Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Busquets desires Barca stay

Agent indicates midfielder keen to stay

By Francisco Acedo Last updated: 19th January 2011

busquets_2475735.jpg
Busquets: New deal
SKY SPORTS ON SKY

There's more live football on Sky Sports than ever before, including the Barclays Premier League, UEFA Champions League, Clydesdale Bank Premier League, England away Euro 2012 qualifiers and La Liga. With four live Sky Sports channels, as well as Sky Sports News, you'll never miss a moment on Sky. Click here for more.

Related links

Teams


Players


Also see



Skysports.com understands Barcelona midfielder Sergio Busquets will sign a new deal at the Camp Nou.
The Spain international has been linked with a move to Premier League leaders Manchester United
spacer.gif
but the 22-year-old looks set to remain in Catalunya.

Barca have been locked in talks with Busquets
spacer.gif
for months and it looks like a deal is close to being thrashed out.

Sources have suggested the midfielder will put pen to paper on a new contract that would keep him at the La Liga
spacer.gif
champions until 2016.

Busquets' agent Jose Maria Orobigt said: "Sergio is content in Barcelona and it is normal that those desires are to stay at the club".
 
Fixtures and Results

Football > Primera Liga
January 11


Sun - 2nd Jan 11Add to calendarTimeCompetitionHome teamScoreAway teamTV/Video DetailsPreview/ReportBetting link 15:00
Athletic Bilbao 1 - 2 Deportivo La Coruna
17:00
Barcelona 2 - 1 Levante
17:00
Sporting Gijon 1 - 2 Malaga
19:00
Sevilla 1 - 0 Osasuna
21:00
Valencia 2 - 1 Espanyol
Mon - 3rd Jan 11Add to calendarTimeCompetitionHome teamScoreAway teamTV/Video DetailsPreview/ReportBetting link 19:00
Villarreal 2 - 0 Almeria
19:00
Atletico Madrid 0 - 0 Racing Santander
19:00
Mallorca 3 - 0 Hercules
19:00
Real Zaragoza 2 - 1 Real Sociedad
21:00
Getafe 2 - 3 Real Madrid
Sat - 8th Jan 11Add to calendarTimeCompetitionHome teamScoreAway teamTV/Video DetailsPreview/ReportBetting link 17:00
Malaga 1 - 1 Athletic Bilbao
19:00
Real Sociedad 2 - 3 Sevilla
21:00
Deportivo La Coruna 0 - 4 Barcelona
Sun - 9th Jan 11Add to calendarTimeCompetitionHome teamScoreAway teamTV/Video DetailsPreview/ReportBetting link 16:00
Osasuna 0 - 0 Getafe
16:00
Racing Santander 1 - 1 Sporting Gijon
16:00
Espanyol 4 - 0 Real Zaragoza
16:00
Mallorca 4 - 1 Almeria
18:00
Real Madrid 4 - 2 Villarreal
20:00
Levante 0 - 1 Valencia
Mon - 10th Jan 11Add to calendarTimeCompetitionHome teamScoreAway teamTV/Video DetailsPreview/ReportBetting link 20:00
Hercules 4 - 1 Atletico Madrid
Sat - 15th Jan 11Add to calendarTimeCompetitionHome teamScoreAway teamTV/Video DetailsPreview/ReportBetting link 17:00
Sporting Gijon 2 - 0 Hercules
17:00
Villarreal 4 - 2 Osasuna
17:00
Getafe 0 - 4 Real Sociedad
17:00
Real Zaragoza 1 - 0 Levante
19:00
Athletic Bilbao 2 - 1 Racing Santander
21:00
Sevilla 1 - 2 Espanyol
Sun - 16th Jan 11Add to calendarTimeCompetitionHome teamScoreAway teamTV/Video DetailsPreview/ReportBetting link 16:00
Valencia 2 - 0 Deportivo La Coruna
18:00
Almeria 1 - 1 Real Madrid
20:00
Barcelona 4 - 1 Malaga
Mon - 17th Jan 11Add to calendarTimeCompetitionHome teamScoreAway teamTV/Video DetailsPreview/ReportBetting link 20:00
Atletico Madrid 3 - 0 Mallorca
Sat - 22nd Jan 11Add to calendarTimeCompetitionHome teamScoreAway teamTV/Video DetailsPreview/ReportBetting linkadd to calendar17:00
Sevilla vs Levante
add to calendar19:00
Barcelona vs Racing Santander
add to calendar21:00
Valencia vs Malaga
Sun - 23rd Jan 11Add to calendarTimeCompetitionHome teamScoreAway teamTV/Video DetailsPreview/ReportBetting linkadd to calendar16:00
Sporting Gijon vs Atletico Madrid

add to calendar16:00
Real Zaragoza vs Deportivo La Coruna

add to calendar16:00
Getafe vs Espanyol

add to calendar16:00
Almeria vs Osasuna

add to calendar18:00
Real Madrid vs Mallorca

add to calendar20:00
Villarreal vs Real Sociedad

Mon - 24th Jan 11Add to calendarTimeCompetitionHome teamScoreAway teamTV/Video DetailsPreview/ReportBetting linkadd to calendar20:00
Athletic Bilbao vs Hercules

Sun - 30th Jan 11Add to calendarTimeCompetitionHome teamScoreAway teamTV/Video DetailsPreview/ReportBetting linkadd to calendar16:00
Racing Santander vs Valencia

add to calendar16:00
Espanyol vs Villarreal

add to calendar16:00
Osasuna vs Real Madrid

add to calendar16:00
Deportivo La Coruna vs Sevilla

add to calendar16:00
Levante vs Getafe

add to calendar16:00
Malaga vs Real Zaragoza

add to calendar16:00
Hercules vs Barcelona

add to calendar16:00
Atletico Madrid vs Athletic Bilbao

add to calendar16:00
Real Sociedad vs Almeria

add to calendar16:00
Mallorca vs Sporting Gijon

Primera Liga
January 11


Last Updated: 23:38 17/01/2011

Key

stv.gif
Coverage on Sky TV
fix-live.gif
Live scores
fix-bet.gif
Bet with Sky Bet

fix-win.gif
Fixture won
fix-drw.gif
Fixture drawn
fix-los.gif
Fixture lost

fix-add.gif
Add fixture to calendar
15:00
Times in GMT / BST
 
Transfer news, rumours and gossip from Thursday's papers

Published 09:18 20/01/11 By Football Spy

PaperTalk.jpg



Transfer stories from today's Daily Mirror
Liverpool refuse to be bullied over Suarez
Liverpool chief promises fans: We can buy big names
Chelsea set to land top target Luiz

