Michepuko sio dili jamani

Mwambie kuwa ame-wrong number, haumjui.

Mkane juu kwa juu, kwani anakupaga na hela? Si ni mapenzi tu, ambayo unaweza kuyapata hata kwa mwingine.
 
Wazoefu tunavunga mpaka ajitambulishe mwenyewe
 

Attachments

  • Screenshot_20240116_004747.jpg
    103.2 KB · Views: 4
Amenitext kwa namba ngeni akasema nimtaje jina kama kweli nampenda

Mpaka sasa namtajia jina la tano anasema sio yeye

[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji1751][emoji1751][emoji1751]
Ungetaja jina la sister wako tu
 
Kwani kumuuliza jina lake inakudhuru nin?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…