Michael Ballack ndiye mpiga mashuti bora kwenye mchezo wa soka

Kuna Mdau nilisoma nae Arusha aliitwa Abdallah Mwanakatwe Baba yake alikuwa Mwenyekiti wa FAT(TFF) Kipindi fulani Jamaa alikuwa anaugusa tu mpira ila hilo Shoot linakuwa na mwendo kasi mkali sana... wachezaji wakongwe wa AFC ya Arusha kina marehemu Francis Rungu walisema yule Dogo ananguvu sana miguuni ndio maana ana mshuti makali sana
 
Steven Gerald naye alikuwa vizuri sana nje ya 18
 
Tangu nimeanza kushuhudia kabumbu miaka ya 1993 mpaka leo nadiriki kusema hakuna mcheza mpira aliyejaaliwa kupiga mashuti kama Michael Ballack. Mjerumani huyu hana mpinzani kabisa, je tunakubaliana wakuu kwa hili?
Humjui BASTIAN SCHWEINSTIEGER
 
Hata David Becham alikuwa mzuri sana kwenye mipira ya adhabu
 
Kuna kina ABDI KASSIM BABI lile kombora la Masafa ya nasa ufunguzi wa uwanja wa taifa mnalikumbuka?
 
Tangu nimeanza kushuhudia kabumbu miaka ya 1993 mpaka leo nadiriki kusema hakuna mcheza mpira aliyejaaliwa kupiga mashuti kama Michael Ballack. Mjerumani huyu hana mpinzani kabisa, je tunakubaliana wakuu kwa hili?
Clalance cedorfu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…