Duh million 2 kirahisi.Mambo murua! (Bam bam)
View attachment 1811380View attachment 1811382
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
Ha ha ha, mkuu huo usiuite mchepuko ita pozeo... maana unakopa!!Nyie mko mbali.....mnakopeshana mpaka laki 5?
Mimi hiyo ten tu hatokaa aone simu yangu kwake tena!!![emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa Mkuu. Ila mimi sijui nikoje,demu akiniomba hata buku ndo nishamkosa. Ila asipoomba najikutaga nafunguka tu.ha ha ha, mkuu huo usiuite mchepuko ita pozeo... maana unakopa!!
Kitongaaa..... safi lakini - mjini mipango, K si lazima ununue hata za bure zipo nyingi tu mbona... ingawa bure ina gharama wakati mwingine kuwa makini.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa Mkuu. Ila mimi sijui nikoje,demu akiniomba hata buku ndo nishamkosa. Ila asipoomba najikutaga nafunguka tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amini chief, kuna michepuko inajua shida za mtu, hailii njaa inajitegemea na iko vizuri kiuchumi, yaani ni wife material kabisa sema ndio imekuwa michepuko yetu!Duh million 2 kirahisi.
Sema tu huna helaHiyo ndio michepuko ya kuwa nayo sasa (michepuko lami), sio michepuko kila siku vurugu tu, ukiamka, ukimpigia simu, ukimuuliza hali, ye kila wakati anataka hela tu!!
Kuna mchepuko huo niliuona ni mama wa rafiki yangu yaani hadi yule mama anafariki ndio nikajua kuwa alikuwa mchepuko yaani alikuwa anasomesha watoto wa nyumba kuu nikizani anasomesha watoto wa mchepuko kumbe yeye ndio mchepukoHuo mchepuko siyo wa nchi hii
Hata kama sina hela lakini mtu akishajijua kuwa yeye ni mchepuko basi na atangulize ubinaadamu sio kutaka kunikomoa!!Sema tu huna hela
Pole sana uncleHata kama sina hela lakini mtu akishajijua kuwa yeye ni mchepuko basi na atangulize ubinaadamu sio kutaka kunikomoa!!