Michepuko msitufanye Benki ya Dunia

Michepuko msitufanye Benki ya Dunia

Mchepuko ndie anefanya kaz ngumu kuliko mke ..
Ana haki ya kuomba hela nyingi sababu
*Goli nyingi hua anapigwa yeye
*Stail zote ngumu huwa anafanyiwa yeye
*Puturuu, vumbi, vega, jack power anapakiwa yeye na kumezewa yeye.
* Mpalange buza ..anapelekwa yeye


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app


Michepuko kumbe wanakutanaga na mengi aisee?! [emoji3][emoji3]

Wanaume ndiko wanakojifunzia ku practice styles mbalimbali za kihuni !

Ndio maana malaya wengi huwa watu wa hasira nyingi , uchungu na matusi mdomoni kama yote [emoji108][emoji108]

Kumbe sababu ya kufanywa vibaya !
 
Kuna yale majaamaa yanayotoa pesa kwa uchungu ....na kulalamika..hapo hawakubali lazima walipize ...mziki sawa na pesa hadi wanajuta kwann waliomba hela.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Sasa ndio nini? Umkomeshe mtu kisa kaomba hela kama haiwezekani si unamuacha ende
 
Yaani bila aibu wala kujistukia kidogo, tena eti ananiita''mume wangu'', kheee!! Watu tupo bize na vita ukraine uko, yeye anataka kuanzisha vita yake na hela zangu!!!


Pumbavuuu, kaona nimeuchuna mpaka eti ananiambia kadri ninavyochelewa kumtumia hela ndio anazidi kuchelewa kuja.
Hongo ya miezi 6 hiyo yy anataka siku 2 tu
 
Wanapata taab sana ...ni haki yao aisee..
Kuna hiyo stail inaitwa popo kanyea mbingu mbwa kchoka ...na ile kiranga komo...mtu anapigishwa mswaki had kwenye koromelo ..anatapika lakin wapi...anamezeshwa..tu ...

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kiranga komo[emoji38][emoji38][emoji38]
 
watoto wa kike siku hizi wana njaa ya hatari,unaweza piga mtaa mzima kama una vijisenti , angeomba mtaji wa laki 3 wa mama ntilie ningemwelewa, u
 
Mungu akusaidie sana!
Nimeona kuna waliokuwa na michepuko bila kupenda ila yaliwakuta majanga Kwenye ndoa plus kunyimwa tendo kwa muda mrefu na mke akajikuta hana namna ,akawa na mchepuko bila kupenda

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna baadhi ya wanawake wanajisahau Sana wakiolewa Sana lkn kunawengine wamepta bahat mbaya kuolewa na wanaume zipuzao hazifungi hta wapewe nn hawaridhiki alafu Cha ajabu na hela hawana Wana kazi ya kulialia tu[emoji23][emoji23]
 
Aah wapi kuna wanaume bwanaa
Yaani wanaume na nusu!
Anaelewa majukumu yake anakaa Kwenye nafasi yake[emoji119]
Huombi hela ,anaelewa lazima uende saluni,na matumizi mengine ya kawaida unapewa huombi!

Yaani utaomba vile vya lzm tu ambavyo havipo Kwenye ratiba na ...km hivyo labda mtaji,tena mwenye akili atakusaidia ili uache kuomba pesa ndogo ndogo nk

Sent using Jamii Forums mobile app
Haonwaoaji...sie wagegedaji hilo halipo
 
[emoji23][emoji23][emoji23] watu wako tofaut jmn

Mwenzako kalipa kodi ya nyumba mil 4 pr yr wewe laki 3 tu umeuchuna hata kujibu sms hutaki

DeepPond njoo umpe neno baharia mwenzako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilichogundua wanaume wenye michepuko ndo wanaongoza kwa kuwa na stress[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1]kuliko wasiooa kabisa
Mkuu utafiti wako umeufanyia Ukraine au Russia?
No research,no speakin.
 
Mafurushi, mlitumwa? Si viranga vyenu. Na mkufe tu.
 
Back
Top Bottom