Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Rangers, Celtic draw 2-2 in Scottish Cup


storypage_APlogo_01.png







2 comments »

Updated Feb 6, 2011 10:01 AM ET
Scott Brown kept Celtic in the Scottish Cup on Sunday by securing a 2-2 draw against Glasgow rival Rangers in a fifth-round match that both teams finished with 10 men.

Scores | Fixtures | Table | Stats Scores | Fixtures | Table | Stats Scores | Fixtures | Table | Stats Scores | Fixtures | Table | Stats Scores | Fixtures | Table | Stats Scores | Fixtures | Table | Stats

Rangers led twice, with 19-year-old midfielder Jamie Ness netting his first goal for the club after just three minutes.
Kris Commons leveled from Joe Ledley's cutback, but Steven Whittaker restored Rangers' lead from the penalty spot in the 41st after goalkeeper Fraser Forster was sent off for a foul on Steven Naismith.
With 10 men, Brown curled in Celtic's second equalizer in the 65th.
Naismith was also dismissed in the 76th when the Rangers defender was shown a second yellow card after being adjudged to have dived in the penalty area.
 
Messi, Ronaldo set for first international clash


storypage_APlogo_01.png




PRINT RSS

0 comments »

Updated Feb 8, 2011 6:32 AM ET
Lionel Messi and Cristiano Ronaldo will finally meet in an international when Argentina faces Portugal on Wednesday.
Longtime club rivals in the Champions League and Spain, the gifted forwards have never come up against each other on national team duty because the friendly in neutral Switzerland is their countries' first meeting in almost 40 years.
The historic clash arrives with Barcelona's Messi and Real Madrid's Ronaldo locked at the top of the Spanish scoring chart with 24 league goals each.

INTERNATIONAL FRIENDLIES

Sat., Jan. 22
United States 1-1 Chile | Recap
Tue., Feb. 8
Ivory Coast vs. Mali | Preview
Ireland vs. Wales
Romania vs. Ukraine
Cyprus vs. Sweden
Peru vs. Panama
Wed., Feb. 9
Egypt vs. USA | Canceled
France vs. Brazil | Preview
Portugal vs. Argentina | Preview
Netherlands vs. Austria | Preview
Croatia vs. Czech Rep. | Preview
N. Ireland vs. Scotland | Preview
Spain vs. Colombia | Preview
Germany vs. Italy | Preview
Denmark vs. England | Preview
Mexico vs. Bosnia-Herz.
Israel vs. Serbia
Turkey vs. South Korea



Portugal coach Paulo Bento downplayed talk of a personal duel between the two most recent winners of FIFA's world player award.
"As far as I'm concerned this is Portugal against Argentina," Bento said. "It's not about individual rivalry. I doubt whether Ronaldo or Messi see it that way, either."
The last time Ronaldo shared a pitch with Messi, Madrid slumped to a 5-0 defeat against an inspired Barcelona team in November.
Messi's mesmerizing play for the Spanish champions helped ensure that last month the 23-year-old Argentine lifted the FIFA Ballon d'Or trophy after being named the best in the world for a second straight year.
Ronaldo had previously had the edge in their rivalry, receiving the FIFA honor for 2008 when Messi was runner-up. That prize rewarded a 42-goal season leading Manchester United to the Champions League title, including beating Barcelona in the semifinals.
Messi struck back by starring, and scoring, in the 2009 final that was Ronaldo's last match for Man United before moving to Madrid.
Organizers of Wednesday's match say at least 85 countries will broadcast the match live, and the two main attractions warmed to their task at the weekend.
Ronaldo, who turned 26 on Saturday, scored twice in Madrid's 4-1 win over Real Sociedad, and Messi hit all three goals in the 3-0 victory over Atletico Madrid to extend Barcelona's league winning streak to 16.
Messi also scored in Argentina's last match, a 1-0 victory against Brazil in a Nov. 17 friendly played at Doha, Qatar.
On that date, Portugal routed World Cup winner Spain 4-0 in a Lisbon friendly to continue new coach Bento's unbeaten start since succeeding Carlos Quieroz in September.
"The match will require a different approach to the game with Spain," Bento said. "We may adopt different tactics but we want to keep our momentum and get ready for the (2012 European Championship qualifier in June) against Norway."
Bento made one squad change Monday, calling up defender Ricardo Costa of Valencia to replace Real Madrid's Ricardo Carvalho, who has injured his left thigh.
Argentina coach Sergio Batista, who replaced Diego Maradona after the World Cup, lost striker Diego Milito to a persistent hamstring injury aggravated by playing for Inter Milan on Sunday.
Both coaches have compiled winning records as their teams rebound from underachieving at the tournament in South Africa in which they might have met at the semifinal stage in Durban.
Instead, the Stade de Geneve will stage Argentina and Portugal's first meeting since June 1972 at a tournament in Rio de Janeiro to mark 150 years of Brazil's independence. Another great, Eusebio, scored that day in a 3-1 win for Portugal.
 
