Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Wednesday's gossip column - transfers and rumours


gossip_466.gif
BREAKING GOSSIP
1519 GMT: West Ham boss Avram Grant wants to bring Tottenham midfielder Jamie O'Hara to Upton Park on loan after working with the player while manager of Portsmouth.
Full story: Daily Mail

1515 GMT: AC Milan attacker Ronaldino could be on the move in January according to his agent. Liverpool have been linked with the 30-year-old.
Full story: caughtoffside.com

1432 GMT: Manchester City captain Carlos Tevez may stay in England with Chelsea, Arsenal, Tottenham and Liverpool after handing in a transfer request at Eastlands.
Full story: Metro

1429 GMT: Sochaux playmaker Ryad Boudebouz reveals he would consider a move to Liverpool. Damien Comolli, director of football strategy at Anfield, is set to scout the 20-year-old in person.
Full story: Goal.com

1325 GMT: Stuttgart defender Serdar Tasci, rumoured to be a target for Arsenal and Tottenham, could be available in January according to his agent.
Full story: Sport.co.uk

1225 GMT: Freiburg striker Papiss Demba Cisse has apparently ruled out a move to Fulham, but would be interested in switching to Arsenal in the summer.
Full story: Goal.com

TRANSFER GOSSIP
Wolfsburg striker Edin Dzeko could be on his way to Manchester City. The Bosnia international wrote to a City executive earlier in the season to thank them for their efforts in trying to sign him and is still keen on a move to Eastlands.
Full story: the Guardian

City boss Roberto Mancini may choose to strengthen his front line with Ajax striker Luis Suarez as well.
Full story: IMScouting

Manchester United are considering an approach for Everton left-back Leighton Baines as a long-term replacement for Patrice Evra.
Full story: Metro

Bayern Munich have been warned off any approach for Baines who is a £10m target for the Bavarian club.
Full story: the Sun

Tottenham may attempt to lure former Arsenal forward Jose Antonio Reyes back to north London. The 27-year-old, now at Atletico Madrid, is valued at a minimum of £8.5m.
Full story: IMScouting

Manchester United are set to renew their interest in £9m-rated Valencia winger Joaquin.
Full story: talkSPORT

Tottenham are in a three-way battle with Inter Milan and Valencia to sign £4m striker Luc Castaignos from Feyenoord.
Full story: Daily Mirror

Everton are lining up a £7m move for Birmingham centre-back Scott Dann.
Full story: Daily Star

Manchester City left-back Wayne Bridge is being hunted by Galatasaray, Stoke and Bayern Munich. (The Sun)
Liverpool are weighing up a move for West Ham striker Carlton Cole and Tottenham winger David Bentley.
Full story: caughtoffside.com

Newcastle defender Steven Taylor is set for a £2m exit after failing to agree a new contract at St James' Park. Everton, Aston Villa and Wolves are all interested in the 24-year-old.
Full story: Daily Express

Bolton are poised to make a bid of £5m for Celta Vigo midfielder Roberto Trashorras.
Full story: talkSPORT

Southampton centre-back Jose Fonte could be Alan Pardew's first signing as Newcastle manager. Saints striker Rickie Lambert could also form part of a £3m double swoop.
Full story: the Sun

Leicester City manager Sven-Goran Eriksson is ready to sign forward Bernard Parker from FC Twente.
Full story: Daily Mirror

Spain midfielder Joan Capdevilla shuns Liverpool to sign new deal at Villarreal.
Full story: talkSPORT

Real Madrid and Arsenal are considering a swap deal involving full-back Gael Clichy going to Spain in exchange for forward Karim Benzema.
Full story: caughtoffside.com

Wigan have joined the race for Leeds midfielder Bradley Johnson. Bolton and Stoke are already tracking the 23-year-old.
Full story: Daily Mail

Burnley hope to tie up a £2m deal for 21-year-old Chelsea defender Jack Cork who has impressed on a season-long loan at Turf Moor.
Full story: the Sun

Hull and Middlesbrough will battle it out for Portsmouth anchorman Michael Brown who is annoyed at being asked to waive an automatic extension clause in his contract at Fratton Park.
Full story: the Sun

Millwall have turned down a £2m bid for striker Steve Morison from Nottingham Forest. (Daily Mirror)
Reading want to sign Leicester forward Matty Fryatt on loan in January. (the Sun)
Derby boss Nigel Clough is lining up a £1m bid for Burnley striker Martin Paterson. (the Sun)
OTHER GOSSIP
Chelsea's players believe that manager Carlo Ancelotti has already decided to leave Stamford Bridge at the end of the season.
Full story: the Sun

Blackburn's Indian owners may alternatively give the job to caretaker boss Steve Kean on a permanent basis.
Full story: the Times (subscription required)

The Premier League is monitoring developments at Blackburn amid concerns that the involvement of sports rights and player agencies may breach the league's rules. (Daily Telegraph)
Former Blackburn boss Sam Allardyce could take up a lucrative managerial post in the Middle East after flying out to Dubai in the wake of his sacking at Ewood Park.
Full story: Daily Mirror

Or Allardyce could be tempted back to England with West Ham considering him as a replacement for under-pressure boss Avram Grant.
Full story: the Guardian

Manchester City forward Carlos Tevez will have showdown talks with manager Roberto Mancini on Friday.
Full story: Daily Mirror

Captain Tevez's transfer request was motivated by promises the playmaker feels the club reneged on when he agreed to stay in the wake of their failure to qualify for the Champions League. Agent Kia Joorabchian has pinned the blame for the dispute on chief executive Garry Cook.
Full story: the Sun

New Wales boss Gary Speed said the door is open for the country's retired stars. Midfielders Ryan Giggs and Simon Davies, as well as defender Danny Gabbidon are three players who have quit international football.
Full story: talkSPORT

Tottenham chairman Daniel Levy insists Harry Redknapp will not be considered for the England job until after the next World Cup in 2014. The Spurs manager's contract runs until 2013.
Full story: Daily Mirror

Chelsea midfielder Frank Lampard defied doctor's orders to come on as a substitute in the Blues' 1-1 draw against Tottenham on Sunday.
Full story: the Sun

AND FINALLY
Manchester City fans wrote "Once a Blue, Always and Blue" in the dirt on the back of Carlos Tevez's Hummer as they attempt to convince him to stay at Eastlands. (Daily Mirror)
Arsenal will open a large training complex in the United States in the hope of tapping the unexploited talent that director Stan Kroenke believes exists over the Atlantic.
Full story: Daily Express

Arsenal goalkeeper Wojciech Szczesny believes that his mind games caused Manchester United's Wayne Rooney to blaze his penalty over the bar in the clubs' clash on Monday.
Full story: Daily Mirror

Celtic striker Anthony Stokes paid £600 for a taxi ride back to West Lothian from Celtic's Christmas party in London.
Full story: Daily Record
 
