Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,072
Hili jambo linafikirisha.
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.
Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hatia ya kusababisha kifo cha Akwilina?
Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?
Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.
Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?
Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.
Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hatia ya kusababisha kifo cha Akwilina?
Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?
Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.
Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?
Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!