Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila picha ni uzushiAmenitext kwa namba ngeni akasema nimtaje jina kama kweli nampenda
Mpaka sasa namtajia jina la tano anasema sio yeye
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji1751][emoji1751][emoji1751]
Amemtexthata sauti haujamjua..?🤣
hayo ndio majanga yakujitakia et
ampigie unawezaje kujaribiwa kirahisi hivyoAmemtext
Nakaziaampigie unawezaje kujaribiwa kirahisi hivyo
Ungetaja jina la sister wako tuAmenitext kwa namba ngeni akasema nimtaje jina kama kweli nampenda
Mpaka sasa namtajia jina la tano anasema sio yeye
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji1751][emoji1751][emoji1751]
hii namba mbona inajulikana ngoja na mm nimchezee mchezo maana sina kazi ya kufnya hapaWazoefu tunavunga mpaka ajitambulishe mwenyewe
Huja wahi kuwa na akili😃😁🤣hii namba mbona inajulikana ngoja na mm nimchezee mchezo maana sina kazi ya kufnya hapa