NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
Kuna mijibaba ja humu JF ina tabia mbaya kama nini, inapenda ku PM kwa lengo la ku approach. Acheni tabia mbaya.
Naombeni muache lasivyo nitaweka ID zenu hadharani.
Naombeni muache lasivyo nitaweka ID zenu hadharani.