Michango kuwanusuru viongozi: CHADEMA imekubali hatia?

Michango kuwanusuru viongozi: CHADEMA imekubali hatia?

Hata hivyo naona adhabu iliyotoka ni nyepesi, wahusika washukuru kulipa faini na kuendelea na maisha ya kiasiasa kwa kufuata taratibu.
 
Uonevu huwavuta watu wa haki pamoja. Kinachooendelea katika utoaji wa michango ndio hicho. Suala sio pesa bali ni muungano wa watu dhidi ya uonevu.
Tuchange hata zaidi ya inavyotakiwa ili kuwadhihirishia madikteta kuwa katika dhuluma na uonevu, wananchi tunasimama pamoja.
 
Kulipa faini ni kukubali kosa, maana yake wamekutwa na jinai ivyo ubunge udiwani wasahau

Akili ndogo, inakutosha mwenyewe. Soma uelewe sheria inasemaje. Ni kifungo cha kuanzia miezi mingapi ndicho kinachomnyima haki muhusika asigombee ubunge au udiwani. Viongozi wa CHADEMA wamehukumiwa pungufu ya miezi hiyo.
 
Hili jambo linafikirisha.

Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.

Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hatia ya kusababisha kifo cha Akwilina?

Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?

Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.

Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?

Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!

Kesi inechukua miaka miwili,

Rufaa itachukua miaka miwili pia,

Ni bora kulipa faini.

Muuaji wa Akwilina atalipwa MUNGU.
 
Hili jambo linafikirisha.

Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.

Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hatia ya kusababisha kifo cha Akwilina?

Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?

Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.

Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?

Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!
Kubali usikubali maamuzi hayatoki mahakamani, kumbuka jaji mkuu mstaafu alisema maelekezo ya hukumu yanaiapa wakati mgumu mahakama, ukiikataa hukumu utakwenda mahakama ipi ili upate haki.
 
..hapa umepitiliza.

..unaweza kuwadhihaki CDM.

..lakini siyo vizuri kudhihaki familia iliyopoteza binti waliyekuwa wakimtegemea.
Huwezi kumkuta johnthebaptist akiongea ujinga kama huo, akili tope wanazo kina Polepole, jingalao, Etwege, Kawe Alumni, thetallest na Wakudadavua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato? Hapa jibu ni kwamba sio inaweza kuanza, iliishaanza muda mrefu na ulikaa kimya! Kama ni kweli umefuatilia hii kesi bila shaka utakuwa mkkweli ukikubaliana na mimi kwamba hata wangekata rufaa wapi, hawawezi kuchomoka. Kwa sababu ya malengo ya kesi yenyewe, wananchi kuchangia hawa ndugu wa katoka itakuwa ushindi mkubwa kuliko kutafuta rufaa ambayo matokeo yake inaweza kuwapoteza kabisa! Mahakama ya umma inajua hawa ndugu hawana hatia. Na hiyo ndio mahakama nzuri kuliko hii tunayoilipia kodi zetu!
Unashangaa nini? Ulikuwa hujui?
 
Mtoa mada ipo hivi hukumu iliyotolewa leo haiwezi kutenguliwa kwa kusudio la mshtakiwa kukata rufaa!! Kisheria hukumu huwa inatekelezwa huku taratibu za rufaa zikiendelea!!

Hukumu ya awali itabatilishwa na hukumu ya mahakama ya juu zaidi kwenye shauri hilo!! Ndipo utekelezaji wa adhabu ya awali hukomea hapo
Wiseman734, safi sana kwa ufafanuzi huu, ni imani ysngu kuwa vilaza wanaokurupuka kutoa maoni yasiyo na kichwa wala miguu watajifunza kupitia bandiko hili. Bravo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili jambo linafikirisha.

Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.

Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hatia ya kusababisha kifo cha Akwilina?

Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?

Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.

Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?

Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!

Bora kulipa hio hela kuliko kusumbuliwa na mahakama kila siku


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili jambo linafikirisha.

Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.

Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hatia ya kusababisha kifo cha Akwilina?

Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?

Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.

Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?

Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!
Hakukuwa na kesi ya mauaji acha uongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wiseman734, safi sana kwa ufafanuzi huu, ni imani ysngu kuwa vilaza wanaokurupuka kutoa maoni yasiyo na kichwa wala miguu watajifunza kupitia bandiko hili. Bravo!

Sent using Jamii Forums mobile app

..bora wangewafunga viongozi wanaume.

..lakini kitendo cha kuwafunga viongozi wanawake kwa kweli kimeidhalilisha nchi.

..kama watawala wamekuwa MAKATILI kwa wanawake basi ndiyo wamehitimu kuwa "SKUNKS" kama alivyopata kutabiri Tundu Lissu.
 
Ndio wapate sasa picha kuwa Oktoba 2020 wasifanye ule ujinga wao waliofanya mwaka 2019.

Sasa hivi watu wapo smart sana zaidi ya wanavyofikiria.

By

Mtoto wa mjini

Nyamagana stand up.
 
Back
Top Bottom