Michelle obsession.....

Michelle obsession.....

Sasa yuko wapi jamani? au anaandaa poem ingine ya nguvu?

Yaani humwezi Hashy, anaweza kurudi baada ya mwaka na poem zake? sijui ni nini jamani kinamkimbiza kimbiza tu,hatulii...mnielewege!
 
Yaani humwezi Hashy, anaweza kurudi baada ya mwaka na poem zake? sijui ni nini jamani kinamkimbiza kimbiza tu,hatulii...mnielewege!
Mara ya mwisho tena alipotea hivi hivi? :A S 39:
 
Mara ya mwisho tena alipotea hivi hivi? :A S 39:

Hivi hivi aliondoka.. Kweli mtu unayempenda utamshauri aendelee nae, si nitakuwa kichaa sasa na nilipo na mirembe ni mbali sana...!!
 
Hivi hivi aliondoka.. Kweli mtu unayempenda utamshauri aendelee nae, si nitakuwa kichaa sasa na nilipo na mirembe ni mbali sana...!!
Atakuja. Analala tu saa hizi... Tusianze kufikiria mbali.
 
Sasa yuko wapi jamani? au anaandaa poem ingine ya nguvu?

Mwali saa nyingine ukiwa unajaribu sana na bado
unachojaribu una feli ni bora kuchukua time off
au hata mapuziko kidogo halafu unarudi kujaribu tena..

Love you, thank you dear!
I love you too dear..
0032.gif


Yaani humwezi Hashy, anaweza kurudi baada ya mwaka na poem zake? sijui ni nini jamani kinamkimbiza kimbiza tu,hatulii...mnielewege!

Hivi bado hujui ni nini kweli au hutaki tu kujua ?

Mara ya mwisho tena alipotea hivi hivi? :A S 39:

aliaga kabisa na sababu alitoa..
 
Alitoa sababu gani za kuondoka dear mbona mi sikumbuki au hakuona umuhimu wa kuniaga mimi akawaageni nyie? Mbona mnaniumiza zaidi....am i the only one in the darkness here?? Ngoja nikalale zangu, am fed up...!

Sijui kinachomkimbiza Hashy ni nini?
 
Hii thread nilikuwa sijaiona jamani!

Hashy i thought you were gone for good....

Am ready to give you a second chance, do me one favor....

Tell me why you went away..... and what were you doing??

Only that, and we delete this thread....lol
seriously Michelle unataka mpenzi wako akujibu nini hapa,kwamba unajua la'aziz nilipata mwanamke mwingine vikapanda vikashuka? Lol Hashy usitamke hayo maneno hayasaidii na yanaongeza chumvi kwenye kidonda,we kazana na kumwaga mapoem tu ata melt eventually.
 
Back
Top Bottom