Michango inayojirudia rudia kwenye post nyingi

Michango inayojirudia rudia kwenye post nyingi

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Ni kama watu wamekariri. Au wameiga na Sasa unaweza kuona kila thread haikosi comment ya namna hio
1.weka picha
2.subiri waje/wanakuja
3 .Basi sawa
4.hahahahah
5. Tafuta kazi ya kufanya
6.shuleni mlikwenda kusomea ujinga
7.shule zimefungwa mnapost ujinga
8.hakuna cha kujadili
9.ulitumia kinga?
10.haya kachukue buku saba zako fasta
11.nafasi za UTEUZI bado ZIPO?
12.be first to reply
 
Back
Top Bottom