Milito facing injury lay-off


FoxSoccer.com





0 comments »

Updated Feb 8, 2011 6:07 AM ET
Inter Milan striker Diego Milito is set to miss the Champions League last-16 clash against Bayern Munich on February 23 through injury.
The Argentina international suffered a hamstring problem during Sunday's 5-3 triumph over Roma and could be out of action for a month.

Tue., Feb. 15
AC Milan vs. Tottenham
Valencia vs. Schalke
Wed., Feb. 16
Arsenal vs. Barcelona
AS Roma vs. Shakhtar Donetsk
Tue., Feb. 22
Copenhagen vs. Chelsea
Lyon vs. Real Madrid
Wed., Feb. 23
Marseille vs. Manchester United
Inter Milan vs. Bayern Munich
CL Scores | Tables | Fixtures

A statement from Inter read: "Milito underwent tests which have revealed a second-degree hamstring strain in his left leg."
After an extremely successful 2009-10 campaign, in which Milito helped the Italian giants to the treble by scoring both goals in the Champions League final against Bayern Munich, the 31-year-old has had a nightmare with injuries this season.
Milito could miss up to six Serie A games, starting with Sunday's clash at Juventus, but Inter coach Leonardo has urged the striker not to rush his return.
"Diego has to be calm and not think about what has happened," he said. "He does not need to prove anything to anyone and he knows he is an important player to Inter.
"He needs to relax and recover in the best possible way."
Milito has scored five goals in 16 league appearances for Inter this season.
 
Nasri to sit out Barca visit




88 comments »

Updated Feb 2, 2011 11:20 AM ET
Samir Nasri is out the first leg of Arsenal's Champions League tie against Barcelona, while Alex Song and Theo Walcott have picked up knocks.

Tue., Feb. 15
AC Milan vs. Tottenham
Valencia vs. Schalke
Wed., Feb. 16
Arsenal vs. Barcelona
AS Roma vs. Shakhtar Donetsk
Tue., Feb. 22
Copenhagen vs. Chelsea
Lyon vs. Real Madrid
Wed., Feb. 23
Marseille vs. Manchester United
Inter Milan vs. Bayern Munich
CL Scores | Tables | Fixtures

Defensive midfielder Song is struggling with a leg problem having been inadvertently kicked by team-mate Laurent Koscielny during the Gunners' 2-1 win over Everton at Emirates Stadium and replaced by Abou Diaby.
Young winger Walcott, meanwhile, completed the full 90 minutes but was left nursing an ankle problem after the final whistle.
The absence of in-form Nasri is the Gunners' biggest blow, however, with Arsene Wenger confirming the Frenchman will be out for three weeks after sustaining a hamstring injury against Huddersfield on Sunday. Barcelona arrive at Emirates Stadium in a fortnight.
Wenger told the club's official website: "For Nasri, the scan shows a hamstring strain. (He will be out for) 21 days."
The Gunners boss added: "Song cannot walk. I don't know what he has got.
"He was kicked, I think it was by Koscielny, he knocks out everybody in our team!
"So we have to see how he responds to that in the next days, but he cannot walk at the moment."
 
Viingilio mechi ya Stars, Palestina vyatajwa

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 7th February 2011 @ 21:00

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mechi ya kirafiki ya kimataifa kati ya Taifa Stars na Palestina itakayochezwa Jumatano kwenye uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam, Ofisa Habari wa TFF Boniface Wambura alisema, viingilio vilivyopangwa vimezingatia uwezo wa Watanzania walio wengi kwani wanataka kila mmoja aingie uwanjani.

Alisema katika mechi hiyo watakaokaa VIP A ni sh 10,000, VIP B Sh 7,000 na VIP C Sh 5,000. Kwa upande wa viti vya machungwa ni Sh 3,000, viti vya bluu ni Sh 2,000 na Sh 1,000 kwa watakaokaa jukwaa la kijani.

Tayari Palestina imeshawasili nchini tangu juzi kwa ajili ya mechi hiyo na Wambura alisema tiketi zitaanza kuuzwa leo.

"Waamuzi katika mechi hiyo ni Oden Mbaga atakayekuwa mwamuzi wa kati, akisaidiwa na Hamisi Maswa wa Zanzibar na Hamisi Chang'walu, mwamuzi wa akiba ni Ramadhani Ibada na Kamisaa ni Khamisi Kisiwa," alisema Wambura.

Hiyo itakuwa mechi ya kwanza ya kirafiki ya kimataifa kwa Stars tangu itoke Misri iliposhiriki michuano ya Bonde la Mto Nile na kushika nafasi ya sita, kati ya timu saba.

Katika hatua nyingine, Wambura alisema kutakuwa na mapitio ya Azimio la Bagamoyo lililotokana na semina ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) kwa klabu za Ligi Kuu Desemba 2007 yatakayofanyika Februari 14 mpaka 18.

Alisema washiriki katika mapitio hayo ni wenyeviti, makatibu wakuu na maofisa habari wa klabu za Ligi Kuu.

Wakati huo huo, Wambura alisema Semina ya mawakala wa Fifa inatarajiwa kufanyika katika ofisi za TFF Machi 31 mwaka huu, na kwamba wanaotaka wawasiliane na Shirikisho hilo.



