Mianamke mingine bwana!!

Mianamke mingine bwana!!

Facebook kunatisha sana, nakumbuka my ex aliwafahamu friends zangu wote kwa kupitia facebook, cha ajabu sasa baada ya kuachana nae akaanza kuwatongoza tena kupitia hiyo hiyo facebook,

kwi kwi kwi kwi kwi!

X wako kweli ni shujaa! :becky:
 
Kiswahili sio lugha rahisi hata kidogo.
mi hapa umeniacha pale njia panda ya Loleza na Sokomatola


Washauriwa kusoma katikati ya mistari! nway ni kuwa ikiwa mchezo wa FACE book umefanywa na na current Gf wa jamaa basi anatumia nguvu kubwa kupigana na jambo lisilo na athari kwake kabisa!
 
MJ kule kwenye facebook kule wacha kabisa. Kule wananchi wanaeka picha zao za ukweli kabisa. kule visa vya mapenzi kama cha Bujibuji mtu ndo anachukulia chance ya kukuharibia. Kule bwana kule ni kuchorana kishenzi mimi naonyesha niko hivi nimeumbwa hivi sijui nikismile niko hivi yani kule ni balaa.......................kule mtu anakuomba urafiki na picha yake ya ajabu ajabu inaonyesha maungo.................
Aluu kumbe nakosa mauhondo sana huko!!!!!!!!!!!!! itabidi nikiingia tu nikutafute JS
 
Tatizo la pombe bwana, ukinywa bia ya ya kwanza unamuona baa medi kama kinyago,
anaendelea kuwa mrembo kadiri bia zinavyoingia mwilini.
Hatari ni kwamba bia ya mwisho inaposogea, na baa medi anakuwa anaonekana kama jenifa lopez, unamkunja na kuondoka nae.
Na kwa kuwa ulikuwa umepanga kwenda kwa bi. Mkubwa, unajikuta umeongozana na baa medi hadi kwa bi mkubwa na kuanzisha ukurasa wa pili wa tukio la hatari.
du kazi ipo we nenda ukiwa chakari
 
Wehu wake haujathibitishwa na wataalam.
Ila kwa nini awe mkorofi namna hiyo na tulisha achana tangu mwaka jana mwezi wa nane?

Labda anadhani ulimpa likizo.....:teeth: amekumbukia :violin:wako akaona hawezi kuukosa hivihivi akaamua kaunzisha mapambano ya chinikwachini aone kama utajibu mapigano
 
Labda anadhani ulimpa likizo.....:teeth: amekumbukia :violin:wako akaona hawezi kuukosa hivihivi akaamua kaunzisha mapambano ya chinikwachini aone kama utajibu mapigano

hivi unampaje likizo mpenzi wako,
 
Hilo ndio jawabu sahihi... Unampiga ban ya unyumba kama miezi miwili hivi, akijirekebisha unamrudisha kundini.
 
Mimi sijui unahanya nini hapa. Huyo wa sasa alitegemea wewe ni bikira? I believe that b4 you she had a BF and also you had GF, sasa mtu anapokuwa mbogo kisa mtu wa zamani mi huwa silelewi unless iwe kweli bado mnaliendeleza libeneke ndo utaogopa.
Kuna kitu kimoja cha ajabu sana ktk mapenzi, Ukieleza kwa mwenzi wako kuwa nilikuwa na fulani na fulani inawezekana urafiki ukaishia hapo, Ila mkidanganyana kuwa sikuwa na mpenzi, sijawahi nk huyu binaadamu anaamini kuwa ni kweli. Ukiongopa ndo salama ya kunusuru uhusiano wako kama sio ndoa. @ Bujibuji mweleze ukweli kuwa alikuwa mtu wako na pia mweleze sababu zilizoletea uhusiano wenu kufikia ukingoni. Mweleze pia lengo la yeye kutaka kufanya ufirauni anaotaka kuufanya. Kama hatoelewa ni juu yake kuamua! Ila usifiche kitu. Ni bora akaamua sasa kuliko baada ya ndoa. Kama hakuna kwa nini usimweleze ukweli?
Nenda kifua mbele na umwambie hiyo yote ni wivu tu ndo maana anajaribu kuharibu uhusiano wenu.
Kila la kheri kaka
 
Back
Top Bottom