Wednesday, 15 December 2010
FIFA Club World Cup
Pachuca 2-2 Al-Wahda (Pachuca win 4-2 on penalties)
Tuesday, 14 December 2010
The FA Cup
Hartlepool 4-2 Yeovil | Report
Notts County 3-1 Bournemouth | Report
FIFA Club World Cup
TP Mazembe Englebert 2-0 Internacional
Npower League Two
Cheltenham 0-2 Southend | Report
Clydesdale Bank Premier League
Motherwell 1-2 Hearts | Report
Johnstone's Paint Trophy
Brentford 0-0 Charlton (Brentford win 3-1 on penalties) | Report
Bristol Rovers 2-2 Exeter (Exeter win 5-4 on penalties) | Report
Tranmere 0-2 Huddersfield | Report
Scottish Football League Championship First Division
Dundee 3-0 Cowdenbeath
Dunfermline 0-0 Partick Thistle
Ross County 2-2 Morton
Scottish Football League Championship Second Division
Peterhead 5-1 Airdrie Utd
Scottish Football League Championship Third Division
Elgin 2-2 Albion
The FA Carlsberg Trophy
Alfreton Town 3-0 Hyde
Blyth Spartans 2-0 Fleetwood Town
Curzon Ashton 0-2 Altrincham
Dartford 1-0 Crawley Town
Gateshead 2-2 Southport
Kettering 1-2 Chasetown (AET)
Sutton Utd 0-4 Eastleigh
Welling 1-2 Luton
Worksop 0-5 Mansfield
Blue Square North
Redditch 0-5 Nuneaton
Blue Square South
Maidenhead Utd 1-1 Boreham Wood
Principality Building Society Welsh Premier League
Airbus UK 1-1 Bangor City
Carling Premiership
Donegal Celtic 1-4 Glenavon
Monday, 13 December 2010
Barclays Premier League
Man Utd 1-0 Arsenal | Report
Blue Square North
Worcester 4-1 Vauxhall Motors
Sunday, 12 December 2010
Barclays Premier League
Bolton 2-1 Blackburn | Report
Tottenham 1-1 Chelsea | Report
Wolverhampton 1-0 Birmingham | Report
Npower League One
Charlton 0-1 Walsall | Report
The FA Carlsberg Trophy
Luton 0-0 Welling
Principality Building Society Welsh Premier League
Bala Town 0-2 Neath
FA Women's Premier League
Reading FC Women 1-2 Leeds Ladies
Saturday, 11 December 2010
Barclays Premier League
Aston Villa 2-1 West Brom | Report
Everton 0-0 Wigan | Report
Fulham 0-0 Sunderland | Report
Newcastle 3-1 Liverpool | Report
Stoke 0-1 Blackpool | Report
West Ham 1-3 Man City | Report
FIFA Club World Cup
Al-Wahda 1-4 Seongnam Chunma
Npower Championship
Barnsley 1-0 Sheff Utd | Report
Bristol City 2-0 Derby | Report
Burnley 2-3 Leeds United | Report
Crystal Palace 0-0 Hull | Report
Leicester 5-1 Doncaster | Report
Middlesbrough 1-0 Cardiff | Report
Norwich 0-2 Portsmouth | Report
Preston 1-0 Ipswich | Report
Reading 0-0 Coventry | Report
Npower League One
Bournemouth 0-1 Hartlepool | Report
Carlisle 0-2 Dag & Red | Report
Colchester 0-0 Yeovil | Report
Huddersfield 2-1 Brighton | Report
Notts County 2-0 MK Dons | Report
Plymouth 2-0 Exeter | Report
Sheff Wed 6-2 Bristol Rovers | Report
Southampton 0-2 Brentford | Report
Tranmere 1-2 Leyton Orient | Report
Npower League Two
Barnet 2-0 Accrington Stanley | Report
Bradford 1-0 Hereford | Report
Burton Albion 3-1 Southend | Report
Chesterfield 1-0 Torquay | Report
Macclesfield 2-4 Gillingham | Report
Morecambe 1-0 Port Vale | Report
Rotherham 1-0 Aldershot | Report
Shrewsbury 1-1 Cheltenham | Report
Stevenage 0-1 Northampton | Report
Stockport 3-3 Crewe | Report
Wycombe 1-0 Bury | Report
Clydesdale Bank Premier League
Hearts 5-0 Aberdeen | Report
Inverness CT 1-1 Rangers | Report
St Mirren 1-2 St Johnstone | Report
Scottish Football League Championship First Division
Dunfermline 1-0 Queen of South
Morton 0-1 Dundee
Partick Thistle 1-1 Ross County
Scottish Football League Championship Second Division
East Fife 6-0 Stenhousemuir
Peterhead 0-5 Brechin
Scottish Football League Championship Third Division
Montrose 0-1 Elgin
Stranraer 1-1 Berwick
The FA Carlsberg Trophy
AFC Sudbury 1-4 Hampton & Richmond
AFC Wimbledon 3-0 Braintree Town
Ashford Town (Middx) 1-0 AFC Hornchurch
Barrow 2-3 Guiseley
Basingstoke 0-2 Salisbury
Cambridge Utd 2-1 Forest Green
Chasetown 3-3 Kettering
Cirencester 1-1 Gloucester
Crawley Town 3-2 Dartford
Dorchester 3-0 St Albans
Droylsden 4-3 Hinckley Utd
Eastbourne Boro 3-1 Boreham Wood
Eastleigh 1-1 Sutton Utd
Ebbsfleet United 3-1 Hayes & Yeading
Grimsby 3-0 Redditch
Harlow 0-2 Woking
Harrogate Town 0-3 AFC Telford
Histon 2-3 Bath City
Lowestoft Town 2-3 Uxbridge
Newport County 0-0 Wealdstone
Rushden & D'mnds 1-1 Eastwood Town
Stalybridge 2-1 Nantwich Town
Worcester 1-0 Northwich
Wrexham 2-0 Kidderminster
York 0-1 Boston Utd
Blue Square North
Solihull Moors 1-1 Nuneaton
Stafford Rangers 0-2 Workington
Blue Square South
Bishop's Stortford 1-0 Thurrock
Dover 2-2 Maidenhead Utd
Havant and W 0-3 Farnborough
Weston-S-Mare 7-0 Bromley
Scot-Ads Highland Football League
Buckie Thistle 2-1 Brora
Clachnacuddin 1-2 Deveronvale
Principality Building Society Welsh Premier League
Aberystwyth 1-3 Bangor City
Airbus UK 4-0 Haverfordwest
Carmarthen 1-1 Newtown
Port Talbot 0-2 The New Saints
Carling Premiership
Crusaders 3-1 Portadown
Dungannon Swifts 1-2 Ballymena
Glenavon 1-1 Lisburn Distillery
Glentoran 1-0 Donegal Celtic
Friday, 10 December 2010
FIFA Club World Cup
TP Mazembe Englebert 1-0 Pachuca
Npower Championship
QPR 1-3 Watford | Report
Swansea 1-1 Millwall | Report
Npower League One
Peterborough 2-1 Rochdale | Report
International Match
Bosnia-Hercegovina 2-2 Poland
Carling Premiership
Cliftonville 3-1 Linfield
Thursday, 9 December 2010
The FA Cup
Luton 1-3 Charlton | Report
 
o.gif

Please note: Fixtures are subject to change. The BBC is not responsible for any changes that may be made. All times UK local.


