Michelle obsession.....

Michelle obsession.....

I thought we are going for second honeymoon???? He he he he heeeeeeeeee, try me, i said try me and you regret!! Enough!

hana cha riadha wala nin,muulize ana kideiti na nani?unfinished biziness sio?
 
Mi si katai TF na mimi tuli date tukaachana
Na sasa yeye anawanawake kama utitiri..
Na mimi niko kwenye "waiting list "..
nisifie basi japo kidogo kwamba intuition ya bishanga ni kali! No wanda TF anaukimbia uzi huu,something touching his raw nerve!
 
Mi si katai TF na mimi tuli date tukaachana
Na sasa yeye anawanawake kama utitiri..
Na mimi niko kwenye "waiting list "..

Eeeeh siku nita confirm kutoka kwa TF kuwa umemuacha

Itakuwa siku ya huzuni sana kwangu na itakuwa siku ya kuachana na Hashy kimoja

Manake kwa asilimia fulani niko nae kwa heshima yenu tu.
 
Eeeeh siku nita confirm kutoka kwa TF kuwa umemuacha

Itakuwa siku ya huzuni sana kwangu na itakuwa siku ya kuachana na Hashy kimoja

Manake kwa asilimia fulani niko nae kwa heshima yenu tu.

Hapa umetupiga changa la macho kabisaaaa! Hahahah we jifarague tu....lol!!
 
Eeeeh siku nita confirm kutoka kwa TF kuwa umemuacha

Itakuwa siku ya huzuni sana kwangu na itakuwa siku ya kuachana na Hashy kimoja

Manake kwa asilimia fulani niko nae kwa heshima yenu tu.

morning Michelle,you and Hubby HC how are you doing? Hebu mPM TF mwambie aje haraka kwenye uzi huu pliz!
 
huyu TF na HC wakirudi ntashukuru
maana, kaja kung'ang'ania kwangu lol

Limekukaba kweli Kongosho....sina tabia ya kurudia matapishi yangu,mie nawe sambamba,tutabanana pale pale,kazi kwako kufukua ya nyuma....huu uzi umetoka nao wapi lakini??
 
kuna mtu alinikumbusha
akasema HC anarudi hivi karibuni
nikaja kuomba dua arudi upesi

ujue wale wamasai
huwa wanawashikia wadogo zao wake zao
kama wamesafiri
mmeo akirudi, hakuna kung'ang'ania kwa shemeji

Limekukaba kweli Kongosho....sina tabia ya kurudia matapishi yangu,mie nawe sambamba,tutabanana pale pale,kazi kwako kufukua ya nyuma....huu uzi umetoka nao wapi lakini??
 
Back
Top Bottom