni jamii, jamii ndiyo inatakiwa ibuni mbinu za kukabiliana na changamoto mkisuburi wanasiasa mtaandika sana humu na kuilaumu serikali bila kupata majibu chanya, ni wanasiasa wachache sana wenye maono na kuthubutu
 
Samia kahamia Arusha , licha ya Dodoma kuwa makao makuu ila naona vikao vyote vimehamia Arusha , hii miji mengine itakuwa lini ?
Hii sio hoja yangu ya msingi Wala Haina impacts yeyote Kwa hoja yangu.

Kinachotakiwa ni Serikali kujenga Majiji mengine Kwenye Kila Kanda.
 
34b kujenga makumbusho ya marais? Unbeleivable , what fuk is this?
 
Wabuni kitu gani sasa , intake ya watu Dar kila mwaka inapokea maelfu ya wanafunzi ...Wanafunzi hao wanabaki baada ya kumaliza chuo ndio wanaongeza shughuli za kiuchumi .

Katika uchumi lazima kuwepo na kitu kinafanya watu wawe na muingiliano , Mikoani wanafanya kilimo ila muingiliano bado mdogo
 
Nini kifanyike, what are the possible solutions
 
We Jamaa ni ngumu kuelewa.Sababu zinazosababishwa mrundikano Dar ndio inatakiwa kujengwa Mikoani japo Jiji Moja Kila Kanda Wala hutoona huo mrundikano
Mbona mikoani watu wapo wengi kwasasa na maisha yao ya kila siku hayategemei dar mfano mimi nina miaka zaidi ya 6 sijaenda dar, the world is at my finger tips
 
Mbona mikoani watu wapo wengi kwasasa na maisha yao ya kila siku haitegemei dar mfano mimi nina miaka zaidi ya 6 sijaenda dar, the world is at my finger tips
Wapi huko ambako hawategemei Dar? Mkoa gani huo?
 
Huwezi kutoa ushauri wa msukule wa mzee mbowe mlishindwa hata kumnunulia makamamu mwenyekiti gari kwa matumizi ya ofis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…