Wednesday, 15 December 2010
Uefa Europa League
AZ Alkmaar v BATE Borisov, GpE, 18:00
Club Bruges v Villarreal, GpD, 18:00
Dinamo Zagreb v PAOK Salonika, GpD, 18:00
Dynamo Kiev v FC Sheriff Tiraspol, GpE, 18:00
Lausanne Sports v Palermo, GpF, 18:00
Sparta Prague v CSKA Moscow, GpF, 18:00
Besiktas v Rapid Vienna, GpL, 20:05
FC Porto v CSKA Sofia, GpL, 20:05
Karpaty Lviv v Paris SG, GpJ, 20:05
Liverpool v FC Utrecht, GpK, 20:05
Napoli v Steaua Bucharest, GpK, 20:05
Sevilla v Borussia Dortmund, GpJ, 20:05
FIFA Club World Cup
Pachuca v Al-Wahda, 5th, 14:00
Seongnam Chunma v Inter Milan, SF, 17:00
Winner Q/F 3 OFF Inter Milan, SF, 17:00
Scottish Football League Championship Third Division
Arbroath v Stranraer, 19:45
The FA Carlsberg Trophy
Gloucester v Cirencester, R1R, 19:45
Thursday, 16 December 2010
Uefa Europa League
Aris Salonika v Rosenborg, GpB, 18:00
Bayer Leverkusen v Atletico Madrid, GpB, 18:00
Juventus v Man City, GpA, 18:00
Levski Sofia v Sporting, GpC, 18:00
Lille v AA Gent, GpC, 18:00
Red Bull Salzburg v Lech Poznan, GpA, 18:00
AEK Athens v Zenit St Petersburg, GpG, 20:05
Anderlecht v Hajduk Split, GpG, 20:05
Debrecen v Sampdoria, GpI, 20:05
Getafe v Young Boys, GpH, 20:05
PSV Eindhoven v FC Metalist Kharkiv , GpI, 20:05
VfB Stuttgart v Odense BK, GpH, 20:05
Friday, 17 December 2010
Npower Championship
Doncaster v Middlesbrough, 19:45
Npower League One
Brighton v Notts County, 19:45
Blue Square Premier
Crawley Town v Mansfield, 19:45
Principality Building Society Welsh Premier League
Bala Town v Aberystwyth, 19:30
Haverfordwest v Port Talbot, 19:30
Neath v Llanelli, 19:30
The New Saints v Bangor City, 19:30
Saturday, 18 December 2010
Barclays Premier League
Sunderland v Bolton, 12:45
Arsenal v Stoke, 15:00
Birmingham v Newcastle, 15:00
Blackburn v West Ham, 15:00
Wigan v Aston Villa, 15:00
Liverpool v Fulham, 17:30
FIFA Club World Cup
Loser SF1 v Loser SF2, F, 14:00
Winners SF1 v Winners SF2, F, 17:00
Npower Championship
Cardiff v Burnley, 15:00
Coventry v Norwich, 15:00
Derby v Reading, 15:00
Hull v Bristol City, 15:00
Leeds United v QPR, 15:00
Millwall v Barnsley, 15:00
Nott'm Forest v Crystal Palace, 15:00
Portsmouth v Scunthorpe, 15:00
Sheff Utd v Swansea, 15:00
Watford v Preston, 15:00
Ipswich v Leicester, 17:20
Npower League One
Brentford v Huddersfield, 15:00
Bristol Rovers v Colchester, 15:00
Dag & Red v Peterborough, 15:00
Exeter v Sheff Wed, 15:00
Hartlepool v Charlton, 15:00
Leyton Orient v Plymouth, 15:00
MK Dons v Oldham, 15:00
Rochdale v Bournemouth, 15:00
Swindon v Tranmere, 15:00
Walsall v Southampton, 15:00
Yeovil v Carlisle, 15:00
Npower League Two
Accrington Stanley v Burton Albion, 15:00
Aldershot v Lincoln City, 15:00
Bury v Stevenage, 15:00
Cheltenham v Stockport, 15:00
Crewe v Bradford, 15:00
Gillingham v Chesterfield, 15:00
Hereford v Macclesfield, 15:00
Northampton v Morecambe, 15:00
Oxford Utd v Shrewsbury, 15:00
Port Vale v Barnet, 15:00
Southend v Wycombe, 15:00
Torquay v Rotherham, 15:00
Clydesdale Bank Premier League
Hamilton v Celtic, 12:45
Aberdeen v Motherwell, 15:00
Hearts v Inverness CT, 15:00
Kilmarnock v Hibernian, 15:00
Rangers v St Mirren, 15:00
St Johnstone v Dundee Utd, 15:00
Blue Square Premier
Luton v York, 12:00
AFC Wimbledon v Wrexham, 15:00
Altrincham v Histon, 15:00
Barrow v Tamworth, 15:00
Bath City v Southport, 15:00
Cambridge Utd v Darlington, 15:00
Fleetwood Town v Newport County, 15:00
Gateshead v Hayes & Yeading, 15:00
Grimsby v Forest Green, 15:00
Kidderminster v Kettering, 15:00
Rushden & D'mnds v Eastbourne Boro, 15:00
Scottish Football League Championship First Division
Dundee v Stirling, 15:00
Falkirk v Partick Thistle, 15:00
Queen of South v Morton, 15:00
Raith Rovers v Cowdenbeath, 15:00
Ross County v Dunfermline, 15:00
Scottish Football League Championship Second Division
Alloa v Airdrie Utd, 15:00
Ayr v Forfar, 15:00
Brechin v East Fife, 15:00
Dumbarton v Peterhead, 15:00
Stenhousemuir v Livingston, 15:00
Scottish Football League Championship Third Division
Albion v Annan Athletic, 15:00
Berwick v Montrose, 15:00
Clyde v Arbroath, 15:00
Queen's Park v Elgin, 15:00
Stranraer v East Stirling, 15:00
Blue Square North
AFC Telford v Eastwood Town, 15:00
Alfreton Town v Gloucester, 15:00
Boston Utd v Hyde, 15:00
Corby v Droylsden, 15:00
Gainsborough v Nuneaton, 15:00
Guiseley v Stafford Rangers, 15:00
Hinckley Utd v Harrogate Town, 15:00
Solihull Moors v Vauxhall Motors, 15:00
Stalybridge v Worcester, 15:00
Workington v Redditch, 15:00
Blue Square South
Boreham Wood v Welling, 15:00
Braintree Town v Basingstoke, 15:00
Bromley v Maidenhead Utd, 15:00
Dorchester v Chelmsford, 15:00
Eastleigh v Dover, 15:00
Farnborough v Bishop's Stortford, 15:00
Hampton & Richmond v Lewes, 15:00
Staines Town v Ebbsfleet United, 15:00
Thurrock v Havant and W, 15:00
Weston-S-Mare v Dartford, 15:00
Woking v St Albans, 15:00
International Match
Jordan v Egypt
China PR v Estonia, 07:00
Scot-Ads Highland Football League
Brora v Clachnacuddin, 15:00
Cove Rangers v Keith, 15:00
Deveronvale v Formartine Utd, 15:00
Forres Mechanics v Strathspey Thistle, 15:00
Fort William v Fraserburgh, 15:00
Huntly v Nairn County, 15:00
Lossiemouth v Rothes, 15:00
Turriff United v Inverurie Locos, 15:00
Wick Academy v Buckie Thistle, 15:00
Principality Building Society Welsh Premier League
Newtown v Airbus UK, 14:30
Prestatyn Town v Carmarthen, 14:30
Carling Premiership
Ballymena v Glentoran, 15:00
Coleraine v Dungannon Swifts, 15:00
Crusaders v Newry, 15:00
Donegal Celtic v Cliftonville, 15:00
Linfield v Glenavon, 15:00
Portadown v Lisburn Distillery, 15:00
Sunday, 19 December 2010
Barclays Premier League
West Brom v Wolverhampton, 12:00
Blackpool v Tottenham, 13:30
Chelsea v Man Utd, 16:00
International Match
Honduras v Panama, 01:00
Honduras v Panama, 01:30
FA Women's Premier League
Millwall Lionesses OFF Barnet Ladies, 14:00
Nottm F Ladies OFF Reading FC Women, 14:00
The FA Women's Cup Sponsored by E.ON
Barnsley Ladies v Sheffield Ladies, R1, 13:00
Crystal Palace Ladies v Panthers, R1, 13:00
Ebbsfleet Ladies v Maidstone Ladies, R1, 13:00
Larkhall Athletic Ladies v Southampton Ladies, R1, 13:00
Liverpool Feds v Morecambe Ladies, R1, 13:00
Norwich City Ladies v Cambridge University Ladies, R1, 13:00
Sheffield Utd Comm v Stoke Ladies, R1, 13:00
Blackpool Wren Rovers v Salford SV Ladies, R1, 14:00
Daventry Town Ladies v Rotherham Ladies, R1, 14:00
Middlesbrough Ladies v Stockport Ladies, R1, 14:00
Middleton Ladies v Whitley Bay Ladies, R1, 14:00
Radcliffe Olympic Ladies v Sporting Club Albion, R1, 14:00
Wolverhampton Ladies v Solihull Ladies, R1, 15:00
Monday, 20 December 2010
Barclays Premier League
Man City v Everton, 20:00
Blue Square South
Chelmsford v Boreham Wood, 19:45
Tuesday, 21 December 2010
The FA Cup
Lincoln City v Hereford, R2R, 19:45
Clydesdale Bank Premier League
Celtic v Kilmarnock, 19:45
Dundee Utd v Rangers, 19:45
Scottish Cup
Beith v Airdrie Utd, R3R, 13:00
Annan Athletic v Brechin, R3R, 19:30
Threave Rovers v Stenhousemuir, R3R, 19:30
Blue Square North
Harrogate Town v Corby, 19:45
Nuneaton v Gloucester, 19:45
 
