Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,951
- 9,977
Wanabodi kuna tetesi kuwa michango ya rambirambi kwa ajili ya msiba wa Marehemu Kanumba imetafunwa na kamati ya mazishi.
Kuna habari kwamba zilichangwa pesa kiasi cha shilingi million 51. Kamati inasema imetumia shillingi millioni 48 kwenye mazishi hivyo iliyobaki ni millioni 3 tu! Mama Kanumba anauliza makaratasi ya kuelezea hayo matumizi yako wapi wajumbe wa kamati ya mazishi bado wanajiuma uma!
Pia inaaminika kuna pesa zilikuwa zinatumwa kwenye M pesa na Tigo Pesa ya mtu mmoja maarufu nazo hazijaonekana alipoulizwa akasema amepata laki 3 tu kwa kuwa wengi walikuwa wanatuma shilingi mia tano toka mikoani!
Tusubiri tu punde kitanuka. Bongo kila kitu ni deal!
Kuna habari kwamba zilichangwa pesa kiasi cha shilingi million 51. Kamati inasema imetumia shillingi millioni 48 kwenye mazishi hivyo iliyobaki ni millioni 3 tu! Mama Kanumba anauliza makaratasi ya kuelezea hayo matumizi yako wapi wajumbe wa kamati ya mazishi bado wanajiuma uma!
Pia inaaminika kuna pesa zilikuwa zinatumwa kwenye M pesa na Tigo Pesa ya mtu mmoja maarufu nazo hazijaonekana alipoulizwa akasema amepata laki 3 tu kwa kuwa wengi walikuwa wanatuma shilingi mia tano toka mikoani!
Tusubiri tu punde kitanuka. Bongo kila kitu ni deal!