 
Nasri to sit out Barca visit




88 comments »

Updated Feb 2, 2011 11:20 AM ET
Samir Nasri is out the first leg of Arsenal's Champions League tie against Barcelona, while Alex Song and Theo Walcott have picked up knocks.

Tue., Feb. 15
AC Milan vs. Tottenham
Valencia vs. Schalke
Wed., Feb. 16
Arsenal vs. Barcelona
AS Roma vs. Shakhtar Donetsk
Tue., Feb. 22
Copenhagen vs. Chelsea
Lyon vs. Real Madrid
Wed., Feb. 23
Marseille vs. Manchester United
Inter Milan vs. Bayern Munich
CL Scores | Tables | Fixtures

Defensive midfielder Song is struggling with a leg problem having been inadvertently kicked by team-mate Laurent Koscielny during the Gunners' 2-1 win over Everton at Emirates Stadium and replaced by Abou Diaby.
Young winger Walcott, meanwhile, completed the full 90 minutes but was left nursing an ankle problem after the final whistle.
The absence of in-form Nasri is the Gunners' biggest blow, however, with Arsene Wenger confirming the Frenchman will be out for three weeks after sustaining a hamstring injury against Huddersfield on Sunday. Barcelona arrive at Emirates Stadium in a fortnight.
Wenger told the club's official website: "For Nasri, the scan shows a hamstring strain. (He will be out for) 21 days."
The Gunners boss added: "Song cannot walk. I don't know what he has got.
"He was kicked, I think it was by Koscielny, he knocks out everybody in our team!
"So we have to see how he responds to that in the next days, but he cannot walk at the moment."



PRINT RSS




Member Comments

Please note by clicking on "add a comment" you acknowledge that you have read the Terms of Use and the comment you are posting is in compliance with such terms. Be polite. Inappropriate posts may be removed by the moderator.
LOG IN TO ADD A COMMENT Page 1 of 9 PREV PREV NEXT NEXT


Post Comment


  • Report Abuse karlosthejackal
    • 2/3/2011 3:54:18 AM
    GK...

    Nice nice...a feverish football mind tonight...
    Hahahaha!!

    Gotta bounce.

    I'm out.

    Later Holmes!!

  • Report Abuse karlosthejackal
    • 2/3/2011 3:52:24 AM
    LOCK DOWN GUNZ....indeed!!

    I like it...have Gunners with serious wheels on our flanks...force Barca down the middle for Song (muscle) and Cesc (brain) to disrupt and launch lightning counter-attacks.

    WORD UP!!

  • Report Abuse Gunnerkidd
    • 2/3/2011 3:42:00 AM
    Next season....AW will play more of the 4-4-2.....caz Traore will be back and he will be us as a LW the same he did with Eboue....hes gonna be a utility player....AW has been toying with this idea late in games by playing both gibbs and clichy together....You heard it here first folks....GUNZ UP....GUNZ OUT
  • Report Abuse Gunnerkidd
    • 2/3/2011 3:34:52 AM
    KTJ....cant sleep bro so I'm thinking bout footy all night lol....I've been running this shyt thru my head and I think it can work
  • Report Abuse Gunnerkidd
    • 2/3/2011 3:33:31 AM
    I call that 4-4-1-1 LOCK DOWN GUNZ

    sagna and eboue clichy and gibbs

    thats TOTAL LOCK

  • Report Abuse Gunnerkidd
    • 2/3/2011 3:31:35 AM
    And if we do manage to get a result 2nd leg 4-4-1-1

    Sagna JD KOS Clichy

    Eboue Cesc Song Gibbs

    RVP

    Chamakh

  • Report Abuse Gunnerkidd
    • 2/3/2011 3:30:14 AM
    I watch a few games with Udinese (caz yall know I'm a big fan of Inler) and I see them use this same formation....they beat inter, juve and almost beat ac milan

    Watch the Pool game 2day and Daglish came with a similar formation....they had 61% of the possession...I know it was against stoke but still when was the last time Pool had that kind of possession...come one its Pool I'm talking bout even the lower level teams have been stickin it to em

    I also saw earlier in the season Allardyce use it against Newcastel and beat them also...

    Its time for AW to wake up and try something new....try someting out of the box something our opponents wud least expect

  • Report Abuse karlosthejackal
    • 2/3/2011 3:29:31 AM
    GK...

    I like the fact you've worked my boy "Da Screwface" (Eboue) into your starting XI.
    PROPS to that.

    When he and Sagna play 1 in front of the other on the right...it is total lockdown.
    In 3 years those 2 together on the right side have NEVER let a goal come from down our right flank.

    PLUS...Eboue's penetrating runs and willingness to run at defenders will win F.K's and open up channels for Robin, Theo and Cesc to exploit and hunt in.

    LOVING IT!!

  • Report Abuse karlosthejackal
    • 2/3/2011 3:25:32 AM
    Wise decision to hold him out...we'll need him more for the return leg at Camp Nou.
    Plus...if we risked his hamstring...it could easily knock him out for lengthy time in the Prem League...which is still VERY MUCH up for grabs...especially with Chelsea loading up at the deadline.