Break-away plan for local clubs


Published on 14/12/2010
Related Stories

FKL cede control of Stars to government

Gor net Sh8m KPL ticket sales

New football federation to be in place by March

Taribo West to grace Soya awards Gala

Lang'at allays fears over polls

England humiliated in the first round


By GILBERT WANDERA
Fed-up with the poor management of the Nationwide division one league, clubs featuring in this competition are considering breaking away from Football Kenya Limited (FKL).
The clubs are contemplating formation of a private company to manage the competition or even force the local association to cede control of the league to the Kenyan Premier League (KPL).
However, efforts by majority of the 16 Nationwide league clubs to break away have been largely done underground for fear of antagonising FKL and reprisals. The efforts have redoubled over the past two weeks following the suspect manner in which Kenya Ports Authority football team Bandari was promoted to the KPL next season and also the manner in which Mathare Youth were relegated from the Nationwide.
spocap151210_01.jpg
Congo United player Wilson Anekeya (left) tussles for the ball against Macharia Nyabais of Nairobi Stima during the Football Kenya Nationwide League match at Nairobi's City Stadium last month. [PHOTO: BONIFACE OKENDO/STANDARD]
Last Friday, more than ten clubs attended a meeting during which the idea of forming a private company to run the league was mooted.

The meeting formed the initial consultative forum and another one is also expected to be held this week during which they expect to indulge all the leading football stakeholders in the country.
Among the issues discussed at the meeting is poor management of the league, suspect officiating, alleged match-fixing and continuous tampering with match fixtures.
During the meeting FKL were accused of favouritism especially in regard to the two teams that have been promoted to the KPL next season.
The two teams Bandari and Congo United that have been promoted to KPL were alleged to have received preferential treatment from FKL.
"One way of stopping this mismanagement is to form a conclave that will sit periodically to discuss issues that affect the competition. Clubs will be represented by three representatives," said a dispatch from Kennedy Onyonyi on behalf of the clubs.
He said they would continuously engage KPL with the aim of learning from them on how to run a professional league.
"Our clubs hope that the same benchmark set by the KPL can ultimately be replicated in the Nationwide league," he added. The clubs are also demanding that KPL liase with world football governing body Fifa to audit the just-concluded Nationwide league so as to ensure integrity of the promoted teams.
The statement by the clubs came even as Mathare Youth announced they would seek arbitration in the highest office if FKL does not rescind the decision to relegate them.
FKL should be worried by the new found unity of lower league clubs considering that this is how KPL came into being.
 
Kili Stars yaipandisha Tanzania viwango Fifa
Wednesday, 15 December 2010 21:27

killstars.jpg
Kilimanjaro Stars

Mwandishi Wetu TANZANIA imepanda chati kwa nafasi nane katika viwango vya ubora wa soka kwa mujibu wa Shirikisho la Soka la Kimataifa, Fifa vilivyotangazwa jana.

Matokeo mazuri ya Kilimanjaro Stars iliyotwaa Kombe la Chalenji Jumapili kwa kuilaza Ivory Coast kwa bao 1-0 na ushindi wa mikwaju ya penalti 5-4 dhidi ya The Cranes ya Uganda baada ya suluhu ya 0-0 kwenye nusu fainali ya michuano hiyo, ni sababu za kupanda kwake na kushika nafasi ya 116 kwa ubora duniani ikitokea nafasi ya 124 mwezi uliopita.

Kulingana na orodha hiyo iliyotangazwa jana na Fifa , Uganda ambayo bado ni kinara wa soka kwa Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati ingawa imeporomoka kwa nafasi 11.

Kwa mujibu wa orodha hiyo ya Fifa, Tanzania imepanda katika viwango hivyo vipya baada ya kufanya vizuri katika mashindano ya Chalenji ambayo yanatambuliwa na Fifa kama mechi za kirafiki za kimataifa.

Katika mashindano hayo ya Chalenji , Kili Stars yaTanzania Bara ilizifunga Rwanda 1-0, Burundi 2-0, Somalia 3-0, Uganda 5-4 kwa penalti na Kenya 1-0 wakati wa maandalizi ya mashindano hayo.

Kwa kupanda kwa nafasi nane Tanzania inashika nafasi ya pili katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati huku ikizidiwa na Uganda ambayo inashika nafasi ya 80 katika viwango vipya vya Fifa ikiwa imeshuka kwa nafasi 11.

Kenya inashika nafasi ya 120 ikiwa imeshuka kwa nafasi nne, hivyo kuwa ya tatu katika ukanda huo wa Afrika ya Mashariki ikifuatiwa na Burundi katika nafasi ya 128 ambayo imepanda kwa nafasi nane na Rwanda katika nafasi ya 132 ambayo imeshuka kwa nafasi tano.

Orodha hiyo pia inaonyesha nchi za Afrika ya Magharibi na Kaskazini zimeendelea kufanya vizuri kuzidi nchi za Afrika ya Mashariki na nchi za Kusini mwa Afrika.

Nigeria ambayo timu yake ya wanawake ilitwaa ubingwa barani humo inashika nafasi ya 32, Algeria ipo nafasi ya 35, Cameroon nafasi ya 37, Gabon nafasi ya 39, Tunisia ni ya 45, Guinea nafasi ya 46, wakati Afrika Kusini ipo nafasi ya 51, Botswana nafasi ya 53, Zambia 76, Malawi 86 na Angola 88.

Mabingwa wa dunia Hispania wameendelea kushika namba moja katika orodha hiyo huku wakifuatiwa na Uholanzi katika nafasi ya pili, nafasi ya tatu inashikiliwa na Ujerumani na Brazil ipo katika nafasi ya nne.

Nchi inayoshika mkia ni Papua New Guinea ambayo inashika nafasi ya 203.

Katika viwango vya Fifa mwaka huu, Tanzania imekuwa ikipanda na kushuka kwani mwezi Januari ilikuwa nafasi ya 108, Februari nafasi ya 108, Machi ikawa ya 109, Aprili ikashika nafasi ya 108, Mei ikabakia katika nafasi ya 108, Juni nafasi ya 112, Julai 111, Agosti 111, Septemba 120, Oktoba 124 na Novemba - Desemba nafasi ya 116.

Mwezi Februari mwaka 1995, Tanzania ilishika nafasi ya 65 ambacho ndicho kiwango cha juu kabisa ambacho iliwahi kushika, kiwango cha chini kabisa kwake (Tanzania) kuwahi kushika ni nafasi ya 175 ambapo nafasi hiyo hiyo ilikuwa Oktoba 2005.
 
Shindano la kuibua nyota wapya wa muziki laja
Monday, 06 December 2010 21:27

Zaina Malongo
SHINDANO maarufu la kusaka wanamuziki nyota wapya wa muziki wa dansi linatarajiwa kufanyika mwakani nchini kote.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, mratibu wa shindano hilo, Suleiman Matthew ambaye ni mmiliki wa Kampuni ya Makukwe Entertaiment alisema lengo lao ni kusaka vijana wapya wenye uwezo wa kuimba muziki wa dansi.

Kama walivyokuwa Dk Remmy Ongala (ambaye kwa sasa anaumwa), Hassan Rehani 'Bitchuka', Mzee Makassy, Muhidin Gurumo (pia ni mgonjwa) au kina Marijani Shaaban, John Kijiko na Mbaraka Mwinshehe (marehemu).

