The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Ensi nsimbi kotaina nsimbi ensi mbiShikamoo kaka. How are you?
Don't burn me.
Labda kaiomba . . . :coffee:
Ameiomba mwenyewe kama alivyoomba Maria Roza wakati ule, na Afrodenzi kwa sasa.
tumpe muda.. Labda bado anatafakari yanayojiri huko dom...!
Jamani mbona kule kwenye siasa walichambana na rev na wengine kwa matusi na wao wamebanika?????
Sijaomba Ban,sina addiction na JF kiasi hicho!natumai hujambo!
Nilijua angepata BAN majibu yake ya jana yalikuwa makali. Ni kama alikuwa amevaa gloves. Nilikoswa sumbwi lake moja, kwa kuwa Rev ni mjanja wa kukwepa. Maisha yataendelea nadhani ile ID yake nyingine nimeiona sehemu ....yupo!
Heee!
Watu wanashindwa kujizuia kuingia JF hadi waombe ban!!
Jamani, aunt michelle........
Pole Michelle
Jana hali ya hewa ilikuwa imechafuka jukwaa KUU na Michelle naona alishindwa kuzuia hisia zake.
Tutakukosa dada!!
Nilikukosa pia kaka Realman,i hope anniversary ilikwenda vizuri!
Kwa mtindo huu ndo maana najikalia jukwaa la bondeni :sick::sick::sick:
poor my michelle.....pole sana dear.....missing you
Akirudi mumshauri awe anabaki hapahapa MMU, kule jukwaa la siasa hapawezi, jana alitumia hasira kuliko hoja.
Ni vizuri abakie hapa kutupa injili(licha ya kwamba sijawahi muona akinakili kifungu cha Biblia kama Miss Judith); ila wakati fulani hata hapa huwa anawaka kwa hasira(ndani ya key board), si mchezo hasa ukienda tofauti na misimamo yake!
Pole Michelle I miss u kuna ile kazi nilikupaga haijesha,,,,,
Tumwachie ajipumzikie zake, mambo mengi yanamkabili ya nje na ya chumbani.:roll:
Michelle, Michelle, Michelle .You are ,and will be Missed alot my dear!