Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 347
- 553
Hivi ushawahi kujiuliza kwanini siku hizi michango makanisani imekuwa mingi kuliko miaka ya zamani ??
Siku hizi kumekuwa na michango mingi sana makanisani kiasi kwamba hupelekea baadhi ya waumini kuacha kuhudhuria makanisani kwaajiri ya ibada
Halafu Kuna tabia moja imezuka kwamba inapotokea muda wa kutoa sadaka mnalazimishwa na wasimamizi kwamba mwende tu mbele mkapite kisha mrudi kukaa. Zamani kama ulikuwa huna sadaka ulikuwa unaweza ukakaa tu kwenye benchi pasipo kufika pale mbele lakini siku hizi hali imekuwa tofauti kdg ambapo wasimamzi hulazimisha waumini kupita pale mbele kwenye kikapu hata kama hauna sadaka sasa hii ni kama vile kuaibishana.
Imefikia wakati tunaona makanisa kama kituo cha polisi mana ukitaka kuhudhuria unatakiwa ujipange kwelikweli na michango
Wewe kama mdau wa JmiiForums unalizungumziaje suala hili ?
Siku hizi kumekuwa na michango mingi sana makanisani kiasi kwamba hupelekea baadhi ya waumini kuacha kuhudhuria makanisani kwaajiri ya ibada
Halafu Kuna tabia moja imezuka kwamba inapotokea muda wa kutoa sadaka mnalazimishwa na wasimamizi kwamba mwende tu mbele mkapite kisha mrudi kukaa. Zamani kama ulikuwa huna sadaka ulikuwa unaweza ukakaa tu kwenye benchi pasipo kufika pale mbele lakini siku hizi hali imekuwa tofauti kdg ambapo wasimamzi hulazimisha waumini kupita pale mbele kwenye kikapu hata kama hauna sadaka sasa hii ni kama vile kuaibishana.
Imefikia wakati tunaona makanisa kama kituo cha polisi mana ukitaka kuhudhuria unatakiwa ujipange kwelikweli na michango
Wewe kama mdau wa JmiiForums unalizungumziaje suala hili ?