    2010-2011...most EPIC SEASON in 20 years.

  • Report Abuse Gunnerkidd
    • 2/3/2011 3:22:02 AM
    The key to this set up is to press high up the pitch to close down full backs and cb...dont let them breathe to get time on the ball...with this we can win a lot of possession in the final third....This is to keep Alves in check and limit possession for xavi and iniesta which will eventually cut off balls supply to Messi

    And the beauty about this formation is that the lightning counter attacking footy they can afford to play...caz we all know at some point Barca will hog most of the possession....so when we win the ball back the pace of theo, clichy, eboue will caz some problems.

    I call it Attacking like Sharks and Defending like Beasts

LOG IN TO ADD A COMMENT Page 1 of 9 PREV PREV
 
Simba yakaa penyewe

Imeandikwa na Jasmin Shamwepu, Dodoma; Tarehe: 7th February 2011 @ 10:51 Imesomwa na watu: 617; Jumla ya maoni: 0


02_11_23z6cu.jpg

Kikosi cha Simba

SIMBA sasa imekaa penyewe kwenye usukani wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara 2010/2011.

Hivyo ndivyo unavyoweza kuzungumzia matokeo ya mchezo wa jana wa ligi hiyo kati ya Simba ya Dar es Salaam na Polisi Dodoma uliofanyika Uwanja wa Jamhuri na kumalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.

Kutokana na ushindi huo Simba imefikisha pointi 33 na kushika usukani wa ligi, huku Yanga iliyokuwa ikiongoza msimamo wa ligi tangu kuanza duru la pili wiki tatu zilizopita, sasa inashika nafasi ya pili ikiwa na pointi 32. Simba imezidiwa mchezo mmoja na Yanga.

Azam inashika nafasi ya tatu ikiwa na pointi 29, baada ya kucheza mechi 15 sawa na Yanga, wakati Simba yenyewe imecheza mechi 14.

Ligi inashirikisha timu 12, ambapo AFC Arusha inashika mkia ikiwa na pointi nane.

Mashabiki waliohudhuria mchezo huo walishuhudia dakika 45 zikimalizika bila kuwepo bao, huku washambuliaji wa timu zote wakipoteza nafasi kadhaa za kufunga.

Laiti washambuliaji wa timu zote wangekuwa makini huenda mabao mengi yangefungwa, lakini walishindwa kulenga lango kwa kupiga michomo dhaifu iliyodakwa na kipa au kutoka nje
ya lango.

Polisi itajutia zaidi nafasi iliyopata dakika ya 16 baada ya Ismail Nkulo kushindwa kumchambua kipa Juma Kaseja na kutumbukiza wavuni, badala yake alipiga fyongo na mpira kuokolewa na Kaseja.

Simba nayo ilipoteza nafasi dakika 18 baada ya shuti la Patrick Ochan kuokolewa na kipa Said Kombo.

Mbwana Samata aliifungia Simba bao la kuongoza dakika ya 54 kwa mpira wa adhabu baada ya beki mmoja wa Polisi kumchezea madhambi Samata.

Polisi ililazimika kucheza pungufu baada ya Semsue Juma kuoneshwa kadi nyekundu dakika ya 61 kutokana na kumchezea vibaya Amir Maftah, awali alikuwa na kadi ya njano, hivyo alioneshwa njano ya pili iliyofuatiwa na nyekundu.

Mussa Mgosi aliipatia Simba bao la pili dakika ya 84 kwa kichwa baada ya kutokea piga nikupige langoni mwa Polisi.

Simba: Juma Kaseja, Haruna Shamte, Amir Maftah, Juma Nyoso, Kelvin Yondani, Jerry Santo, Nico Nyagawa/Shija Mkina, Patrick Ochan, Mussa Mgosi, Mbwana Samata na Amri Kiemba/Mohammed Banka.

Polisi: Said Kombo, Nahoda Haji, Elias Mafutaa, Noel Msekwa, Salmin Kiss, Ismail Nkulo, Sihaba Mkude/Paschal Maige, Khalid Ally/Abdallah Seif, Semsue Juma, Seif Mohammed na Delta Thomas/Bantu Admin.

 
Simba yakaa penyewe

Imeandikwa na Jasmin Shamwepu, Dodoma; Tarehe: 7th February 2011 @ 10:51 Imesomwa na watu: 617; Jumla ya maoni: 0


02_11_23z6cu.jpg

Kikosi cha Simba

SIMBA sasa imekaa penyewe kwenye usukani wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara 2010/2011.

Hivyo ndivyo unavyoweza kuzungumzia matokeo ya mchezo wa jana wa ligi hiyo kati ya Simba ya Dar es Salaam na Polisi Dodoma uliofanyika Uwanja wa Jamhuri na kumalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.

Kutokana na ushindi huo Simba imefikisha pointi 33 na kushika usukani wa ligi, huku Yanga iliyokuwa ikiongoza msimamo wa ligi tangu kuanza duru la pili wiki tatu zilizopita, sasa inashika nafasi ya pili ikiwa na pointi 32. Simba imezidiwa mchezo mmoja na Yanga.

