poor Michelle,kwa post hii nimeamini kweli unampenda mmeo HC! I can feel your pain.Hivi hivi aliondoka.. Kweli mtu unayempenda utamshauri aendelee nae, si nitakuwa kichaa sasa na nilipo na mirembe ni mbali sana...!!
mmmmmmhhhh akitajwa tu TF una recoil,why AD?nitonye sababu!
poor Michelle,kwa post hii nimeamini kweli unampenda mmeo HC! I can feel your pain.
Ha ha ha haaaaaaa mkuu una lako jambo.... nalijua vizuri tu....!!
Hatuna undugu ila tunafahamiana na mi ndo nilimwalika JF
Nakubaliana nawe kuwa inapendeza kukaa pamoja na kupendana...!
Yaani humwezi Hashy, anaweza kurudi baada ya mwaka na poem zake? sijui ni nini jamani kinamkimbiza kimbiza tu,hatulii...mnielewege!
honestly you do,mwenyewe ndo ulishauri holiday,ulipoambiwa kuwa ka vipi na TF awa join,lol wacha uruke kimanga,moyoni nikajisemea 'si bure kuna jambo hapa'.hahahahahahhahah lol
Hivi kumbe hii ndivyo ilivyo nilikuwa sina habari hiyo .....
honestly you do,mwenyewe ndo ulishauri holiday,ulipoambiwa kuwa ka vipi na TF awa join,lol wacha uruke kimanga,moyoni nikajisemea 'si bure kuna jambo hapa'.
Michelle!!
Mmmhh,,,,,,,,eti nina langu!!
Kwa nani jamani?
Unanichekesha!!
Dah, hii movie kumbe bado inaendelea......sikujua aisee!! Alafu commentators wote wanamfeva hashycool.......mwamuonea huruma kwa hizo poems alizoandika au?? Hongereni mediators naona michelle amelainika ila HC ndo bado anasua sua kufunguka! Ok, tuendelee.....
Nikwambie kitu Michelle?Going by what i am reading here huyo bwanako Hashy ana play mind games na bongo yako.You don't just post poems na kudisappear unamwacha mkeo anahangaika nazo(unless of course jana na juzi mmekutana chemba mkayamaliza kimya kimya).
ushauri wa bure:Just cool off
my very dearest michelle i do love you with all my heart and soul! seing you shutting me out... its killing me! pls this time i promise you i will stay.. am saying these on a bended knee!
hashycool......
you keep playing with your luck....everytime
dont blame me next time.....
There you are....can you please make up your mind?