Nime wa PM lakini wapi, then hata lugha ya ku appfroach hawana.
Not Enough mama, si ndio wewe uliyesema hakuna ustaarabu kwenye ngono? Mbona unalalamika tena mpenzi? Si ndio wewe uliyekuwa unamtamani mume wa mtu? Kwa nini sasa unawaona wabaya. Mi navyojua palipo na mzoga ndipo wanapokutanika tai.
Pole lakini nadhani wewe mwenyewe ndo chanzo cha matatizo yako!!
Yaelekea una mvuto hadi unachomozea kwenye tarakilishi zao, au. Nami sasa umeamsha udadisi wangu
Mkuu, hapo kwenye RED umempiga nyoka kichwani!....Kweli JF kuna watu wana photographic memory!
Halafu nikizingatia kuwa wewe ndo mtaalamu ya saikolojia ya malavidavi, (ref...cheating et al), nakuaminia.
Mpe darsa dada yetu mkuu!
LD, umeniacha hoi nilipoweka colours.
Kuna mijibaba ja humu JF ina tabia mbaya kama nini, inapenda ku PM kwa lengo la ku approach. Acheni tabia mbaya.
Naombeni muache lasivyo nitaweka ID zenu hadharani.
Not Enough mama, si ndio wewe uliyesema hakuna ustaarabu kwenye ngono? Mbona unalalamika tena mpenzi? Si ndio wewe uliyekuwa unamtamani mume wa mtu? Kwa nini sasa unawaona wabaya. Mi navyojua palipo na mzoga ndipo wanapokutanika tai.
Pole lakini nadhani wewe mwenyewe ndo chanzo cha matatizo yako!!
Mkuu wetu,Mkuu habari za A-Town . . .
Tuko pamoja sana Mkuu wangu.
Ngoja tuendelee kuelimishana tu . . . haya ni mambo ya kawaida.
Heshima mbele sana JP.
Allien.
Namzimia mume wa jirani...(by NOT ENOUGH)
Jamani mimi namzimia sana mume wa jirani yangu na nimefanya kila vitimbi lakini wapi nashindwa kumtia mtegoni. Madada wenzangu naombeni mbinu zaidi.
Siungewajibu huko huko PM ukawajulisha kwamba hutaki??
Namzimia mume wa jirani...(by NOT ENOUGH)
Jamani mimi namzimia sana mume wa jirani yangu na nimefanya kila vitimbi lakini wapi nashindwa kumtia mtegoni. Madada wenzangu naombeni mbinu zaidi.
You are missing the point, hapa nimeongelea PM na siyo ustarabu kwenye ngono.
Mkuu JP, siyo hiyo tu. Angalia na hizi:
1. Natafuta Mpenzi wa Kunioa: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/94722-natafuta-mpenzi-wa-kunioa.html
Sasa matangazo katoa yeye; then prospects wanaapply yeye analalamia. then:
2. Sikumwona Mr. siku ya Valentine: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/110958-sikumwona-mr-siku-ya-valentine-day.html
Cant believe anaye Mr. lakini bado anatafuta Mume wa Kumuoa na bado anatamani mume wa Mtu. Kisha hii ndo funga kazi:
3. Siwezi pitisha siku bila Mwanamume: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/94073-siwezi-pitisha-siku-bila-mwanaume.html
Hivi nani wa kulaumiwa?
Maji hufuata mkondo.
Respect.
Mkuu wetu,
A-Town kuko kamili...
Tutalianzisha very soon huku...NA KUINGIA KWENYE LANE' YA hISTORY ya nchi hii!
Stay tuned!
Problem mtu unamueleza kwamba am not interested lakini bado anaendelea.
Naona PJ umeamua kunichimba haswa.
Mkuu JP, siyo hiyo tu. Angalia na hizi:
1. Natafuta Mpenzi wa Kunioa: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/94722-natafuta-mpenzi-wa-kunioa.html
Sasa matangazo katoa yeye; then prospects wanaapply yeye analalamia. then:
2. Sikumwona Mr. siku ya Valentine: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/110958-sikumwona-mr-siku-ya-valentine-day.html
Cant believe anaye Mr. lakini bado anatafuta Mume wa Kumuoa na bado anatamani mume wa Mtu. Kisha hii ndo funga kazi:
3. Siwezi pitisha siku bila Mwanamume: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/94073-siwezi-pitisha-siku-bila-mwanaume.html
Hivi nani wa kulaumiwa?
Maji hufuata mkondo.
Respect.
Mkuu JP, siyo hiyo tu. Angalia na hizi:
1. Natafuta Mpenzi wa Kunioa: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/94722-natafuta-mpenzi-wa-kunioa.html
Sasa matangazo katoa yeye; then prospects wanaapply yeye analalamia. then:
2. Sikumwona Mr. siku ya Valentine: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/110958-sikumwona-mr-siku-ya-valentine-day.html
Cant believe anaye Mr. lakini bado anatafuta Mume wa Kumuoa na bado anatamani mume wa Mtu. Kisha hii ndo funga kazi:
3. Siwezi pitisha siku bila Mwanamume: https://www.jamiiforums.com/mambo-ya-kikubwa/94073-siwezi-pitisha-siku-bila-mwanaume.html
Hivi nani wa kulaumiwa?
Maji hufuata mkondo.
Respect.