Michael Jackson before he chose to bleach and change his nose in order to look like a poor white woman

Michael Jackson before he chose to bleach and change his nose in order to look like a poor white woman

Naomba niwacollect watu wote wasiolijua hili na kusikia tu habati za mj juu juu.
Mj alivunjika pua akiwa mazoezini, akaamua aitengeneze, multiple surgeries kuwa sawa. Ndio kuliko mpelekea yeye kufikia hali ile mpaka umauti unamfika. Hajawahi kusema anataka kuwa mweupe au kujichubua or skin toning.
All reasons yeye kuwa vile ilikua pua. Pua ambayo ilikaa vibaya after frst surgery. Pua ndio iliyomtesa. Hakupenda kuwa vile.
Hapo sasa waliofatilia watajua kuna story ilikuwepo kwamba mj hakupenda pua yake. Big no, HAKUPENDA PUA AFTER SURGERY.
 
Huyu jamaa nahisi kuna mengi kumhusu siyajui,bahati mbaya JF ya sasa huu uzi ndio ushaisha hakuna maarifa mapya hapa.
Watu wenye akili na wajuzi wa mambo na mahodari wa mijadala wamepotea sana.Wamebaki wapenzi wa mpira tu na mipasho
 
Watu wenye akili na wajuzi wa mambo na mahodari wa mijadala wamepotea sana.Wamebaki wapenzi wa mpira tu na mipasho
Na mada za ngono,siku hizi ni kawaida kuingia JF alafu ukakosa mjadala wa kujihusisha nao nadhan waangalie namna wabadili Slogan ya sasa.
 
Naomba niwacollect watu wote wasiolijua hili na kusikia tu habati za mj juu juu.
Mj alivunjika pua akiwa mazoezini, akaamua aitengeneze, multiple surgeries kuwa sawa. Ndio kuliko mpelekea yeye kufikia hali ile mpaka umauti unamfika. Hajawahi kusema anataka kuwa mweupe au kujichubua or skin toning.
All reasons yeye kuwa vile ilikua pua. Pua ambayo ilikaa vibaya after frst surgery. Pua ndio iliyomtesa. Hakupenda kuwa vile.
Hapo sasa waliofatilia watajua kuna story ilikuwepo kwamba mj hakupenda pua yake. Big no, HAKUPENDA PUA AFTER SURGERY.
Uwa "correct".....
 
Rangi yake ni ugonjwa, ila pua alichonga

MJ alikua cool sana, basi tu western media wakiamua kukupaka mavi wanakupaka tu. Wameshamuita mbakaji, mlawiti
 
Naomba niwacollect watu wote wasiolijua hili na kusikia tu habati za mj juu juu.
Mj alivunjika pua akiwa mazoezini, akaamua aitengeneze, multiple surgeries kuwa sawa. Ndio kuliko mpelekea yeye kufikia hali ile mpaka umauti unamfika. Hajawahi kusema anataka kuwa mweupe au kujichubua or skin toning.
All reasons yeye kuwa vile ilikua pua. Pua ambayo ilikaa vibaya after frst surgery. Pua ndio iliyomtesa. Hakupenda kuwa vile.
Hapo sasa waliofatilia watajua kuna story ilikuwepo kwamba mj hakupenda pua yake. Big no, HAKUPENDA PUA AFTER SURGERY.
Ikawaje akabadilika rangi mwili mzima?
 
Rangi yake ni ugonjwa, ila pua alichonga

MJ alikua cool sana, basi tu western media wakiamua kukupaka mavi wanakupaka tu. Wameshamuita mbakaji, mlawiti
Kwa nini waliamua kumpaka mavi ?

Aliwakosea nini ?
 
Naomba niwacollect watu wote wasiolijua hili na kusikia tu habati za mj juu juu.
Mj alivunjika pua akiwa mazoezini, akaamua aitengeneze, multiple surgeries kuwa sawa. Ndio kuliko mpelekea yeye kufikia hali ile mpaka umauti unamfika. Hajawahi kusema anataka kuwa mweupe au kujichubua or skin toning.
All reasons yeye kuwa vile ilikua pua. Pua ambayo ilikaa vibaya after frst surgery. Pua ndio iliyomtesa. Hakupenda kuwa vile.
Hapo sasa waliofatilia watajua kuna story ilikuwepo kwamba mj hakupenda pua yake. Big no, HAKUPENDA PUA AFTER SURGERY.
Na pia MJ alikuwa muathirika wa ugonjwa wa vitiligo, Wala hakupenda kuwa mzungu... Mtafuteni yule actress wa filamu ya sarafina, pia alipata vitiligo.. alivyo Sasa. Michael ndo alikuwa vile akaamua awe mweupe fulu.. na kichwani alinunuaga almanusura kufa alifanya tangazo la Pepsi hivyo hanaga nywele ndo MAANA akaanza kuvaa mawigi..
.na ndomana amewahi KUSEMA he is black and he is proud to be black
 
Nyuma ya utajiri wake aliishi maisha ya Sonona
 
Kwa msaada wa google vitiligo ni hiiView attachment 2940943
download%20(1).jpg
 
Back
Top Bottom