"Kuna vijana wengi wanapenda kuwa wanamuziki, lakini ni wachache wanaotambua aina ya muziki ambao wanaufanya kwa amaani hiyo tumeamua kuwakutanisha vijana kwa njia ya shindano la kusaka vipaji,"alisema Matthew

Matthew, ambaye ni mwanamichezo mstaafu nchini alisema kuimba muziki ni jambo dogo, lakini ugumu wake unakuja kuwa pale ni muziki gani unaoimbwa na kama unakubalika kwa watu.

Alisema shindano hilo litafanyika katika hatua ya kwanza au mchujo Desemba 21 na itawahusisha vijana wa Dar es Salaam pekee.

Alisema wameamua kuanzia Dar es Salaam ambapo kwa hatua ya pili kama tutapata wadhamini wataenda mikoani.
 
Papic: Mwape, Kijiko mtawaona Jumamosi


Na Elizabeth Mayemba

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Yanga, Mserbia Kostadin Papic, amesema kwamba, uwezo wa wachezaji wake wapya Mzambia Davies Mwape na Juma Seif 'Kijiko', utaonekana Jumamosi wakati timu hiyo itakapojipima na Azam FC.Timu hizo mbili zinakutana
katika mchezo wa kirafiki, kwa ajili ya kutambulisha vifaa vyao, mechi hiyo itachezwa Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

Mwape na Kijiko, walisajiliwa na Yanga katika dirisha dogo la usajili kwa ajili ya kuongeza nguvu mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania na michuano ya kimataifa.

Akizungumza Dar es Salaam jana, Papic alisema uwezo wa wachezaji wake hao utaonekana katika mechi hiyo ya kirafiki, kwani lazima awapange ili awaone.

"Najua hata mashabiki wa timu yetu watakuwa na shauku kubwa ya kuwaona wachezaji hawa kama wataisaidia timu yetu au la, lakini ni matumaini yangu kuwa, watafanya vizuri," alisema Papic.

Timu hiyo, jana jioni ilianza mazoezi kwenye Uwanja wa Uhuru, baada ya kumaliza mazoezi ya viungo 'gym'.Awali, Yanga walikuwa waanze mazoezi jana asubuhi, lakini timu ya Azam FC ikawa tayari uwanjani, hivyo wakapanga kufanya jioni.Wakati Yanga ikianza mazoezi ya uwanjani, mahasimu wao Simba, bado wanaendelea na mazoezi ya ufukweni kwa ajili ya kutafuta stamina.

Wiki mbili zilizopita, Simba walikuwa wakifanya mazoezi ya viungo 'gym' na sasa wamehamia ufukweni chini ya kocha wao Mkuu Patrick Phiri.
 
Future Century, Vannedrick kudhamini ligi Zanzibar


Na Mwajuma Juma, Zanzibar

KAMPUNI ya Future Century kwa kushirikiana na Kampuni ya Vannedrick zote za Dar es Salaam, zinatarajia kudhamini Ligi Kuu ya Zanzibar msimu ujao.Lengo la kudhamini ni kuweza kuendeleza na kukuza vipaji vya vijana katika mchezo wa soka, ambao
unaonekana kudidimia visiwani Zanzibar na kuleta hamasa kwa mashabiki wa soka.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Zaniabr, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Vennedrick Tanzania Limited, Fredrick Mwakalebela, alisema katika udhamini huo, wataangalia mambo muhimu ili kuweza kufanikisha mpango huo.

Alisema miongoni mwa mambo watakayoangalia katika udhamini huo, kutoa vifaa kwa klabu zitakazoshiriki ligi hiyo, usafiri, zawadi na kuiwezesha ZFA kuendeleza ligi hiyo. "Tuna nia nzuri ya kusaidia Zanzibar kisoka, kuanzia tunadhamini ligi na ikiwezekana, tutaweza kuzishawishi kampuni nyingine ili ziweze kudhamini," alisema Mwakalebela.

Naye, Rais wa ZFA Taifa, Ali Fereji Tamim, alisema kupatikana kwa wadhamini katika ligi hiyo itapendeza na vipaji vya vijana vitaonekana.
 
Hall atangazwa rasmi Azam FC


Na Addolph Bruno

UONGOZI wa klabu ya Azam FC jana, ulimtambulisha rasmi Kocha Stewart Hall, kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu.Kocha huyo amechukuliwa kuinoa Azam FC, baada ya klabu hiyo kusitisha makataba na aliyekuwa
Kocha Mkuu wa timu hiyo, Itamar Amourin, mwezi uliopita na kulazimika kumsaka kocha mwingine.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwenyekiti wa klabu hiyo, Said Mohammed, alisema wamemnyakua kocha huyo baada ya kuona ana vigezo wanavyovitaka.

Alisema, awali walijitokeza makocha 25 kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi, lakini Kamati iliyoundwa kwa ajili ya kazi hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Nassoro Idrissa, ilipendekeza majina matatu tu.

"Baada ya mchujo huo, lilikuwepo jina la Charles Boniface wa Tanzania, Steven Cash wa Nigeria na Michael David wa Ujerumani, lakini tukaona kocha anayefaa zaidi ni Stewart," alisema Mohammed.

Kwa upande wake Stewart, alisema amefurahi kujiunga na Azam FC, na kusisitiza kuwa, ni kutokana na viongozi na wachezaji kuwa na uelewa.
Kuhusu mkataba wake na timu ya Taifa ya Zanzibar 'Zanzabar Heroes', aliyokuwa akiifundisha, Stewart alisema ataendelea kuisaidia katika nyanja mbalimbali atakapopata nafasi ikijiandaa na michuano ya kimataifa itakayokuwa ikiwakabili.

Katika hatua nyingine, kocha huyo alianza kazi ya kuifundisha klabu hiyo jana katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Akizungumzia mazoezi ya timu yake, alisema hawezi kugundua mapungufu katika kikosi hicho na safu ambayo anatakiwa kuifanyia kazi mpaka kesho, wachezaji wa kimataifa watakapounga na wenzao.
 
TP Mazembe yaweka rekodi, yatinga fainali Kombe la Dunia


ABU DHAB, Falme za Kiarabu

MABINGWA wa Afrika, TP Mazembe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), wamefuzu fainali ya Kombe la Klabu Bingwa Duniani baada ya kuwafunga mabingwa wa Amerika ya kusini, Internacional kutoka Brazili mabao 2-0 mjini
Abu Dhabi.

TP Mazembe inakuwa klabu ya kwanza barani Afrika kufikia hatua ya fainali ya Kombe la Dunia, inasubiri kucheza fainali dhidi ya mshindi kati ya mabingwa wa Ulaya, Inter Milan ya Italia na mabingwa wa Asia, Seongnam IIhwa kutoka Korea Kusini, ambazo zilitarajiwa kuchuana jana katika nusu fainali ya pili ambapo fainali hiyo itafanyika Jumamosi ijayo.

Bao la kwanza la TP Mazembe, lilifungwa dakika ya 53 na Mulota Kabangu, naye Dioko Kaluyituka akafunga la pili dakika ya 85.

Internacional walipata nafasi nyingi katika kipindi cha kwanza, lakini ngome kali ya ulinzi ya TP Mazembe ambayo ilizuia mashambulizi yote, huku pia mlinda mlango Muteba Kidiaba, akiokoa mikwaju mingi.

Mbali na kuwa timu ya kwanza kutoka Afrika kutinga hatua hiyo, vilevile TP Mazembe inakuwa timu ya kwanza kutoka nje ya Ulaya na Amerika Kusini, kufika mbali katika mashindano hayo.

"Tupo hapa kuiwakilisha Afrika na Waafrika wote, tunapaswa kujivunia kazi yetu," alisema kocha wa TP Mazembe, Msenegal, Lamine N'Diaye.
"Ni siku ya furaha kwetu na vilevile ni siku ya kujidai tumefanikiwa na tumeomesha kuwa, wachezaji wetu wapo katika kiwango cha hali ya juu," aliongeza.Awali, ilionekana kama itakuwa miujiza kwa timu hiyo kusonga mbele kutokana na kuanza vibaya kipindi cha kwanza, huku kipa Kidiaba akionekana kusimama kidete na kujiamini kuwapunguza makali Internacional.

