Michango kwa wanafunzi wapya Mtwara

Michango kwa wanafunzi wapya Mtwara

KAKA NASOKI

Senior Member
Joined
May 25, 2016
Posts
191
Reaction score
212
Nimesikitishwa na wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza, wasiotoa michango ya madawati kurudishwa nyumbani au kukaa chini hadi walipe michango. Nimejaribu kupiga namba za DC 023 2333 928 kuulizia hili haikujibiwa.

Naomba kama anaona message hii atoe ufafanuzi au mwenye namba nyingine anipe. Hususan shule ya Mangamba, kule kwa walala hoi.
 
Nimesikitishwa na wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza, wasiotoa michango ya madawati kurudishwa nyumbani au kukaa chini hadi walipe michango. Nimejaribu kupiga namba za DC 023 2333 928 kuulizia hili haikujibiwa.

Naomba kama anaona message hii atoe ufafanuzi au mwenye namba nyingine anipe. Hususan shule ya Mangamba, kule kwa walala hoi.
Michango gani tena?
 
Duh hatari sana, vipi kuhusu kwanja, limu pepa na ndoo siku hizi wanaambiwa navyo walete au vimefutwa
 
Nimesikitishwa na wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza, wasiotoa michango ya madawati kurudishwa nyumbani au kukaa chini hadi walipe michango. Nimejaribu kupiga namba za DC 023 2333 928 kuulizia hili haikujibiwa.

Naomba kama anaona message hii atoe ufafanuzi au mwenye namba nyingine anipe. Hususan shule ya Mangamba, kule kwa walala hoi.
Acha kupenda vya bure wewe, Mimi mwenyewe Kuna dogo nampeleka next week akaanze shule nimeambiwa nipeleke kiti na meza nimechukulia kawaida tu, Kama vipi mpeleke shule ya baba ako(yaani shule ya babu yake huyo mwanao) ambayo hakuna mchango hata kidogo. Mtoto umemzaa mwenyewe unapenda vya bure bure tu.
 
Nimesikitishwa na wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza, wasiotoa michango ya madawati kurudishwa nyumbani au kukaa chini hadi walipe michango. Nimejaribu kupiga namba za DC 023 2333 928 kuulizia hili haikujibiwa.

Naomba kama anaona message hii atoe ufafanuzi au mwenye namba nyingine anipe. Hususan shule ya Mangamba, kule kwa walala hoi.
uza simu umpeleke mtoto shule
 
450908765.jpg
 
Acha kupenda vya bure wewe, Mimi mwenyewe Kuna dogo nampeleka next week akaanze shule nimeambiwa nipeleke kiti na meza nimechukulia kawaida tu, Kama vipi mpeleke shule ya baba ako(yaani shule ya babu yake huyo mwanao) ambayo hakuna mchango hata kidogo. Mtoto umemzaa mwenyewe unapenda vya bure bure tu.
Eeenh. Wacha bhana.


Lakini unajua msimamo wa serikali kwenye hili suala??
 
Toeni michango Wazazi watoto wenu wasome mazingira mazuri japo kidogo msisikilize sana wanasiasa KUMBUKENI WENZENU WANALIPA ADA MPAKA MILIONI 9.5 KWA MFUMO HUO HUO WA NECTA, WEWE UNAAMBIWA DAWATI TU LA ELFU 30 UNAKUJA KUSEMELEA.

KUWENI SERIOUS KIDOGO BASI WAZAZI KHAAA!!
 
Toeni michango Wazazi watoto wenu wasome mazingira mazuri japo kidogo msisikilize sana wanasiasa KUMBUKENI WENZENU WANALIPA ADA MPAKA MILIONI 9.5 KWA MFUMO HUO HUO WA NECTA, WEWE UNAAMBIWA DAWATI TU LA ELFU 30 UNAKUJA KUSEMELEA.

KUWENI SERIOUS KIDOGO BASI WAZAZI KHAAA!!
 
Nimesikitishwa na wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza, wasiotoa michango ya madawati kurudishwa nyumbani au kukaa chini hadi walipe michango. Nimejaribu kupiga namba za DC 023 2333 928 kuulizia hili haikujibiwa.

Naomba kama anaona message hii atoe ufafanuzi au mwenye namba nyingine anipe. Hususan shule ya Mangamba, kule kwa walala hoi.
Kwa hiyo unataka kama madawati hayatoshi kwa wanafunzi wapya mwanao akalie jiwe?

Watu wa kusini sijui mpoje? Hilo ni jambo la kulalamikia au la kuchangamkia? Huwezi kuona watu wa Kagera na Kilimanjaro wakilalamikia michango kama hii.

Mkitoka hapo mnatoa shule 9 kati ya 10 kwenye top 10 mnaishia kukanusha eti sio za mwaka hui ni za mwala juzi. Kwani mwaka juzi ndo mlikuwa na haki ya kuwa wa mwisho??

Wazazi jiongezeni mpende elimu
 
Nimesikitishwa na wanafunzi wapya wa kidato cha kwanza, wasiotoa michango ya madawati kurudishwa nyumbani au kukaa chini hadi walipe michango. Nimejaribu kupiga namba za DC 023 2333 928 kuulizia hili haikujibiwa.

Naomba kama anaona message hii atoe ufafanuzi au mwenye namba nyingine anipe. Hususan shule ya Mangamba, kule kwa walala hoi.
Hawajalipwa pesa yao ya korosho? Lazima irudi japo kidogo.
 
Back
Top Bottom