Monaco lining up £9million Adebayor
Sunderland chasing Fuller and Owen
Sunderland rule out move for Keane
Villa aiming to get Ireland out and Adam in
SWP agent confirms Fulham want City ace
Wheater's Bolton move edging closer
Hammer Behrami in the dark over Fiorentina move
'The new Drogba' Romelu Lukaku has NOT signed for Manchester City
Cantona signs for New York Cosmos
Gullit wants Boyd to swap Boro for Russia
Baggies back in for Boateng
Watford snap up Villa starlet
Cardiff close to Keinan capture
Owls swoop for Lee Hughes
Pompey willing to pay up for Norris
Villa loan starlet Weimann to Watford
Rangers out to make Healy's dream come true
Transfer stories from other newspapers and websites
Manchester United
are ready for a major clear-out this summer as Alex Ferguson looks to re-shape his squad. Edwin van der Sar, Gary Neville, Owen Hargreaves, Wes Brown, Tomasz Kuszczak and Michael Owen are all set to leave, while Ferguson will also decide on the futures of Michael Carrick, Paul Scholes and Patrice Evra . (The Times)
Chelsea boss Carlo Ancelotti is still chasing £25m-rated Udinese midfielder Alexis Sanchez , but so far the Blues have been unable to agree a fee with the Serie A club for the Chile star. (The Sun)
The Blues will also move for Manchester City defender Joleon Lescott , 27, if they fail to sign David Luiz, 23, from Benfica. (Daily Mail)
Meanwhile Man City are tracking Palermo defender Giuseppe Presti a. (The Times)
Sunderland boss Steve Bruce wants Spurs striker Peter Crouch and Cardiff forward Jay Bothroydto fill the void left by Darren Bent's departure, and hopes to buy both for around £12m. Bruce also wants to bring Blackpool skipper Charlie Adam to Wearside. (Daily Star)
Or, Bruce is targeting Tottenham's Russia striker Roman Pavlyuchenko, Stoke's Ricardo Fuller , Wigan's Hugo Rodallega or Birmingham's Kevin Phillips . (Daily Express)
The Black Cats are also set to go back in for Wigan's French winger Charles N'Zogbia . (The Times)
Aston Villa are set to make a third bid for Blackpool captain Charlie Adam , upping their offer to £4m. (Guardian)
Tottenham are considering a £16.5m move for former Manchester United striker Giuseppe Rossi , 23, who is now playing for Villarreal. (Independent)
Spurs are also weighing up a move for Porto striker Hulk , but may be priced out of a move as his club want £35m for him. (Daily Mail)
Blackburn are in talks over a move for Argentine midfield star Juan Roman Riquelme . (The Sun)
Meanwhile Sunderland target Stephane Sessegnon has gone on striker at PSG in a bid to force through his £4m move to Wearside. (The Sun)
West Ham are targeting Sporting Lisbon's 24-year-old midfielder Simon Vuksevic . (Daily Star)
Tottenham boss Harry Redknapp is ready to hand William Gallas a new contract at the end of the season. (The Sun)
Newcastle have joined Fulham in the race to sign Manchester City winger Shaun Wright-Phillips . (Daily Star)
Manchester United, Tottenham, Bolton and Everton are all chasing Schalke's Croatian midfielder Ivan Rakitic , who is out of contract in the summer. (sport.co.uk)
Manchester United are preparing for Patrice Evra's possible exit this summer by lining up Everton left-back Leighton Baines and Benfica defender Fabio Coentrao as possible replacements for the Frenchman. (Daily Telegraph)
Fulham captain Danny Murphy is on the verge of signing a new one-year deal to keep him at Craven Cottage. (Daily Star)
Former Fulham defender Paul Koncheskycould rejoin the club as Liverpool are keen to offload him after he failed to impress since his £4m switch in the summer. (Daily Mail)
Manchester United and Arsenal are ready to go head-to-head in the battle to sign Real Madrid defender Sergio Ramos . (Caughtoffside.com)
Chelsea, Spurs and Man United are tracking 20-year-old Standard Liege defender Daniel Opare . (The Sun)
Liverpool, Arsenal and Aston Villa are all set to hold talks with CSKA Moscow's in-demand Japan international midfielder Keisuke Honda . (sport.co.uk)
But his Japan team-mate Shinji Kagawa may not be on his way to the Premier League after Manchester United were warned off making a summer move for the Borussia Dortmund star who value him at £20m. (talkSPORT)
Birmingham City have had a loan bid for Manchester City's Brazilian striker Jo rejected. (Daily Mail)


 
Villa won't pay over the odds for Adam

Published 10:23 20/01/11 By MirrorFootball

.jpeg



Aston Villa will not pay over the odds to sign Blackpool skipper Charlie Adam during the January transfer window.
The midlands club have already had bids of £2.5 million and £3.5 million rejected by the Seasiders for Adam.
Villa manager Gerard Houllier would like to add Adam to his other January signings in striker Darren Bent, midfielder Jean Makoun and on-loan Tottenham defender Kyle Walker.
But sources close to the club indicate Houllier and owner Randy Lerner are in agreement about Villa not making an inflated offer in excess of what they feel Adam is worth.