Pamoja na uoga, mbali na jitihada binafsi za mchezaji, Kaluyituka timu hiyo kutoka DRC, kipindi cha kwanza ilishindwa kutengeneza nafasi nyingi, lakini mchezo ulipokuwa ukiendelea, TP Mazembe walianza kujiamini na kufanya mashambulizi pamoja na kujilinda.Kuongeza kwa kujiamini kulionekana wakati mchezaji Kabangu, alipopokea pande safi akiwa nje ya eneo la hatari na kutuliza vyema mpira huo, kisha kuachia mkwaju pembeni mwa goli na kumuacha kipa wa Internacional, Renan, akiwa ameduwaa.

Mabadiliko ya kuwatoa wachezaji wawili, Tinga na Alecsandro, na kuwaingiza wachezaji chipukizi Giuliano na Damiao, yalionekana kuwapa uhai Internacional, lakini hata hivyo, hawakuweza kupata nafasi ya kusawazisha.
 

16 wathibitisha gofu Nyali Open

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 16th December 2010 @ 06:58 Imesomwa na watu: 37

WACHEZAJI gofu nyota 16 nchini wamethibitisha kushiriki mashindano ya kila mwaka ya mchezo huo ya Nyali Open yaliyopangwa kuanza keshokutwa kwenye Viwanja vya Klabu ya Nyali, Mombasa, Kenya.

Akizungumza na HABARILEO Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Ufundi wa Chama cha Gofu Tanzania (TGU) Fayari Chitengwa alisema wachezaji hao wataondoka leo jijini kuelekea Mombasa.

"Tumetuma majina ya wachezaji 16 ambao watashiriki Nyali Open na wanaondoka kesho (leo)," alisema na kuongeza kuwa wote wapo katika hali nzuri tayari kwa mpambano.

Wachezaji wanaoondoka ni pamoja na nahodha wa timu ya Taifa ya gofu Frank Roman, Jimmy Mollel na Abas Adam ambao wanaongoza kwenye orodha ya kuwania kuibuka Mchezaji Bora wa Gofu wa Mwaka 2010.

Kwenye orodha hiyo pia yupo bingwa wa michuano ya karibuni ya Tanzania Amateur strokeplay iliyofanyika Moshi, Godfrey Leverian na Mchezaji gofu Bora wa mwaka 2009 Elisante Lembris.

Wachezaji wengine kwa mujibu wa Chitengwa ni chipukizi Victor Joseph, Salim Shariff, Amani Said, Nuru Mollel, Idd Mzaki, Michael Makala, Adam Mwanyenza, Pembe Kondo, Athuman Chiundu, Idan Nziku na Hamis Ally.

Michuano hiyo ya siku mbili imepangwa kuwa ya viwanja 36 na inakutanisha wachezaji wakali kutoka Afrika Mashariki.

Wachezaji wa Tanzania watakuwa na nafasi ya mwisho mwaka huu kujaribu kuibuka na ushindi mbele ya wenyeji baada ya kushindwa kufanya hivyo katika mashindano kadhaa.
 
Tanzania yapaa viwango vya FIFA

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 16th December 2010 @ 06:00

MATUNDA ya timu ya soka ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars' kutwaa Kombe la Chalenji yameanza kuonekana baada ya Tanzania kupanda kwenye ubora wa viwango vya soka vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) kwa nafasi tisa.

Kwa mujibu wa orodha mpya ya Fifa iliyotolewa jana, Tanzania imekuwa katika nafasi ya 116 kutoka nafasi ya 124 iliyokuwepo mwezi uliopita.

Kilimanjaro Stars ilitwaa ubingwa wa Kombe la Chalenji baada ya kuifunga Ivory Coast kwa bao 1-0 katika fainali zilizofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Aliyekuwa bingwa mara mbili mfululizo wa Kombe la Chalenji, Uganda imeporomoka kutoka nafasi ya 69 mwezi uliopita mpaka nafasi ya 80 wakati Kenya imeshuka kutoka nafasi ya 116 mpaka nafasi ya 120.

Misri bado inaongoza kwa upande wa Afrika ambapo imepanda kwa nafasi moja, kutoka nafasi ya kumi mwezi uliopita mpaka ya tisa.

Aidha, mabingwa wa dunia Hispania watamaliza mwaka wakiwa kileleni mwa orodha hiyo kwani bado wanashika namba moja ikiwa ni kwa mara ya kwanza kuongoza tatu bora Ulaya ndani ya miezi 18.

Uholanzi, iliyofungwa na Hispania kwenye fainali za Kombe la Dunia Julai mwaka huu iko kwenye nafasi ya pili ikifuatiwa na Ujerumani inayoshika nafasi ya tatu.

Brazil imeporomoka hadi nafasi ya nne kutoka ya tatu kutokana na kufungwa na Argentina katika mechi ya kimataifa ya kirafiki mwezi uliopita, Argentina na England ziko katika nafasi ya tano na sita.

Urusi iliyoshinda kuandaa michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2018 mapema mwezi huu imebaki nafasi ya 13, wakati waandaaji wa fainali hizo kwa mwaka 2022 Qatar wameporomoka hadi nafasi ya 114.

Wakati huohuo, Tanzania imealikwa kwenye michuano ya nchi zinazotoka kwenye bonde la mto Nile inayotarajiwa kufanyika mwezi ujao mjini Cairo, Misri.

Kwa mujibu wa gazeti la Daily Monitor la Uganda, Tanzania imepata mwaliko kutoka Misri ambao ndio waandaaji wa michuano hiyo. Timu nyingine zinazoshiriki mbali ya Tanzania na Misri ni Uganda, Kenya, Rwanda, Burundi, Kongo, Eritrea, Ethiopia na Sudan.

Alipoulizwa suala hilo Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Sunday Kayuni alikiri kuwa na taarifa za michuano hiyo lakini akasema hana maelezo zaidi.

"Tunafahamu kama kuna suala hilo, lakini hatujapewa maelezo zaidi, tukiyapata tutawambia,"alisema.
 

Kocha mpya Azam azipania Simba, Yanga

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 15th December 2010 @ 23:59

KOCHA mpya wa Azam Stewart Hall ameanza rasmi kazi katika klabu hiyo na kutamba kwamba anataka kucheza Ligi ya Mabingwa mwaka 2012.

Kwa sasa Simba ndio mwakilishi wa Tanzania Bara kwenye michuano hiyo ya Ligi Mabingwa Afrika huku Yanga ikishiriki Kombe la Shirikisho mwakani.

Imekuwa kawaida kwa Simba na Yanga kushiriki michuano hiyo kwa kupokezana, mara chache sana nafasi hizo huchukuliwa na timu nyingine, kama Prisons Mbeya, Moro United na Mtibwa Sugar.

Akizungumza Dar es Salaam jana alipotambulishwa kwa waandishi wa habari Kocha huyo raia wa Uingereza alisema anatoa ahadi kwa mashabiki na wapenzi wa Azam kwamba anataka kufuzu kucheza Ligi ya Mabingwa.

"Najua kuna Simba na Yanga ambazo ni lazima kuzishinda na kupata nafasi hiyo… hilo ndio lengo langu,"alisema Hall ambaye wiki mbili zilizopita aliiongoza timu ya Taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes' kwenye michuano ya Kombe la Chalenji na kuishia hatua ya robo fainali.

Kocha huyo alikuwa Zanzibar kwa takriban miezi minne iliyopita. Akizungumzia kuhusu uwepo wake Zanzibar Hall alisema: "Mimi ni muajiriwa wa Azam kwa sasa lakini bado nitaendelea kushirikiana na ZFA (Chama cha Soka Zanzibar) kumalizia Programu ambazo tulishazianza,"alisema.

