Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani, sharing is caringEti babe bye ndo naingia getini.... keshooo eee
I love uu
I love u my foot unaempenda ni huyo unayemuogopa......
Posts kama hizi huambatana na jina la mtumiwa🤣Babe usijali sana comments zangu kwa uzi huu
Will respect ur wife na kuhakikisha hustukiwi na furaha inakuwepo. Just be a man kwangu.
Dating a married man is sexy...... saa ingine ni addiction.
Zile haraka haraka za kuibia ni tamu sana.
Bora tu aniage kawaida ila mambo ya ndo naingia Home bye... why dramatising?Jamani, sharing is caring
Unataka nivunje ndoa ya mtu then niharibu furaha yake .....nooo. am here to make him better na si kuharibuPosts kama hizi huambatana na jina la mtumiwa🤣
KhaaaBabe usijali sana comments zangu kwa uzi huu
Will respect ur wife na kuhakikisha hustukiwi na furaha inakuwepo. Just be a man kwangu.
Dating a married man is sexy...... saa ingine ni addiction.
Zile haraka haraka za kuibia ni tamu sana.
Si ndiyo anajibebishaBora tu aniage kawaida ila mambo ya ndo naingia Home bye... why dramatising?
Si lazima ahusishe kuingia ndan.Si ndiyo anajibebisha
Unataja hata wajihi tu. Unasema wee mbebez mwenye sharubu za kuvutia magari ninakuzimia na kadhalika.....Unataka nivunje ndoa ya mtu then niharibu furaha yake .....nooo. am here to make him better na si kuharibu
Nn sasaKhaaa
Wewe hata ubembeleze vipi sijielezi kwa code yoyote. Uzuri huwa anasoma..Unataja hata wajihi tu. Unasema wee mbebez mwenye sharubu za kuvutia magari ninakuzimia na kadhalika.....
Tunaishi kwa codes humu ujue
We sio mchepuko kwa con man wako 🤣Hivi mchepuko ni nani au nini maaana ya mchepuko
Nilikua na mchepuko mmoja unatembea kwenye hizo lines zako, kesi kama zoteSi lazima ahusishe kuingia ndan.
Najua mipaka yangu
Zile haraka haraka za kuibia ni tamu sanaNn sasa
Jina lako linaelezea ulaini wa moyo wako. Sasa kujifanya mgumu ni utamaduni mpya kwako😊Wewe hata ubembeleze vipi sijielezi kwa code yoyote. Uzuri huwa anasoma..