Eti mzungu katumia akili yake vibaya nmecheka sana,,siyo kwamba nakubaliana nae kila atabilicho ndicho sahihi hapana,,ila kutumia akili yake vibaya hapo ndipo napo cheka,,chukua ubongo wake na wako alafu upime nani zaidi...Kabla hata ya kupima inaonyesha wewe ndio umeongea bila kufikiria..