With the arrival of Makoun, and the return to fitness of experienced duo Stiliyan Petrov and Nigel Reo-Coker, Villa are not short of numbers in the centre of the park.
Adam has only 18 months left of his current deal with the Tangerines.
Blackpool boss Ian Holloway has said the summer would be the ideal time for Adam to leave should he decide his future lies elsewhere.
He has been scathing of Houllier for making public his interest in Adam.
But Houllier was only responding to media questions about the Scottish midfielder rather than issuing any statements of his own on the subject.
Meanwhile, Bent admits he is flattered by the amount of attention his move from Sunderland has caused - but cannot wait for a return to the quiet life along with his mother Shirley.
He said: "I kind of hate it to be honest. I've never been one for my picture being here, there and everywhere.
"It's horrible at the moment because there's so much going on with Sunderland and Villa. It's horrible.
"My mum can't stand it! She hates going out of the house when it's all happening like at present.
"I don't like it. I prefer to go about things quietly. If the transfer could have gone through under the radar, I'd have been happy.



 
Bolton complete Wheater signing

Published 10:13 20/01/11 By MirrorFootball

wheater.jpg



Bolton have completed the signing of Middlesbrough defender David Wheater for an undisclosed fee.
Wheater, 23, has agreed a three-and-half-year deal at the Reebok Stadium.
He could make his debut against Chelsea on Monday after arriving at the club's Euxton training complex this morning.
Manager Owen Coyle was keen to bolster his defence after selling Andy O'Brien to Leeds.

It understood Bolton have agreed a £2.3million fee with a further £1.5million based on appearances.
Coyle said: "First and foremost we are absolutely delighted to get a player of David's quality into Bolton. The hunger that he has shown in wanting to come to the football club has been first class.
"There has been a lot of competition for his signature and again this shows a willingness on our behalf to invest in young players.
"The club have parted with good money to secure the services of a very talented player who has been involved with England squads before.
"We want him to be involved at that level again and to do that he will have to play well for Bolton Wanderers, however he has arrived here with a real desire to achieve that.
"He has a great character as well. He will integrate into the group straight away and it all adds to the fantastic spirit that we have within the squad."
Wheater already has vast amounts of Premier League experience with Middlesbrough.
He said: "I met with the manager and we had a good chat about football.
"I had a look around the facilities and it was a really easy decision to make.
"From what I've seen there is a really great atmosphere at the club and a real buzz about the place and I'm looking forward to working hard and showing the manager what I can do."
 
Pennant 'forgot his Porsche in Spain'

Published 23:00 19/01/11 By Greig Box Turnbull

.jpeg



Stoke loan star Jermaine Pennant is said to have forgotten he owns a Porsche, according to reports.
Spanish club Real Zaragoza contacted their former star after city authorities called them about the car, which had been parked at a local rail station for five months.
Club officials were forced to open the car and were surprised to discover the keys were on the seat.
Although the vehicle reportedly had a 'P33NNT' vanity number plate, Pennant said he did not remember anything about the car.

Pennant, 28, joined Zaragoza from Liverpool in 2009, but returned to the Premier League at the start of this season when he signed for Stoke on loan. His move became permanent last month.
The player's agent last night denied the oversight.


 
Baggies hoping to snap up Villa striker

Published 09:25 20/01/11 By MirrorFootball

John+Carew.jpeg



West Brom head coach Roberto Di Matteo has confirmed his interest in signing Aston Villa striker John Carew.
Di Matteo hopes Villa will allow Carew to leave after the signing of Darren Bent from Sunderland for a club record £18 million.
The Norwegian international had already slipped down the pecking order at Villa before Bent's arrival.
Di Matteo confirmed: "They (Villa) know of our interest (in Carew).

"But obviously it has been a bit hectic there the last couple of days (with the Bent signing).
"We have a few other options as well that we are pushing forward with."
Carew has been Villa's leading scorer for the past three seasons and is out of contract in the summer.
Meanwhile, Baggies striker Ishmael Miller may be allowed to go out on loan for the remainder of the season to gain match sharpness.
Championship leaders QPR are understood to be interested in signing the former Manchester City player.
Miller has been plagued by injury problems for the past two years and only just returned to training after his latest niggle.
Di Matteo said: "We are deciding on that one. If if happens, it will be for the rest of the season.
"Ishmael needs to be able to play week in and week out to reach his full potential and gain match fitness.
"But, to an extent, it will depend on us bringing someone else in first.
 
Blackburn table bid for Brum midfielder

Published 10:19 20/01/11 By MirrorFootball

.jpeg



Birmingham's in-demand winger Sebastian Larsson has emerged as a target for Blackburn, Press Association Sport understands.
Rovers are understood to have made a bid - believed to be around £500,000 - for the Sweden international.
Larsson was also a target for Newcastle and the two clubs agreed a fee.
But the move fell through after Larsson was unable to agree personal terms with the north-east club.

Larsson is out of contract in the summer and has failed to reach agreement over a new deal.
Meanwhile representatives of out of favour Birmingham midfielder Michel are having talks with City over his future.
Michel was signed from Sporting Gijon 12 months ago but has failed to make an impact.
He was a target for AEK Athens but they have since cooled their interest.
Blues manager Alex McLeish told Press Association Sport: "I am sorry the Michel one has not worked out.
"But Barry Ferguson's form has been stunning and made it difficult for Michel.
"Who knows, it could have been different if he had got the nod ahead of Barry and played regular football.
"I've been involved in a few transfer dealings over the past couple of years and I'm disappointed one hasn't worked out."
 
Asante kwa kutuletea habari za michezo.
Nashauri makala ingechanganya kidogo na michezo mingine kama Tennis n.k badala ya kabumbu tu
 
Wanachama wataka Nchunga asimamishwe
Thursday, 20 January 2011 20:43

nchunga%20yanga.jpg
Clara Alphonce
UONGOZI wa Matawi ya klabu ya Yanga umeiagiza Kamati ya Utendaji ya klabu hiyo kumsimamisha haraka Mwenyekiti wao Lloyd Nchunga mpaka utakapofanyika Mkutano Mkuu wa wanachama wote kuamua hatma yake.