Azam inashika nafasi ya tatu ikiwa na pointi 29, baada ya kucheza mechi 15 sawa na Yanga, wakati Simba yenyewe imecheza mechi 14.

Ligi inashirikisha timu 12, ambapo AFC Arusha inashika mkia ikiwa na pointi nane.

Mashabiki waliohudhuria mchezo huo walishuhudia dakika 45 zikimalizika bila kuwepo bao, huku washambuliaji wa timu zote wakipoteza nafasi kadhaa za kufunga.

Laiti washambuliaji wa timu zote wangekuwa makini huenda mabao mengi yangefungwa, lakini walishindwa kulenga lango kwa kupiga michomo dhaifu iliyodakwa na kipa au kutoka nje
ya lango.

Polisi itajutia zaidi nafasi iliyopata dakika ya 16 baada ya Ismail Nkulo kushindwa kumchambua kipa Juma Kaseja na kutumbukiza wavuni, badala yake alipiga fyongo na mpira kuokolewa na Kaseja.

Simba nayo ilipoteza nafasi dakika 18 baada ya shuti la Patrick Ochan kuokolewa na kipa Said Kombo.

Mbwana Samata aliifungia Simba bao la kuongoza dakika ya 54 kwa mpira wa adhabu baada ya beki mmoja wa Polisi kumchezea madhambi Samata.

Polisi ililazimika kucheza pungufu baada ya Semsue Juma kuoneshwa kadi nyekundu dakika ya 61 kutokana na kumchezea vibaya Amir Maftah, awali alikuwa na kadi ya njano, hivyo alioneshwa njano ya pili iliyofuatiwa na nyekundu.

Mussa Mgosi aliipatia Simba bao la pili dakika ya 84 kwa kichwa baada ya kutokea piga nikupige langoni mwa Polisi.

Simba: Juma Kaseja, Haruna Shamte, Amir Maftah, Juma Nyoso, Kelvin Yondani, Jerry Santo, Nico Nyagawa/Shija Mkina, Patrick Ochan, Mussa Mgosi, Mbwana Samata na Amri Kiemba/Mohammed Banka.

Polisi: Said Kombo, Nahoda Haji, Elias Mafutaa, Noel Msekwa, Salmin Kiss, Ismail Nkulo, Sihaba Mkude/Paschal Maige, Khalid Ally/Abdallah Seif, Semsue Juma, Seif Mohammed na Delta Thomas/Bantu Admin.

 
Kimobitel amlipua Ally Choki


na Khadija Kalili


amka2.gif
ALIYEKUWA Kiongozi wa bendi ya Extra Bongo Khadija Mnoga ‘Kimobitel' amerudisha mabegi yake katika bendi yake ya zamani African Stars ‘Twanga Pepeta' huku akishusha lawama kibao huko alikotoka.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Kimobitel alisema kuwa ameamua kubwaga manyanga Extra Bongo kutokana na kutothaminiwa, kutolipwa mshahara na marupurupu.
Alisema, binafsi ameguswa na kitendo cha Choki kuchukua wanamuziki wanane kutoka Twanga na kuwalipa vizuri fedha nyingi wageni na kuwatosa wao wakongwe ambao wamesota na bendi hiyo bila kulipwa mishahara.
Kimobitel aliongeza kuwa alisikitishwa zaidi hasa pale alipoambiwa yeye kama kiongozi wa Extra Bongo awafukuze kazi wanamuziki saba ili wawapishe wengine wapya ambao ndiyo hao wanane waliotoka Twanga.
"Chochote kinachotokea ASET, kiwe kizuri au kibaya huwa napenda kukifuatilia kwa sababu huko ndiko nilikotokea mimi kwani nilianzia katika bendi ya Chumvichumvi, hivyo hapa ni nyumbani nimeamua kurudi nyumbani," alisema.
Aidha aliongeza kuwa hivi sasa Extra Bongo wasanii wamegawanyika kutokana na roho kuwauma kwa kuona wenzao wamechukuliwa na kulipwa fedha nyingi huku walioifikisha bendi hiyo hapo ilipo wakiachwa bila kuthaminiwa.
Akithibitisha hayo, Mkurugenzi wa African Stars Entertainment (ASET), Asha Baraka, alisema kuna kundi la wanamuziki kutoka Extra Bongo akiwemo Greyson Semsekwa walifika ofisi kwake kuomba kazi, huku yeye akiamua kumchua Kimobitel peke yake.
 
Twanga: Tutaendelea kubaki kileleni


na Khadija Kalili


amka2.gif
IKIWA ni siku tano tu tangu bendi ya Extra Bongo iwanyakue wasanii wanane wa Twanga International, Mkurugenzi wa Kampuni ya The African Stars Entertainment (ASET), Asha Baraka, ameibuka na kutamba kuwa hawatetereki na wataendelea kubaki kileleni.
Asha ambaye pia ni mmoja kati ya wamiliki wa bendi ya Twanga Pepeta, alitoa tambo hizo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za ASET Kinondoni jijini Dar es Salaam jana.
"Twanga ni mwembe wenye maembe matamu, hivyo kwa kitendo cha Ally Choki kuchukua wasanii wa bendi hii sishangai, kwani alianza chokochoko hizo muda mrefu na wapo baadhi ya wasanii waliolipwa fedha muda mrefu, hivyo tulijua kuwa wataondoka," alisema.
Aliongeza kuwa hana kinyongo na wasanii walioondoka, bali anawaombea dua njema na kutaka watumie vema fedha walizopewa kwa sababu ni za msimu na siyo endelevu.
Alisema Twanga hawataki malumbano kwani sanaa ni vipaji, hivyo ASET wapo wasanii wengi ambao ni wasomi lakini wameamua kubobea katika sanaa na ukikata mti wanapanda mti, hivyo hao wameondoka na wengine wanaendeleza gurudumu.
Wakati huohuo Asha aliongeza kuwa bendi hiyo haiendeshwi kwa majina au kwa jina la msanii fulani, kwa sababu wote ni nyota na wana uwezo sawa na hakuna makundi kama wengi wanavyoweka matabaka kwa wasanii.
"Hapa Twanga kila mtu analipwa mshahara, hakopwi mtu au kumshusha huyu ukampandisha msanii mwingine," alisema.
Akizungumzia kuhusu Extra Bongo kuchukua wasanii wake, alisema kuwa ana uhakika anachokizungumza kuwa hiyo ni bendi ya msimu kwani anajua kwamba iko siku itavunjika kama ilivyovunjika ilipoanzishwa kwa mara ya kwanza.
Aidha, alimsifu msanii mdogo kuliko wote katika bendi hiyo, Martin Kibosho, kutokana na uamuzi wake wa kugoma kuhama, kwani mara alipoitwa na kupewa fedha sh milioni 6 na kulinganisha pato lake la mwaka na kugundua kwamba hazitaweza kukidhi matakwa yake ya kila siku, licha ya kwamba amekuwa akipokea vitisho kila kukicha jambo lililosababisha kuzima simu yake ya kiganjani.
Pia Mkurugenzi huyo alimtangaza Kassim Mohammed ‘Super K' , kuwa kiongozi wa wanenguaji wa kiume akirithi mikoba ya Super Nyamwela na Lilian Tungaraza ‘Internet' kuwa kiongozi wa wanenguaji wa kike huku Hamis Kayumbu ‘Amigolas' kuwa Meneja Matukio na Uhusiano, Luiza Mbutu kiongozi wa bendi akisaidiwa na Saleh Kupaza ambaye pia ni mhakiki wa tungo za nyimbo.
 
Tamasha la Busara kukata utepe leo


na Abdallah Menssah


amka2.gif
TAMASHA la Sauti za Busara linaloshirikisha makundi mbalimbali ya muziki hapa Afrika, linatarajiwa kuanza kuunguruma leo kwenye ukumbi wa Ngome Kongwe kisiwani Unguja.
Mwenyekiti wa Tamasha hilo, Waziri Ally, alisema jijini Dar es Salaam jana kuwa mwaka huu tamasha hilo linatarajiwa kujaa msisimko wa hali ya juu kutokana na kuandaliwa vema zaidi.
Aidha, Ally alieleza kuwa kadhalika kila kundi litakaloshiriki limepangiwa muda wa kutosha kutoa burudani kwa mashabiki ili kukwepa adha ya kukatisha kiu ya wote watakaohudhuria.
Nao baadhi ya mashabiki waliozungumza na mwandishi wa habari hizi mjini Unguja juzi, walisema kuwa, wanaamini Tamasha la Sauti za Busara mwaka huu litakuwa ni la kukata na shoka kutokana na wengi kuonyesha kulisubiri kwa hamu.
Kwa hapa Tanzania, baadhi ya makundi yanayotarajiwa kushiriki katika Tamasha la Busara ni pamoja na Jagwa Music, Mlimani Park Sikinde, Msondo Ngoma Music Band, Jahazi Modern Taarab na African Stars Twanga Pepeta.
 
Poulsen: Yanga wana matatizo
• Asema Stars itakipiga hata bila nyota wao

na Mwandishi wetu


amka2.gif
KOCHA mkuu wa timu ya taifa ya soka Tanzania, Taifa Stars, Mdenish Jan Poulsen, ameelezea kusikitishwa na uamuzi wa klabu ya Yanga kuwazuia nyota wake watano kujiunga na wenzao kambini na kuwa klabu hiyo imekuwa na matatizo.
Stars ilianza kambi rasmi juzi kwenye Hoteli ya Atriums lakini uongozi wa Yanga uliwazuia wachezaji wake kutokana na hoja mbalimbali ikiwamo kutopewa barua na ile ya kujiandaa na mechi ya marejeano ya Kombe la Shirikisho (CAF), dhidi ya Dedebit, sambamba na wale wa Mtibwa Sugar ambao walichelewa kutokana na masuala ya usafiri.
Nyota hao ni pamoja na Nadir Haroub, Godfrey Bonny, Shadrack Nsajigwa, Nurdin Bakari na Chacha Marwa.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa mikutano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Karume Ilala, jijini Dar es Salaam, jana, Paulsen alisema kambi ya timu hiyo ilianza juzi bila wachezaji wa Yanga na kuwa hata kama hawatajiunga na wenzao mechi ya leo itapigwa bila wasiwasi.
Akionyesha kutopendezwa na kilichofanywa na klabu ya Yanga, Paulsen alisema suala hilo anawaachia TFF na Yanga kulimaliza, ingawaje hata nyota hao wasipojiunga na wenzao watashuka dimbani leo kama kawaida kuwavaa Palestina.
Kuhusu wachezaji wa Mtibwa, Poulsen alisema wao wanaeleweka kwani walichelewa kutokana na umbali wa kutoka Manungu hadi jijini.
Kwa upande wake kocha wa Palestine, Mussa Bezaz, alielezea kujiandaa vema na mechi hiyo na wana furaha kucheza na timu ambayo inawazidi kwani itawapa changamoto ya kutosha.
Bezaz alisema wameifahamu Stars na kuvutiwa jinsi ilivyocheza na Algeria na kutoa sare ugenini na hata mechi dhidi ya Morroco hivyo ni timu nzuri itakayowapa changamoto.
Kocha huyo alisema, kabla ya kuja kukipiga na Stars walicheza na nchi kadhaa ikiwamo Mauritania na kwenda nayo sare ya bila kufungana, Sudan 1-1, Falme na Kiarabu na Iran.
Naye nahodha wa timu hiyo, Abdallah Alscun, alisema wanafurahi kupata nafasi ya kufika Tanzania na kukipiga na Stars, kwani ni timu nzuri na wamejiandaa vema kukabiliana nayo.
Akizungumzia sakata la wachezaji wa Yanga, Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura alisema baada ya timu hiyo kugoma kuwaachia wachezaji wake, juzi jioni waliwaandikia na jana kuthibitisha kuipokea na mchana kuwaachia nyota hao kuungana na wenzao ambako walishiriki mazoezi ya jioni.
Kwa upande wake, Ofisa Habari wa Yanga, Louis Sendeu alisema kuwa, Shirikisho hilo lilikosea baadhi ya taratibu, lakini juzi uongozi wao ulikutana na kulijadili jambo hilo nakuamua jana mchana kuwaruhusu hasa wakitanguliza zaidi uzalendo.
Pia alisema, awali walikuwa wamepanga kwenda Ethiopia leo, lakini kwakuwa sasa timu itaondoka kesho nayo ni sababu iliyochangia kuwaruhusu wachezaji wao kujiunga na Stars.
Stars na Palestina zitauma leo kwenye Uwanja wa Taifa ambako viingilio vimepangwa kuwa, VIP A watalipa sh. 10,000, VIP B sh 7,000, VIP C sh 5,000, viti vya rangi ya chungwa sh 3,000, bluu sh 2,000 na viti vya kijani sh 1,000.

Mwisho
 
Yanga kuwafuata Dedebit bila Nurdin, Mwasika
• Yew Berko, Boakye warejea dimbani

na Dina Ismail


amka2.gif
WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho (CAF), Yanga ya jijini Dar es Salaam wanatarajiwa kuondoka nchini kesho kwenda Ethiopia huku ikiwakosa nyota wake wawili muhimu.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Yanga, Louis Sendeu alisema kuwa, hadi mchana walikuwa wakihaha Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kujua tarehe husika ya mechi yao ya marejeano dhidi ya Dedebit, kwani wenyeji wao hao hadi jana walikuwa hawajatamka siku rasmi.
Hata hivyo, Sendeu alisema, wao wameanza kujiandaa na mechi hiyo tangu juzi chini ya Kocha Mkuu Sam Timbe kwenye Uwanja wa Jangwani na jana mchana walihamishia kambi maeneo ya My Fair Plaza, Msasani na mazoezi kufanyika Uwanja wa Uhuru.
Alisema hali ya kambi ni nzuri isipokuwa wachezaji wawili ni wagonjwa na hawafanyi mazoezi ambao ni Nurdin Bakari aliyeumia mguu wa kulia na Stephano Mwasika anayesumbuliwa na homa.
"Wachezaji hao wawili ndio majeruhi, Nurdin ameumia mguu wa kulia na Mwasika asumbuliwa na homa na hata mazoezi hawafanyi baada ya daktari kuwaambia wapumzike, lakini wengine akiwa Ernest Boakye na kipa Yew Berko wameanza mazoezi na wako fiti," alisema.
Sendeu alibainisha kwamba, kwa kuwa wenyeji wao Dedebit walikuwa wamepanga mchezo huyo kupigwa kati ya Februari 11, 12 na 13, wao wanatarajia kuondoka nchini kesho kwenda Addis Ababa, ambako wana deni kubwa la kuibuka na ushindi katika mechi hiyo kutokana na matokeo ya mechi ya awali kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, ambako walilazimishwa sare ya mabao 4-4.
 
