mara hii umeanza sarakasi zako?hny! i ll be having this cross country thing 2moro hope u wont mind missing me for a day!
I thought we are going for second honeymoon???? He he he he heeeeeeeeee, try me, i said try me and you regret!! Enough!
nisifie basi japo kidogo kwamba intuition ya bishanga ni kali! No wanda TF anaukimbia uzi huu,something touching his raw nerve!Mi si katai TF na mimi tuli date tukaachana
Na sasa yeye anawanawake kama utitiri..
Na mimi niko kwenye "waiting list "..
mmmmmmhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!Mi si katai TF na mimi tuli date tukaachana
Na sasa yeye anawanawake kama utitiri..
Na mimi niko kwenye "waiting list "..
mara hii umeanza sarakasi zako?
hana cha riadha wala nin,muulize ana kideiti na nani?unfinished biziness sio?
Mi si katai TF na mimi tuli date tukaachana
Na sasa yeye anawanawake kama utitiri..
Na mimi niko kwenye "waiting list "..
Eeeeh siku nita confirm kutoka kwa TF kuwa umemuacha
Itakuwa siku ya huzuni sana kwangu na itakuwa siku ya kuachana na Hashy kimoja
Manake kwa asilimia fulani niko nae kwa heshima yenu tu.
Eeeeh siku nita confirm kutoka kwa TF kuwa umemuacha
Itakuwa siku ya huzuni sana kwangu na itakuwa siku ya kuachana na Hashy kimoja
Manake kwa asilimia fulani niko nae kwa heshima yenu tu.
huyu TF na HC wakirudi ntashukuru
maana, kaja kung'ang'ania kwangu lol
Limekukaba kweli Kongosho....sina tabia ya kurudia matapishi yangu,mie nawe sambamba,tutabanana pale pale,kazi kwako kufukua ya nyuma....huu uzi umetoka nao wapi lakini??