Uamuzi huo umekuja baada ya jana kupatikana kwa barua ambayo Nchunga alimwandikia mmoja wa wajumbe wa bodi ya udhamini Francis Kifukwe ikimuagiza atafute wajumbe 10, kwa ajili ya kufufua kampuni ya Yanga.

Wakizungumza kwenye makao makuu ya klabu hiyo mitaa ya Twiga na Jangwani jijini Dar es Salaam, katika mkutano wao uongozi wa matawi ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake Mohammed Msumi, uliiagiza kamati ya utendaji kutekeleza haraka agizo hilo.

"Huku tunakokwenda si kuzuri hata kidogo kwani tunauzwa bila kujielewa,ili kuinusuru hali hii tunamuomba Nchunga asimamishwe haraka mpaka utakapofanyika mkutano mkuu wa wanachama," alisema Msumi.

Alisema maazimio hayo yamependekezwa na viongozi 84 wa matawi ambao walihudhuria mkutano huo wa jana ulioanza saa nane mchana.

Msumi alisema katika barua hiyo ya Nchunga aliyomwandikia Kifukwe, atafute wajumbe hao ambao kila mmoja atakuwa na uwezo wa kuikopesha Yanga Shs 50 milioni kwa mwaka bila riba, klabu hiyo iwe na mtaji wa Shs 500m.

Barua hiyo ilisema wajumbe hao10 watafutwe haraka ili wafufue kampuni hiyo kwa lengo la kufanya biashara kwa kutumia nembo ya Yanga kwa kipindi cha miaka 10.

Ilieleza kuwa katika wajumbe hao kumi watamchagua Mwenyekiti wao ambao watafanya na Yanga biashara kwa kipindi cha miaka mitatu, baada ya hapo watarudishiwa fedha yao waliyoitoa na klabu kurudi mikononi mwa wanachama na wakati huo Yanga tayari itakuwa na mtaji wake wa kutosha.

Katika mkutano huo uongozi wa matawi ulimtaka Katibu Mkuu Lawrence Mwalusako awafafanulie kama kamati ya utendaji ilipitisha uamuzi huo, lakini katibu huyo alidai kwamba kwa mara ya kwanza barua hiyo aliiona katika kikao cha kamati ya utendaji kilichofanyika jana.

"Mimi ndio kwanza barua hii niliiona katika kikao cha kamati ya utendaji kilichofanyika jana, ambapo Mwenyekiti wetu Nchunga alitukabidhi na kamati iliamua lisifanyike jambo hili mpaka watakapopitia baadhi ya vifungu vya katiba," alisema Mwalusako.

Naye mjumbe wa kamati ya Utendaji, Mohamed Binda aliyetumwa na uongozi katika kikao hicho kuzunguzia yaliyojili katika kikao kilichofanywa na viongozi wa Yanga katika hoteli ya Lamada alisema kamati imempa onyo makamu mwenyekiti, Davies Mosha kwa kukiuka utaratibu wa kuzungumza na vyombo vya habari.

Hata hivyo walimsifu kwa ujasiri wake wa kuyaweka wazi maovu yanayofanywa na Nchunga hivyo kamati imetegua maombi ya barua ya kutaka kutafuta wadhamini 10, hadi hapo mkutano mkuu utakapokaa.

Katika mkutano huo uongozi huo wa matawi ulipitia ajenda kuu tatu, ushiriki wa timu yao katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Kombe la Shirikisho (CAF) na mgongano wa viongozi na uvunjwaji wa katiba.

Wakati hayo yakitokea timu ya Yanga leo inashuka dimbani kucheza dhidi ya vibonde wa ligi kuu timu ya AFC Arusha kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Mchezo huu wa leo utakuwa na umuhimu mkubwa baina ya timu zote mbili ambazo zinasaka pointi tatu kwa ajili ya kujiweka katika nafasi nzuri ya msimamo wa ligi, Yanga inakamata nafasi ya pili juu ya wapinzani wao wa jadi Simba huku AFC ikitafuta namna ya kujikwamua mkiani.

Yanga inaingia uwanjani ikiwa kamili kukabiliana na wapinzani wao AFC ambao licha ya kwa sasa klabu hiyo kukabiliwa na ukata wa fedha za kujikimu pia ina kazi kubwa ya kuhakikisha inajinasua katika nafasi hiyo ya kushuka daraja msimu ujao.

Kwa upande wa Yanga ambao ni mchezo wao wa kwanza katika ligi huku AFC tayari wakiwa wamepoteza mchezo wa kwanza dhidi ya Afrika Lyon wanaingia uwanjani wakiwa na lengo moja tu la kusaka ushindi dhidi ya AFC ili kujitengenezea mazingira mazuri ya kutwaa ubingwa.

Kocha wa Yanga Kostadin Papic amesema vijana wake wako vizuri licha ya kupoteza baadhi ya michezo yao ya kirafiki,lakini anaamini imewasaidia sana katika kujiandaa na wanaingia uwanjani huku wakiwa na lengo la kuanza na ushindi katika mchezo wao wa leo.

"Tulikuwa na muda mwingi wa maandalizi na maandalizi haya yamelenga katika vitu viwili ambavyo ni ligi kuu pamoja na mashindano yaliyopo mbele yetu ya kombe la shirikisho..mchezo wa leo kwetu ni muhimu sana hivyo tutatumia vyema nafasi hii kushinda ili kujiweka katika nafasi nzuri,"alisema Papic.

Kwa upande wa kocha wa AFC, Idd Chama amesema licha ya kuanza vibaya katika ligi hiyo na timu hiyo kuendelea kufanya vibaya wanajipanga na wamerekebisha makosa hivyo anategemea vijana wake watabadilika na kuweza kufanya vizuri.
 
Asante kwa kutuletea habari za michezo.
Nashauri makala ingechanganya kidogo na michezo mingine kama Tennis n.k badala ya kabumbu tu

Nitajitahidi lakini na wewe zibandike zile unazopenda tupashane habari. Hii ni kazi yetu sote msiniachie mimi tu nitakwama..................
 