Naye Mwenyekiti wa Azam Saidi Mohamed alisema walimpata kocha huyo katika mchakato wa makocha 25 kutoka ndani na nje ya nchi walioomba nafasi hiyo iliyokuwa ikishikiliwa na Mbrazil Itamar Amorin aliyekatisha mkataba wake.

Alisema katika mchujo huo makocha watatu waliingia fainali ambao ni Hall, Steven Keshi wa Nigeria na David Michael kutoka Ujerumani.

"Ndipo uongozi ulipoona tumchukue Hall na kuingia naye mkataba wa mwaka mmoja na nusu na anaanza kazi rasmi leo (jana) na Jumamosi tutacheza mechi ya kirafiki na Yanga,"alisema.

Azam haipo pabaya kwenye msimamo wa Ligi kwani inashika nafasi ya tatu ikiwa na pointi 20. Simba inaongoza kwa pointi 27 na Yanga inashika nafasi ya pili ikiwa na pointi 25.
 

NMB yamwaga vifaa Netiboli Arusha

Imeandikwa na John Mhala, Arusha; Tarehe: 15th December 2010 @ 23:55

Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini jana ilikabidhi vifaa mbalimbali vya michezo kwa timu ya Netiboli ya Mkoa wa Arusha kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Taifa yanayotarajiwa kutimua vumbi kuanzia leo Kibaha, Pwani.

Vifaa hivyo ambavyo ni jezi, soksi, fulana na suti za michezo vilikabidhiwa katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha kufuatia maombi maalumu yaliyotolewa na uongozi wa timu hiyo ikiwa ni sehemu ya kufanikisha mpango wa kufanya vizuri kwa timu hiyo.

Akikabidhi msaada huo kwa Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa Jackson Saitabau mwakilishi wa NMB Kanda ya Kaskazini, Feruzi Korongo alisema kuwa, NMB imetoa msaada huo kwa kutambua na kuthamini umuhimu wa michezo nchini na kwamba itaendelea kusaidia sekta hiyo ili kuboresha michezo nchini kwa kutenga sehemu ya faida inayoipata.

''NMB inaamini kwamba ili kupata wachezaji wazuri wa ngazi ya taifa ni lazima waanze kuandaliwa kwa ubora toka ngazi ya chini watakaoliwakilisha taifa vyema kwenye michuano mbalimbali,'' alisema Korongo.

Aidha aliwaasa wachezaji hao kujituma kwa nguvu zao zote kuhakikisha wanaleta ushindi utakaoleta heshima kwa Mkoa wa Arusha na kwa wale wote waliojitolea kusaidia kwa hali na mali.

Naye Saitabau , pamoja na kuishukuru NMB kwa kuthamini na kuchangia michezo ameiomba benki hiyo kuendelea kutoa msaada kadri inavyopata faida.

Saitabau alitumia fursa hiyo kuwahimiza wachezaji hao kuhakikisha wanakuwa na nidhamu ya hali ya juu wawapo katika mashindano hayo.

"Michezo kwa sasa ni ajira kwa hiyo nawaombeni mkajitume muweze kuuletea heshima mkoa na mtambue kuwa mkicheza vizuri mtapata ajira na kuwa mabalozi wazuri sehemu muendako," alisema Saitabau.
 
Twanga kukesha Tabata

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 15th December 2010 @ 23:00


BENDI ya muziki wa dansi ya African Stars ‘Twanga Pepeta' watafanya onesho maalumu kwenye ukumbi wa Dar West Tabata siku ya mkesha wa Krisimas ikiwa ni mara ya kwanza kutumbuiza ukumbi huo baada ya miezi saba.

Onesho hilo limeandaliwa na Bob Entertainment chini ya udhamini wa kinywaji cha Konyagi na Freddito Entertainment.

Mratibu wa onesho hilo Joseph Kapinga aliwambia waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuwa onesho hilo litakuwa la kipekee na maalumu kwa kusherehekea mkesha huo.

Alisema katika onesho hilo zawadi mbalimbali zitatolewa kwa mashabiki wa bendi hiyo inayotamba na mtindo wake wa `kisigino.'

"Tumeandaa zawadi mbalimbali kwa mashabiki wetu. Twanga Pepeta watatumia onesho hilo kutambulisha nyimbo zao mpya," alisema.

"Twanga Pepeta watapiga albamu zao zote. Matumaini yetu ni kuwa watu watapata burudani ya kutosha kuliko siku nyingine zote," alisema Kapinga.

Nyimbo zilizomo kwenye albamu yao yenye nyimbo tisa inayotamba kwa sasa ya Mwana Dar es Salaam ni Mwana Dar es Salaam, Shida ni Darasa, Rafiki Adui, Mwisho wa Ubaya ni Aibu, Nazi Haivunji Jiwe na Sitaki tena.
 
imba, Yanga zang'ang'ania viwanja vya Dar

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 15th December 2010 @ 08:45
UONGOZI wa timu za soka za Simba na Yanga unatarajiwa kukutana na Serikali ili kufahamu hatima yao ya kutumia viwanja vya Dar es Salaam kwenye ligi na kwenye michuano mbalimbali.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Yanga, Louis Sendeu ambaye aliongozana na mwenzake wa Simba, Cliford Ndimbo, alisema wamekaa na kutathmini gharama wanayopata kucheza nje ya Dar es Salaam na ndipo walipofikia uamuzi wa kutaka kukutana na serikali kupitia Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.

"Kati ya kesho (leo) au keshokutwa (kesho) tutakutana na Serikali watuambie Uwanja wa Uhuru utakamilika lini na pia tutawaomba waturuhusu tuanze kuutumia Uwanja wa Taifa, kwani sisi tunashiriki michuano ya kimataifa hivyo wachezaji wetu waanze kuuzoea uwanja isije ikawa kwenye mechi wageni watakuwa wageni na hata wachezaji wetu pia watakuwa wageni na uwanja kwa vile hawautumii wakati wako nyumbani," alisema.

Simba inatarajia kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na Yanga Kombe la Shirikisho.

Tangu kuanza kwa Ligi Kuu Agosti mwaka huu, timu zilizokuwa zikitumia uwanja wa Uhuru zimehama Dar es Salaam na kutafuta viwanja vingine kwenye mikoa jirani kwa vile Uwanja wa Uhuru umefungwa kutokana na kufanyiwa matengenezo.

Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu unatarajiwa kuanza Januari 15 mwakani. Katika hatua nyingine, Ndimbo alisema wameamua kuungana na Yanga katika mechi za kimataifa na kwamba watafanya jitihada mashabiki wasizomee timu pinzani inapocheza na wageni.

Imekuwa kawaida kwa mashabiki wa timu hizo kuzomeana na kushangilia wageni pindi timu moja inapocheza mechi ya kimataifa.

"Safari hii tunataka tuungane, tushirikiane na kupeana mbinu za kushinda mechi, hatutaki kuzomeana, ila hilo ni kwenye mechi za kimataifa tu kwenye ligi kila mmoja atajijua mwenyewe," alisema.

 

Kili Stars, viongozi wapya TFF wapongezwa

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 15th December 2010 @ 08:35

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kimeipongeza timu ya soka ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars' kwa kutwaa ubingwa wa Chalenji mwaka 2010.

Pia chama hicho kimempongeza Katibu Mkuu mpya wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Angetile Osiah na Ofisa Habari mpya wa shirikisho hilo Boniface Wambura kwa kuteuliwa kushika nyadhifa hizo.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na kusainiwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Amir Mhando ilieleza kuwa ushindi huo wa Stars ambao umekuja baada ya kuifunga Ivory Coast bao 1-0 katika mchezo wa fainali ya Chalenji mwishoni mwa wiki ni wa kujivunia.

"Tunaungana na Watanzania wengine katika kufurahia ubingwa huu ambao kwa miaka 16 Kilimanjaro Stars haijaupata na miaka 15 kwa Zanzibar Heroes.

"Tunawaomba wachezaji watumie ubingwa wa Chalenji kama changamoto ya kufanya vizuri katika kuwania kufuzu fainali za Afrika (CAN) za mwaka 2012," alisema.

