Katika kupitapita nimekutana na Makala ya mwanaspoti ikielezea habari ya mchezaji chipukizi aliyezaliwa singida anaeitwa Michael John Lema.
Mchezaji huyu kwa sasa anachezea timu ya sturm graz ya daraja la kwanza ya Austria bundesliga. Vilevile amewahi kuwakilisha timu ya vijana ya Austria . Kwa mujibu wa Lema ndoto yake ni kuchezea Taifa stars. Mwito ni viongozi wa FA kujenga mawasiliano na huyu mchezaji ili azidi kupata hamu ya kuwakilisha Tanzania asije akabadili gia angani nakuchezea Austria
Mchezaji huyu kwa sasa anachezea timu ya sturm graz ya daraja la kwanza ya Austria bundesliga. Vilevile amewahi kuwakilisha timu ya vijana ya Austria . Kwa mujibu wa Lema ndoto yake ni kuchezea Taifa stars. Mwito ni viongozi wa FA kujenga mawasiliano na huyu mchezaji ili azidi kupata hamu ya kuwakilisha Tanzania asije akabadili gia angani nakuchezea Austria