Yanga vurugu tupu


Na Elizabeth Mayemba

HALI ya hewa ndani ya Yanga, imezidi kuchafuka baada ya uongozi wa matawi wa klabu hiyo kuiagiza Kamati ya Utendaji, imsimamishe haraka Mwenyekiti
wao, Lloyd Nchunga mpaka utakapofanyika Mkutano Mkuu wa wanachama wote kuamua hatma yake.

Hatua hiyo imekuja baada ya jana uongozi huo kupata barua ambayo Nchunga, alimwandikia mmoja wa wajumbe wa bodi ya udhamini, Francis Kifukwe ikimuagiza atafute wajumbe 10 kwa ajili ya kufufua kampuni ya Yanga.

Wakizungumza Dar es Salaam jana Makao Makuu ya klabu hiyo, mitaa ya Twiga na Jangwani, katika mkutano wao, uongozi huo chini ya Mwenyekiti wake Mohammed Msumi, uliiagiza Kamati ya Utendaji kutekeleza haraka agizo hilo.

"Huku tunakokwenda si pazuri hata kidogo, kwa kuwa tunauzwa bila kujielewa na ili kuinusuru hali hii tunaomba, Nchanga asiamishwe haraka mpaka utakapofanyika Mkutano Mkuu wa wanachama," alisema Msumi ambaye ni Mwenyekiti wa matawi.

Alisema maazimio hayo yamependekezwa na viongozi 84 wa matawi, ambao walihudhuria mkutano huo wa jana ulioanza saa nane mchana.

Msumi alisema katika barua hiyo ya Nchunga aliyomwandikia Kifukwe, atafute wajumbe hao ambao kila mmoja atakuwa na uwezo wa kuikopesha Yanga sh. milioni 50 kwa mwaka bila riba, klabu hiyo iwe na mtaji wa sh. milioni 500.

Barua hiyo ambayo nakala yake tunayo, ilieleza wajumbe hao 10 watafutwe haraka ili wafufue kampuni hiyo kwa lengo la kufanya biashara kwa kutumia nembo ya Yanga kwa kipindi cha miaka 10.

Ilieleza kuwa katika wajumbe hao kumi watamchagua Mwenyekiti wao, ambao watafanya biashara na Yanga kwa kipindi cha miaka mitatu, baada ya hapo watarudishiwa fedha yao waliyoitoa na klabu kurudi mikononi mwa wanachama na wakati huo Yanga tayari itakuwa na mtaji wake wa kutosha.

Katika mkutano huo wa viongozi wa matawi ulimtaka Katibu Mkuu wa klabu hiyo, Lawrence Mwalusako awafafanulie kama Kamati ya Utendaji ilipitisha maamuzi hayo, lakini katibu huyo alidai kwamba yeye kwa mara ya kwanza barua hiyo aliiona katika kikao chama Kamati ya Utendaji kilichofanyika juzi.

"Mimi barua hii niliiona katika kikao cha Kamati ya Utendaji kilichofanyika jana, ambapo Mwenyekiti wetu Nchunga alitukabidhi na kamati iliamua lisifanyike jambo hili mpaka watakapopitia baadhi ya vifungu vya katiba," alisema Mwalusako.

Katika mkutano huo viongozi hao wa matawi ulipitia ajenda kuu tatu, ushiriki wa timu yao katika mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Kombe la Shirikisho (CAF) na mgongano wa viongozi na uvunjwaji wa katiba.
 
Poulsen ajitetea Sosthenes Nyoni
Thursday, 20 January 2011 20:39

KOCHA wa Taifa Stars, Jan Poulsen amesema kukosa umakini kwa mabeki wake kumechangia kwa sehemu kubwa kufanya vibaya kwa timu hiyo katika michuano ya Bonde la Mto Nile iliyomalizika hivi karibuni nchini Misri.

Poulsen alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam wakati alipozungumza na wanahabari akiwaelezea sababu za Stars kufanya vibaya katika michuano hiyo.

Nchi nyingine zilizoshiriki michuano hiyo ni pamoja na wenyeji Misri iliyotwaa ubingwa huo, Uganda, DR Congo, Kenya, Sudan na Burundi.

"Ninaweza kusema mabeki waliniangusha na sijui kwanini nimefanya mazoezi sana nikiwaeleza namna ya kujipanga wakati wa mipira ya kona na krosi lakini bado imekuwa tatizo.

"Ukiangalia karibu magoli yote tuliyofungwa ni hayo hayo angalia tulipicheza na Algeria na hata Chamakh alitufunga hivyo hivyo, lakini hatujirekebishi,"alisema Poulsen.

Poulsen aliitaja sababu nyingine kuwa ni pamoja na wachezaji wake wengi kusosa uzoefu wa kucheza mechi kubwa akimaanisha nchi zilizo na viwango vya juu.

"Tatizo jingine kukosa uzoefu wa kupata mechi ingawa naona limeanza kuifanyiwa kazi.

"Ebu fikiria kila siku unacheza na Rwanda, Burundi au Kenya ambazo viwango vyao havitofautiani sana, kimsingi tunatakiwa kuendelea kupata mechi kuwa ambavyo tulipocheza dhidi ya Ivory Coast na Brazil,"alisema Poulsen.

Aidha Poulsen alisema pamoja na matokeo hayo wamejifunza mengi hasa kutoka kwa wenzao Misri na Congo ambavyo viwango vyao vya soka vipo juu na kuahidi kutumia uzoefu huo kufanya vizuri katika mechi za kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika.

 
Safari ya Brazil yaota mbawa Thursday, 20 January 2011 20:38

Sweetbert Lukonge
MABINGWA wa Tanzania Bara, Simba wameshindwa kukata tiketi ya kwenda Brazil baada ya kulazimishwa sare ya 1-1 na wachezaji 10 wa Atletico Paranaense kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana.