Kuhusiana na Osiah na Wambura alisema, ni wanahabari wazoefu, ambao kwa muda mrefu wamekuwa wahariri wa habari za michezo na ni watu wenye kufahamu mambo mengi yanayohusu kazi zao mpya.

"Lakini pia Wambura amekuwa Mwenyekiti wa TASWA kwa miaka sita mfululizo, pia amepata kukaimu nafasi hiyo ya uenyekiti kwa miaka miwili, ni mtu mzoefu kwenye mambo ya habari hasa yanayohusiana na usimamizi wa wanahabari.

"Tunaamini watakuwa watendaji wazuri kwa nafasi hiyo na kama ni pumu basi tunasema zimepata mkohozi, TASWA inaahidi kuwapa ushirikiano wa kutosha ili watekeleze majukumu yao ipasavyo. Tunawatakia kila la heri Osiah na Wambura huku tukiamini hawatawaangusha wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF waliowaamini kushika nafasi hizo.

"Tunawaombea heri watekeleze majukumu yao kwa ufasaha na wala si vinginevyo, huku tukiwambia Osiah na Wambura wakumbuke kwamba gari ya makanika hailali njiani.Wao ni kama fundi makanika, tutashangaa sana kama gari likiharibika halafu wao wamo ndani kisha wakakubali kulala porini," alisema Mhando katika taarifa hiyo.

 
Waziri:Vazi la taifa lipatikane ndani ya miezi 6

Imeandikwa na Grace Chilongola, Mwanza; Tarehe: 15th December 2010 @ 08:30
SEKTA ya Utamaduni imepewa muda wa miezi sita kuhakikisha inakamilisha mchakato wa kulipata vazi la Taifa.

Agizo hilo lilitolewa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Emmanuel Nchimbi wakati akifungua kikao kazi cha nane cha Sekta ya Utamaduni kinachoendelea jijini Mwanza.

Alisema mchakato huo umechukua muda mrefu na hivyo kumlazimu kutoa agizo hilo, ili taifa liweze kuwa na vazi litakalomtambulisha Mtanzania ndani na nje ya nchi.

"Mchakato wa kulitafuta vazi la taifa lilianza tangu nikiwa Naibu Waziri, lakini hadi leo halijakamilika, likamilike ndani ya miezi sita kuanzia sasa," alisema Waziri Nchimbi.

Alisema, ukosefu wa elimu na ubunifu wa mavazi umefanya watu mbalimbali kuvaa mavazi ambayo yamekuwa yakiacha maswali mengi kwenye jamii.

"Hakuna elimu wala ubunifu wa mavazi, hivyo watu kuvaa nguo ambazo hutafsiriwa vibaya kwenye jamii ya Watanzania," alisema Waziri na kuongeza kuwa eneo la ubunifu bado linapwaya.

Aliwataka wasanii wanapotunga nyimbo na maigizo yao mwisho waoneshe madhara yanayoweza kutokea katika jamii iwapo hawatafuata maadili.

Alisema , serikali ina wajibu wa kuhamasisha wasanii kutumia vipaji vyao katika kuondoa tatizo la ajira pamoja na kuliingizia Taifa pato la kigeni.

 

Togo, Stars, Ivory Coast zaalikwa Zanzibar

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 15th December 2010 @ 08:25

TIMU za Taifa za Togo, Ivory Coast zimealikwa mjini Zanzibar kushiriki mashindano maalumu yatakayohusisha nchi nne.

Akizungumza kwa simu jana kutoka Zanzibar, Katibu Mwenezi wa Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), Maulid Hamad Maulid alisema maandalizi kuhusiana na mashindano hayo yanaenda vizuri.

"Togo wao walituma maombi ya kuja Zanzibar kucheza mechi ya kirafiki na timu yetu ya Taifa, itakuwa walituona kwenye televisheni wakati wa michuano ya Chalenji.

"Lakini wakati hilo likifanyika, kuna mashindano ya nchi nne yanaandaliwa, ambayo tarehe rasmi itatangazwa hivi karibuni, yatafanyika hapa Zanzibar.

"Nchi hizo ni Ivory Coast, Togo, Zanzibar na Tanzania Bara ambayo timu yake ya Taifa Kilimanjaro Stars ilichukua ubingwa wa Chalenji Jumapili," alisema Maulid.

Hata hivyo hakutaka kuingia kwa undani kuhusiana na suala hilo zaidi ya kusisitiza kuwa mambo ya maandalizi yanaenda vizuri.

Wakati huohuo, Maulid alisema kocha wao wa timu ya Taifa 'Zanzibar Heroes', Stuart Hall bado hajavunja mkataba nao hivyo akisaini timu yoyote kwa sasa bila kwanza kuvunja mkataba itakuwa ni kosa.

"Tunajua anafanya mazungumzo ya kuifundisha Azam lakini hajaleta barua ya kuvunja mkataba na sisi, kwani ana mkataba wa miaka mitano, hivyo akienda kinyume chake tutafikishana mbali," alisema Maulid.

Katika hatua nyingine, Maulid alisema kuwa Rais wa ZFA, Ali Ferej Tamim ametangaza kuwania tena nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Desemba 31, mwaka huu Gombani, Pemba.

Maulid alisema ,Tamim alieleza nia yake jana mjini Zanzibar, ambapo leo fomu za wanaowania nafasi mbalimbali za uongozi wa ZFA zitaanza kutolewa. Cio....
 
Julio kupiga 'deiwaka' Serengeti Boys

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 15th December 2010 @ 08:19

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limemteua Jamhuri Kihwelo ‘Julio' kuwa kocha wa muda wa timu ya soka ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ‘Serengeti Boys'.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Sunday Kayuni alisema, Julio ameteuliwa kuchukua nafasi hiyo na ataiongoza Serengeti Boys kwenda Kigali Rwanda kwenye mechi za kirafiki.

Shirikisho la Soka la Rwanda kwa kushirikiana na Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limeandaa michuano maalumu kwa ajili ya kuipima nguvu timu yake ya vijana inayotarajiwa kushiriki fainali za Kombe la Mataifa Afrika zitakazoanza Januari 8 mpaka 22 mwakani.

"Tumepata mwaliko wa kwenda Rwanda kucheza, kutakuwa na timu tatu, Rwanda yenyewe, Tanzania na Kenya hivyo timu itakuwa chini ya Jamhuri Kihwelo tutacheza mechi mbili, moja tarehe 17 na nyingine tarehe 22 mwezi huu," alisema Kayuni.

Julio, kocha mwenye maneno mengi, anaaminika kuwa hodari wa kuwapa hamasa wachezaji wa timu anayofundisha.

Kocha huyo kwa nyakati tofauti amewahi kucheza na kuifundisha Simba. Mara ya mwisho alikuwa na kikosi cha Dar All Stars kilichokuwa na wachezaji nyota wanaocheza Ligi Kuu ambapo walicheza mechi ya kirafiki na timu ya Taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes'.

Julio amepewa nafasi hiyo baada ya kocha aliyeajiriwa kwa ajili ya kuzifundisha timu za vijana kutoka Brazil Rodrigo Stockler kuondoka nchini kwa takriban miezi miwili sasa akidaiwa kwenda kwao kumuuguza baba yake.

Katika hatua nyingine, Kayuni amewaita viongozi wa klabu zinazoshiriki Ligi Kuu wakutane ili kujadili ligi ya timu za vijana chini ya miaka 20.

"Kama ilivyo kawaida kwamba kila timu ya ligi ina timu yake ya vijana ambazo nazo hucheza ligi yao, hivyo nawaita viongozi wa klabu tukutane ofisi za TFF Desemba 18 (Jumamosi) kwa ajili ya kujadili ligi hiyo, tarehe ya kuanza itapangwa baada ya kukutana na viongozi kila klabu ilete Mwenyekiti na Katibu Mkuu wake," alisema.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom