Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Una uelewa mdogo wa mambo halafu unaficha umbumbumbu kwa kutumia jazbaWamesema watakata rufaa!Huna information halafu unaandika uzi!Au ulitaka wakate rufaa huku wakitumikia kifungo?Unaweza kukuta hukumu ya rufaa inatoka kifungo kimeisha!
Tuchange hata zaidi ya inavyotakiwa ili kuwadhihirishia madikteta kuwa katika dhuluma na uonevu, wananchi tunasimama pamoja.Uonevu huwavuta watu wa haki pamoja. Kinachooendelea katika utoaji wa michango ndio hicho. Suala sio pesa bali ni muungano wa watu dhidi ya uonevu.
Kulipa faini ni kukubali kosa, maana yake wamekutwa na jinai ivyo ubunge udiwani wasahau
Kwani unafikiri ni wapumbavu kama wewe na wanalumumba wenzako kiasi kuwa hawamjui muuaji?
Hili jambo linafikirisha.
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.
Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hatia ya kusababisha kifo cha Akwilina?
Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?
Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.
Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?
Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!
Acheni kutupa hela kwa mla ruzuku Mbowe na genge lakeWewe kwa vile umewekwa kinyumba na yule basha wako wa kiarabu kule Masaki ndiyo maana unasema hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kubali usikubali maamuzi hayatoki mahakamani, kumbuka jaji mkuu mstaafu alisema maelekezo ya hukumu yanaiapa wakati mgumu mahakama, ukiikataa hukumu utakwenda mahakama ipi ili upate haki.Hili jambo linafikirisha.
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.
Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hatia ya kusababisha kifo cha Akwilina?
Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?
Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.
Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?
Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!
Kwa mujibu wa sheria ipi?Kulipa faini ni kukubali kosa, maana yake wamekutwa na jinai ivyo ubunge udiwani wasahau
Huwezi kumkuta johnthebaptist akiongea ujinga kama huo, akili tope wanazo kina Polepole, jingalao, Etwege, Kawe Alumni, thetallest na Wakudadavua...hapa umepitiliza.
..unaweza kuwadhihaki CDM.
..lakini siyo vizuri kudhihaki familia iliyopoteza binti waliyekuwa wakimtegemea.
Kasimu Majaaliwa na Samia tayari wametuma.tunawasubiri watumaji wenye historia za kutakatisha fedha chafu wajikamatishe
Kama hujui soma kwanza uzi na mawazo ya wachangiaji. JF kila swali lina jibu lake. USIKURUPUKESasa wanakata rufaa huku wamipa faini maana yake ni nini? Kulipa ni kukubaliana na hukumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni dhulumati, kule Kagera wanamfahamu. Sasa hivi anauza uhuru wa raia.
Unashangaa nini? Ulikuwa hujui?Mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato? Hapa jibu ni kwamba sio inaweza kuanza, iliishaanza muda mrefu na ulikaa kimya! Kama ni kweli umefuatilia hii kesi bila shaka utakuwa mkkweli ukikubaliana na mimi kwamba hata wangekata rufaa wapi, hawawezi kuchomoka. Kwa sababu ya malengo ya kesi yenyewe, wananchi kuchangia hawa ndugu wa katoka itakuwa ushindi mkubwa kuliko kutafuta rufaa ambayo matokeo yake inaweza kuwapoteza kabisa! Mahakama ya umma inajua hawa ndugu hawana hatia. Na hiyo ndio mahakama nzuri kuliko hii tunayoilipia kodi zetu!
Wiseman734, safi sana kwa ufafanuzi huu, ni imani ysngu kuwa vilaza wanaokurupuka kutoa maoni yasiyo na kichwa wala miguu watajifunza kupitia bandiko hili. Bravo!Mtoa mada ipo hivi hukumu iliyotolewa leo haiwezi kutenguliwa kwa kusudio la mshtakiwa kukata rufaa!! Kisheria hukumu huwa inatekelezwa huku taratibu za rufaa zikiendelea!!
Hukumu ya awali itabatilishwa na hukumu ya mahakama ya juu zaidi kwenye shauri hilo!! Ndipo utekelezaji wa adhabu ya awali hukomea hapo
Hili jambo linafikirisha.
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.
Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hatia ya kusababisha kifo cha Akwilina?
Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?
Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.
Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?
Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!
Hakukuwa na kesi ya mauaji acha uongo.Hili jambo linafikirisha.
Nimefuatilia mwenendo wa kesi ya mauaji ya Akwilina tangu mwanzo mpaka hukumu yake iliyotolewa leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar.
Kukubali kulipa faini bila kukata rufaa, ni kwamba viongozi na wafuasi wa CHADEMA wamekubaliana na hukumu kwamba wanayo hatia ya kusababisha kifo cha Akwilina?
Je, ingeamuliwa wafungwe jela wasingekata rufaa? Au pesa imeonekana ni rahisi kupatikana kuliko jaribio la kutokukubaliana na hatia? Hawajali rekodi itakuwaje?
Ni jambo jema kuchangisha umma na kuomba wanachama na wananchi wenye huruma kuwanusuru, lakini inafikirisha sana.
Kwa mwenendo huu, mahakama si inaweza kuanza kutumika kama chanzo kipya cha mapato?
Kwangu hili suala limekaa kibinafsi sana!
Wiseman734, safi sana kwa ufafanuzi huu, ni imani ysngu kuwa vilaza wanaokurupuka kutoa maoni yasiyo na kichwa wala miguu watajifunza kupitia bandiko hili. Bravo!
Sent using Jamii Forums mobile app