Wana Simba wenyewe wanajua kinachoendeleaNi michango iliyoanzishwa kwa bashasha na Mmiliki wa timu hasa baada ya tukio la CEO wa Simba watoto wake kuzuiwa kukaa jukwaa kuu, mwanzoni taarifa za michango zilikuwa zikitolewa na baada ya hapo imekuwa kimya. Tungependa kujua maendeleo ya uchangiaji huu wa Ujenzi wa Uwanja.
SawaZishapigwa hzo
halitaweza kufanikiwa hili jambo Kwa mihemuko ya kanjiNi michango iliyoanzishwa kwa bashasha na Mmiliki wa timu hasa baada ya tukio la CEO wa Simba watoto wake kuzuiwa kukaa jukwaa kuu, mwanzoni taarifa za michango zilikuwa zikitolewa na baada ya hapo imekuwa kimya. Tungependa kujua maendeleo ya uchangiaji huu wa Ujenzi wa Uwanja.
Maendeleo ni mazuri, hadi sasa tumefikia kibahaNi michango iliyoanzishwa kwa bashasha na Mmiliki wa timu hasa baada ya tukio la CEO wa Simba watoto wake kuzuiwa kukaa jukwaa kuu, mwanzoni taarifa za michango zilikuwa zikitolewa na baada ya hapo imekuwa kimya. Tungependa kujua maendeleo ya uchangiaji huu wa Ujenzi wa Uwanja.
Maamuzi ya Simba SC kutaka Kujenga Uwanja wake yalikuwa ni ya Kimihemko ( Kihasira ) zaidi na siyo ya Kiuhalisia.OKW BOBAN SUNZU na GENTAMYCINE jibuni
Kwa leo Umenifurahisha kwa kutoa mchango uliokwenda shuleMaamuzi ya Simba SC kutaka Kujenga Uwanja wake yalikuwa ni ya Kimihemko ( Kihasira ) zaidi na siyo ya Kiuhalisia.
Saikolojia ya Mashabiki wengi wa Tanzania ( hasa wa Simba na Yanga ) ni Kushangilia na Kubishana ila likija Suala la Michango hakuna utakachokipata zaidi ya Ahadi tu.
Mwisho kilichonishangaza zaidi ni Kitendo cha Mwekezaji Mo Dewji kusema katika Bajeti ya Ujenzi wa Uwanja wa Simba SC ya Tsh Bilioni 30 yeye atachangia Tsh Bilioni 2 tu na hizo Tsh Bilioni 28 zilizobaki akina GENTAMYCINE ambao hata Hela ya Kula tu Kwetu ni Changamoto ( Tatizo ) ndiyo tuchangie.
Kuna Usanii mwingi sana tu Simba SC.
Bado 'sijavuta' Kitu cha 'Blantyre' Mkuu.Kwa leo Umenifurahisha kwa kutoa mchango uliokwenda shule
Sure umeongea point sana mjubaMaamuzi ya Simba SC kutaka Kujenga Uwanja wake yalikuwa ni ya Kimihemko ( Kihasira ) zaidi na siyo ya Kiuhalisia.
Saikolojia ya Mashabiki wengi wa Tanzania ( hasa wa Simba na Yanga ) ni Kushangilia na Kubishana ila likija Suala la Michango hakuna utakachokipata zaidi ya Ahadi tu.
Mwisho kilichonishangaza zaidi ni Kitendo cha Mwekezaji Mo Dewji kusema katika Bajeti ya Ujenzi wa Uwanja wa Simba SC ya Tsh Bilioni 30 yeye atachangia Tsh Bilioni 2 tu na hizo Tsh Bilioni 28 zilizobaki akina GENTAMYCINE ambao hata Hela ya Kula tu Kwetu ni Changamoto ( Tatizo ) ndiyo tuchangie.
Kuna Usanii mwingi sana tu Simba SC.
Simba ni kubwa kuliko Babra na Watoto wake, mambo ya familia yao yasituharibie team yetu.Ni michango iliyoanzishwa kwa bashasha na Mmiliki wa timu hasa baada ya tukio la CEO wa Simba watoto wake kuzuiwa kukaa jukwaa kuu, mwanzoni taarifa za michango zilikuwa zikitolewa na baada ya hapo imekuwa kimya. Tungependa kujua maendeleo ya uchangiaji huu wa Ujenzi wa Uwanja.