Simba walioahidiwa safari ya Brazil kama wangeshinda mchezo huo walifanikiwa kupata bao la kuongoza dakika 43, kupitia Musa Hassan Mgosi aliyeunganisha vizuri krosi ya Rashid Gumbo dakika moja baada ya kutolewa kwa kadi nyekundu Bruno Batista aliyemchezea vibaya Partick Ochang.

Huku wakishangiliwa kwa nguvu na mashabiki waliofurika uwanjani baada ya waandaji kuondoa viigilio kelele hizo za mashabiki zilizimwa dakika ya 81na Ramon Machado aliyewazidi ujanja mabeki wa Simba na kufunga bao hilo.

Baada ya bao hilo Atletico waliutawala mchezo na kuonekana kuwazidi ufundi Simba kwa sehemu katika dakika hizo za mwisho.
Wakati huohuo; Juma Mtanda anaripoti kutoka Morogoro kuwa Ubabe, undava ulioonyeshwa na wachezaji wa Majimaji na African Lyon ulimlazimisha mwamuzi Thomas Mkombozi kutoka Kilimanjaro kutoa kadi tatu nyekundu kwenye mchezo huo uliomalizika kwa sare 2-2.

Mshambuliaji Ulimboka Mwakingwe aliyefunguliwa jana kuitumikia Majimaji alifunga bao moja na kulimwa kadi nyekundu kwa kumchezea vibaya Sunday Juma dakika ya 28.

African Lyon ilipata bao lake la kuongoza dakika ya tano kupitia Shaban Aboma aliyeunganisha vizuri kona ya Idrisa Rashid, lakini Mwakingwe aliisawazishia Majimaji dakika 18 kwa kumalizia vizuri krosi ya Kassim Kilunga kabla ya mkongwe Patrick Batwel kupachika bao la pili kwa mpira wa adhabu aliopiga nje kidogo ya eneo la 18.

Dakika ya 28, Mwakingwe alitolewa nje kwa kadi nyekundu baada ya kumchezea vibaya Sunday Juma huku Majimaji ikienda mapumziko kifua mbele 2-1.

Wakati timu hizo zikiwa na wachezaji pungufu Haji Dudu aliifungia Lyon bao la kusawazisha akiunganisha mpira wa adhabu wa Stephano Mkombola dakika ya 66 hadi mwisho wa mchezo matokeo yalikuwa 2-2.

Mwamuzi Mkombozi alitoa kadi nyekundu kwa Evarist Maganga wa Majimaji kabla ya kumtoa Shaban Aboma wa Lyon aliyemchezea vibaya Mohamed Kijuso wa Majimaji.
 
Majimaji ruksa kumtumia Mwakingwe Thursday, 20 January 2011 20:37

Sofia Augustino
SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limeiruhusu klabu ya Majimaji ya Songea kumtumia winga wake Ulimboka Mwakingwe katika mechi zake zote za Ligi Kuu.

Hatua hiyo imekuja baada ya kamati ya utendaji ya shirikisho hilo kukutana hivi karibuni na kujadili suala la mchezaji huyo aliyezuiliwa kucheza mechi kutokana na kashfa yake ya kuhusishwa na kutaka kumuongo kipa wa Mtibwa Sugar, Shaaban Kado.

Akizungumza jijini jana Katibu mkuu wa TFF, Angetile Osiah alisema kuwa baada ya kamati hiyo kukutana na kulijadili suala hilo wameamua kumruhusu mchezaji huyo kuitumika timu yake katika mechi zake zote za ligi Kuu.

"Ulimboka yupo huru kuichezea Majimaji hata leo leo (jana) ataweza kucheza dhidi ya African Lyon kama kibari chake kikiwahi kufika huko," alisema Osiah.

Katika hatua nyingine Osiah amewataka viongozi wa timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya inayoendelea kutimua vumbi katika viwanja mbalimbali nchini kuwa makini wakati wanapotoa taarifa za timu zao ili kuepukana na lawama za mara kwa mara ambazo TFF imekuwa ikikumbanazo kila wakati.

"Umefika wakati wa viongozi wa klabu zote za Ligi Kuu nchini kufanya kazi kwa umakini zaidi kwa kushirikiana na TFF katika jambo lololote lile linalohusiana na mechi za ligi kuu ili kuepukana na usumbufu usikuwa na lazima.

Wakati huohuo; Jessca Nangawe anaripoti kuwaTFF imewataka wadau mbalimbali wa soka kuzingatia taratibu za kuleta timu za nje hapa nchini na kuhusisha ngazi za juu vinginevyo zitazuiliwa ili kukwepa usumbufu unaojitokeza kila wakati.

Katibu mkuu Angetile Osiah alisema kwa sasa watahakikisha wanaweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha utaratibu unafuatwa kwa wadau wanaotaka kuleta timu za kucheza mechi hapa nchini.

Aliongeza kwa sasa watahakikisha kunakuwepo na ukaguzi kwa wadau hao wa kiasi cha fedha wanachotumia kuleta timu hizo na kukabidhi nusu ya malipo hayo kwa TFF kama sehemu ya ushaidi ili kuwepo na uaminifu wa kutosha.

"Kikubwa tu hapa tunataka kuwepo na utaratibu mzuri wa kuandaa mazingira wakati tunapohitaji kuleta timu kubwa kama hii ya Brazil na nyingine lengo hasa ni kuhakikisha tunaondokana na matatizo yanajitokeza kama kutekeleza timu na vitu vingine hivyo tutachokifanya kwa sasa ni kuweka msimamo kwa wadau hawa nao jitokeza kudhamini timu hizi,"alisema Angetile.
 
BMT, vyama kujadili mashindano Afrika


NA Amina Athumani

VYAMA vyote vya michezo vinavyoshiriki mashindano ya Afrika 'All Africa Game' vinatarajia kukaa meza moja na Baraza la Michezo Taifa (BMT) ili kuelezea mikakati
waliojipanga kwa ajili ya ushiriki wao katika michezo hiyo.

Michezo hiyo ya All Africa Game hufanyika kila baada ya miaka minne na kushirikisha michezo mbalimbali ikiwemo soka, netiboli, kikapu na riadha.

Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa BMT, Henry Lihaya alisema michezo hiyo inatarajia kufanyika Oktoba, mwaka huu huku Tanzania ikiwa ni moja ya nchi shiriki zinazoshiriki michuano hiyo.

"Tutakaa na vyama vyetu ili kuona tunashirikiana nao vipi katika maandalizi ya kuandaa timu zao katika michezo hii kwani sisi ndio wenye dhamana ya kuhakikisha timu zetu zinafanya vizuri na kuliletea sifa Taifa,"alisema Lihaya.

Alisema kuhusu lini watakutana na vyama hivyo bado hawajapanga kwa kuwa mchakato bado unaendelea wa kutaka kujua zaidi kwa mwaka huu ni michezo gani iliyojidhatiti kwa ajili ya kushiriki michuano hiyo.

Mara nyingi kwa Tanzania michezo inayoshiriki mashindano hayo kwa mara nyingi ni riadha, ngumi na kuogelea ambapo kwa mwaka huu michezo hiyo inatarajiwa kuongezwa.
 
Kili Music awards yazinduliwa


Na Elizabeth Mayemba

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL), kupitia kinywaji chake cha Kilimanjaro, juzi ilizindua rasmi Tuzo za Muziki za Kilimanjaro 'Kilimanjaro Music Awards' kwa mwaka
huu, ambapo kilele chake kitafanyika Machi 26, mwaka huu.

Akizungumza Dar es Salaam juzi wakati wa uzinduzi huo, Meneja wa bia ya Kilimanjaro, George Kavishe alisema kila mwaka wanaboresha tuzo hizo na mwaka huu yatakuwa na ubora zaidi.

"Kwa mwaka huu tumeboresha zaidi tuzo hizi na pia wasanii wa ndani tutawapa kipaumbele zaidi kwa lengo la kukuza vipaji vyao," alisema Kavishe.

Alisema watakuwa wakiboresha zaidi tuzo hizo kila mwaka, lengo ni kujenga vipaji vya wasanii wa hapa nchini na mwaka huu wamejaribu kuboresha maeneo yote muhimu.

Naye Mkurugenzi wa Masoko wa TBL, George Minja alisema nia ya kamapuni yao ni kutaka kufanya kazi karibu zaidi na wasanii, ikiwa na kukuza vipaji vyao.

"Kampuni yetu ina nia nzuri kwa wasanii na ndiyo maana tumekuwa karibu nao kuhakikish tunakuza vipaji vyao kupitia tuzo hizi na mwaka huu tumeboresha zaidi," alisema Minja.

Alisema mwaka huu, watakuwa wakifanya matamasha mbalimbali nje ya Dar es Salaam na pia wamewaomba wadau wa muziki watoe ushirikiano mkubwa, ili kufanikisha shughuli hiyo.

Naye Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Gonje Materego alisema tuzo hizo zitaendelea kutolewa kwa utaratibu mzuri na mwaka huu watafanya mabadiliko makubwa mno.

 
Real Betis yatibua rekodi ya Barcelona


MADRID, Hispania

TIMU ya Real Betis imevuruga rekodi ya Barcelona ya kutaka kufikisha mechi 28 bila kufungwa, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-1 katika michuano ya
Kombe la Copa del Rey, lakini mabingwa hao wa Hispania wakafanikiwa kusonga mbele hatua ya nusu fainali kwa ushindi wa jumla ya mabao 6-3.

Mechi hiyo ambayo ilifanyika usiku wa kuamkia jana, Jorge Molina alifunga mabao mawili dakika saba za mwanzo wa mchezo huo na kuwapa matumaini mashabiki waliofurika kwenye Uwanja wa Benito.

Hata hivyo timu hiyo ya Betis ilifanikiwa kuwadhibiti vilivyo wachezaji, Lionel Messi na Xavi Hernandez wasielewane hadi dakika ya 38 wakati Muargentina huyo alipofunga bao dakika ya 32.

Hata hivyo, Messi alishindwa kufikisha bao lake la 33 baada ya shuti lake la penalti alilopiga dakika ya 54 kupaa juu ya lango huku mchezaji Arturo 'Arzu' Garcia, akiifanya timu yake iwe mbele kwa mabao mawili zaidi baada ya kuwahi mpira uliokolewa kizembe na mlinda mlango, Jose Manuel Pinto.

Kwa ushindi huo, timu hiyo inayoongoza ligi daraja la pili itakuwa imelipiza kisasi cha kufungwa kwenye Uwanja wa Camp Nou, ambako Barcelona ilipata kipigo chake cha mwisho cha mabao 2-0 dhidi ya Hercules iliyofanyika Septemba 11, mwaka jana.

 
Wajipanga kuirudisha Coastal Union Ligi Kuu Thursday, 20 January 2011 20:37

Burhani Yakub, Tanga
MKOA wa Tanga umeweka mikakati ya kuhakikisha Coastal Union inapanda daraja ili iweze kushiriki ligi kuu katika msimu ujao.

Mkakati huo uliwekwa jana wakati wa kikao cha Kamati ya Ushauri ya Maenendeleo (RCC) Mkoa wa Tanga, kilichohudhuriwa pia na wabunge na kufanyika jijini hapa.

Mwenyekiti wa kamati hiyo, Said Kalembo alisema mikakati iliyofanyika ni kuondoa uongozi wa zamani na kuusimika mpya uliosajili wachezaji wazuri ambao watawekwa katika kambi na kupewa mwalimu mwenye weledi na taaluma hiyo.

"Mimi ni mwanamichezo, nilipohamishiwa hapa na Rais Jakaya Kikwete jambo la kwanza nilianza kuisaidia Coastal ili ifanye vizuri, lakini tatizo likawa ni viongozi," alisema Kalembo na kusisitiza kuwa tatizo hilo ameshalirekebisha.

Mkuu huyo wa Mkoa alilishukuru Shirikisho la Soka Tanzania, TFF, kwa kupanga Uwanja wa Mkwakwani kuwa kituo cha michuano ya Ligi Daraja la Kwanza hatua ya fainali inayotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu.

Aliipongeza pia timu ya Azam FC kwa kuukarabati Uwanja wa Mkwakwani uliopo jijini hapa na kusisitiza kuwa kitendo hicho ni cha kizalendo na kinahitaji kuigwa na wadau wengine wa michezo

"Waswahili wanao msemo usemao,mchawi mpe mwanao amlee,tunashukuru kuwa umetukabidhi timu,sisi kama wabunge tutahakikisha Coastal Union inafanya vizuri na kurejea ligi kuu tunataka hata Yanga ije ifungwe hapa Mkwakwani kama inavyoteswa na Simba" alisema Mbunge wa Jimbo la Korogwe Mjini, Steven Ngonyani 'Professa Maji Marefu'.

Mbunge huyo alisema litakuwa ni jambo la aibu kama fainali za ligi
daraja la kwanza zitafanyika Tanga na Coastal ikashindwa kupanda
daraja.


 
Eto'o ibeba Afrika kwa ufungaji Ulaya Thursday, 20 January 2011 20:36

MILAN, Italia
MWANASOKA bora Afrika, nahodha wa Cameroon, Samuel Eto'o ameendelea kupaa kwenye ufungaji kwa kuziona nyavu mara 24, msimu na kuisaidia Inter Milan kuichapa Bologna 4-1 katika Serie A.

Eto'o amekuwa na wastani wa kufunga bao moja kwenye mashindano yote aliyocheza kuanzia Kombe la Dunia, Ulaya na Italia, lakini si nyota pekee wa Afrika anayetamba kwa kufungaji barani humo.

Mshambuliaji wa Senegal, Papiss Cisse anaongoza kwa ufungaji katika Bundesliga akiwa amezifumania nyavu mara 15, baada ya kufunga mabao mawili kwa Freiburg huku mwenzake Moussa Sow wa Lille amefunga idadi hiyo na kuwa kinara wa ligi ya Ufaransa.

ENGLAND
ASAMOAH GYAN (Sunderland)
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana amekuwa na mafanikio makubwa tangu alipotua Sunderland na mwishoni mwa wiki alifunga bao la kusawazisha katika dakika za mwisho dhidi ya mahasimu wao Newcastle.
DIDIER DROGBA (Chelsea)
Nahodha wa Ivory Coast ameshindwa kurudi kwenye kasi yake ya ufungaji na mwishoni mwa wiki hakufunga bao lolote kwa Chelsea iliposhinda 2-0 dhidi ya Blackburn, japokuwa ameonyesha uhai kidogo.

YAYA TOURE/KOLO TOURE (Man City)
Ndugu hawa kutoka Ivory Coast kila moja alifunga bao kwa City iliposhinda 4-3 dhidi Wolves. Kolo alifunga bao akiwa karibu na goli akisawazisha naye Yaya aliwafungiwa wenyeji hao bao la tatu.

EMMANUEL EBOUE/ALEX SONG (Arsenal)
Nyota wa Ivory Coast na Cameroon walitoa mchango mkubwa katika ushindi wa Arsenal wa mabao 3-0 dhidi ya West Ham mchezo ulichezwa Upton Park .

UFARANSA
MOUSSA SOW (Lille)
Mshambuliaji wa Senegal mzaliwa wa Ufaransa amefikisha mabao 15, msimu huu na kuendelea kuongoza kwa wafungaji, wakati alipofunga bao la pili waliposhinda 2-0 dhidi Nice na kuifanya Lille kuendelea kuongoza ligi. Bao hili lilikuja siku nne kabla ya Sow kufikisha miaka 25.

GERVINHO (Lille)
Nyota wa Ivory Coast, Gervinho ni swahiba wa Sow katika safu ya ushambuliaji ya Lille, alifunga bao la kwanza waliposhinda 2-0 dhidi Nice katika mechi hiyo ya 18. Ushindi huo umeifanya Lille kuongoza ligi ya Ufaransa kwa mara ya kwanza tangu walipotoa twaa ubingwa mwaka 1954.

UJERUMANI
PAPISS DEMBA CISSE (Freiburg)
Mshambuliaji wa Senegal alifunga mabao mawili na kuongoza kwa kufungaji kwa mabao 15 na kuisaidia Freiburg kupata sare 2-2 na St Pauli na kuwafanya wabaki nafasi ya sita which keeps them sixth.

DIDIER YA KONAN (Hanover)
Nyota wa Ivory Coast alifunga mabao matatu na kusaidia timu yake kushinda 3-0 dhidi Eintracht Frankfurt. Mabao mawili ya kwanza yalitosha kuifanya Hanover kutawala mchezo kabla ya Ya Konan kuitimisha karamu hiyo dakika 89. Ushindi huo umeifanya Hanover kuzipiku Leverkusen na Mainz kwenye nafasi ya pili.

ITALIA
SAMUEL ETO'O (Inter Milan)
Alifunga mabao yake kwenye Coppa Italia katikati ya wiki, Eto'o pia alifunga kwenye mchezo wa mwishoni mwa wiki waliposhinda 4-1 dhidi Bologna. Nahodha huyo wa Cameroon alifunga mabao mawili na kufikisha idadi ya magoli 24 kwenye michezo 28 aliyocheza katika mashindano yote. Alitegeneza bao la kwanza kwa Dejan Stankovic.

MCDONALD MARIGA (Inter Milan)
Kiungo wa Kenya alifunga bao la ushindi dhidi ya Genoa katika Coppa Italia katikati ya wiki, lakini aliweza kupiga shuti moja tu waliposhinda dhidi Bologna. Aliingia kwenye mchezo huo wakiwa wameshashinda, lakini Mariga alijaribu kucheza kwa nguvu na umakini mkubwa katika kufanya mashambulizi yake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom