Hahaha nimeona nimtulize maana alikua karibu akutoe macho dearest. . .Kongosho, umeona mistari ya Lizzy??
Dearest asante kwa ku-lift spirit ya Kongosho, it means a lot to me...lol
ha ha ha,
ukweli lakini
Thanks Lizzy
Kaweka thread yake hapa akaenda kulala,utamweza shemeji yako huyu?? Full mitihani yaani...ngachoka kabisa...lol!!
Jifanyie mwenyewe. Najua huto juta. Huyu mwanaume ameonesha kua anamaanisha. Si unaona leo hakutungia chit chat?Doing this just for you lost twin...
Hahaha nimeona nimtulize maana alikua karibu akutoe macho dearest. . .
Is you happy now?
Nilikuwa naye huku muda umepita kidogo
kakusubiri wee huonekani
nikamPM kumruhusu akalale.
Jifanyie mwenyewe. NAjus huto juta. Huyu mwanaume ameonesha kua anamaanisha. Si unaona leo hakutungia chit chat?
Kaweka thread yake hapa akaenda kulala,utamweza shemeji yako huyu?? Full mitihani yaani...ngachoka kabisa...lol!!
Hii thread nilikuwa sijaiona jamani!
Hashy i thought you were gone for good....
Am ready to give you a second chance, do me one favor....
Tell me why you went away..... and what were you doing??
Only that, and we delete this thread....lol
we Hashy,acha kutuchezea bana,jana mambo ylikwenda muswano we na beau wako,sasa hii maneno gani unalets ha?
Kongosho una mambo ya ajabu sana...
Unajua nilikuwa kwa Lizzy, umekaa huku na shemeji yako, ukamruhusu akalale, wa kwako huyo??
We wa kwako akitumiwa tu salamu, unaanza vituko...muone kwanza...!!
we Hashy,acha kutuchezea bana,jana mambo ylikwenda muswano we na beau wako,sasa hii maneno gani unalets ha?
Nimeanza kupumua....
ha ha ha
salamu ruksa kutuma
ila kupitia redioni sio hapa
Not so fast...RELAX....!
Kaweka thread yake hapa akaenda kulala,utamweza shemeji yako huyu?? Full mitihani yaani...ngachoka kabisa...lol!!
Huwezi kujua kama atarudia, unless ukubali kujaribu... take the risk!Nijifanyieje mwenyewe, sometimes unawasikiliza wale unaoamini wanakutakia mema, pengine sioni vizuri...naogopa asije rudia tena!
Ina maana we na Mamzalendo ni mtu na mdogo wake?
Nauliza hivyo kwa sababu ya majibu yenu humu jamvini na ni kitambo sana tu nilikuwa nikilinganisha majibu yenu!
Inapendeza sana Ndg kukaa pamoja na KUPENDANA!
I'm afraid that is not possible for now....