Moja kati ya michapio ambayo nimewahi kuisikia kutoka sehemu Mbalimbali huu ni Kiboko yao....
...Kuna jamaa angu mmoja alikuwa na njaa sana asa ikabidi tuende kununua Kibanda cha chipsi,Me nikaagiza asaa yeye kutokana na haraka zake akatoa bonge la Mchapio etiih NIFUNGIE CHIPSI KAKI NA MISHKAVU NA PANTA FASHION BARIDI....
Nani kakukupa Punga [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nikiwa Darasa la Pili shule moja hivi nimeingia na Chungwa Darasani hilo ndilo lilikuwa swali "Nani kakupa Chungwa".
Kwa nini hamja bweni madeki???.....
kwa nini hamjadeki mabweni???,Tulicheka sana ilikuwa ni sauti ya ukali ya mwalimu wa zamu wakati wa parade,Assembly iligeuka uwanja wa komedy Ukizingatia alisema kwa ukali.