Thani10
Member
- May 11, 2018
- 20
- 13
Moja kati ya michapio ambayo nimewahi kuisikia kutoka sehemu Mbalimbali huu ni Kiboko yao....
...Kuna jamaa angu mmoja alikuwa na njaa sana asa ikabidi tuende kununua Kibanda cha chipsi,Me nikaagiza asaa yeye kutokana na haraka zake akatoa bonge la Mchapio etiih NIFUNGIE CHIPSI KAKI NA MISHKAVU NA PANTA FASHION BARIDI....
Taja mchapio ulowah kuusikia tuburudike sote...
...Kuna jamaa angu mmoja alikuwa na njaa sana asa ikabidi tuende kununua Kibanda cha chipsi,Me nikaagiza asaa yeye kutokana na haraka zake akatoa bonge la Mchapio etiih NIFUNGIE CHIPSI KAKI NA MISHKAVU NA PANTA FASHION BARIDI....
Taja mchapio ulowah kuusikia tuburudike sote...