Simba yajiuliza pa kuwapeleka Wacomoro


na Mwandishi wetu


amka2.gif
UONGOZI wa klabu ya Simba leo unatarajiwa kutoa tamko rasmi kuhusiana na mchezo wa marejeano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Elan de Mitsoudje ya Comoro ikiwamo Uwanja utakaotumika kati ya Uhuru na Taifa jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Simba, Clifford Mario Ndimbo alisema, hadi jana Wacomoro hao walikuwa hawajatoa taarifa ya kuwasili kwao nchini, licha ya kuwataarifu kuwa mchezo utapigwa Jumapili.
Ndimbo alisema, uongozi wa Simba ulikuwa ukitarajiwa kukutana wakati wowote kujadili masuala mbalimbali kuelekea mechi hiyo, ikiwamo suala ya uwanja utakaotumika kama iwe Uhuru au Taifa.
"Uongozi utakutana wakati wowote kujadili masuala mbalimbali kuhusiana na mechi yetu ya marudiano dhidi ya Elan, ingawa hadi sasa hawajatuambia lini watatua jijini, hivyo leo kama mambo yakienda sawa tutatia taarifa rasmi ikiwamo suala la Uwanja kama Uhuru au Taifa utakaotumika," alisema Ndimbo.
Katika mechi ya awali iliyopigwa mjini Moroni, timu hizo zolokwenda sare ya bila kufungana.
 
Rhino yawaondoa Wagosi kileleni


na Safari Chuwa, Tanga


amka2.gif
MAAFANDE wa Rhino Rangers ya Tabora jana walijiweka katika mazingira mazuri ya kukwea Ligi Kuu msimu ujao baada ya kuiondosha Coastal Union ‘Wagosi wa Kaya' ya jijini hapa kwenye uongozi wa Fainali ya Tisa Bora Ligi Daraja la Kwanza inayoendelea kwenye Uwanja wa Mkwakwani.
Rhino imekwea kileleni baada ya kuishushia kipigo cha mabao 4-1 Morani FC ya Manyara hivyo kufikisha pointi 8 baada ya kushuka dimbani mara nne sawa na wenyeji Coastal Union inahawa wanatoafautiana wastani wa mabao ya kufu nga na kufungwa.
Mabao ya washindi yalifungwa na Shija Mongo dakika ya 11 na 52, Shija Joseph dakika ya 12 na Paulo Nonga dakika ya 66, huku lole la Morani likifungwa na Diego Samwel dakika ya 88.
Katika mechi ya pili, Coastal Union na maafande wa Polisi Morogoro zilishindwa kutambia na kwenda sare ya bila kufungana.



h.sep3.gif


juu
 
Poulsen asema suala la viwango halimnyimi usingizi
Tuesday, 08 February 2011 20:00

kocha%20poulsen.jpg
Kocha mkuu wa Taifa Stars,Jan Poulsen

Sweetbert Lukomge
WAKATI timu ya soka ya taifa , Taifa Stars imejitega kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) kwa kukubali kucheza na Palestina leo, kocha mkuu wa timu hiyo, Jan Poulsen amesema kuwa hababashwi na lolote hata kama Tanzania itaporomoka katika viwango vya soka duniani au la.

Taifa Stars inashuka uwanjani leo kucheza na Palestina katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki unaotambuliwa na Fifa utakaofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia saa 11 jioni.

Akizungumza jijini jana, Poulsen alisema kuwa hata kama Tanzania itapoteza mchezo huo na koporomoka kwenye viwango vya Fifa hakuna chochote kitakachoharibika kwa sababu kuwa chini katika viwango hivyo siyo sababu ya kushindwa kwao kupata mechi za kirafiki na timu zilizoko juu yao.

"Katika hilo kwa hakika sina wasiwasi na wala haliniumizi kichwa kwani kuwa chini zaidi katika viwango hivyo haituzuii kupata mechi za kirafiki na mataifa mengine ambayo yapo juu, ninachofahamu mimi viwango hivi vya Fifa husaidia shirikisho hilo katika upangaji wake wa makundi wakati wa michuano ambayo Fifa huisimamia.

"Ndiyo maana hata kama ukimuliza kocha yeyote yule duniani kama anavijua vigezo ambavyo Fifa huvizingatia wakati wa upangaji wa viwango hivyo atakuambia sijui, hivyo hali hiyo kwangu sioni kama ni sababu ya kukataa kucheza na timu iliyopi chini yetu," alisema Poulsen.

Alisema mtu yeyote akitaka kujua viwango hivyo havina maana yeyote ni pale timu ya Taifa ya England ambayo ilifanya vibaya katika fainali za kombe la Dunia zilizo fanyika mwaka jana Afrika Kusini na mara baada ya kumalizika kwa michuano hiyo timu hiyo ilikuwa juu zaidi ya Denmarck ambayo ilifanya vizuri katika fainali hizo.

Kuhusiana na maandali ya Stars katika mechi hiyo ya leo, Poulsen alisema kuwa amejipanga vizuri na ana matumaini kuwa ataibuka na ushindi licha ya baadhi ya wachezaji wa Yanga kuchelewa kujiunga na timu hiyo kwa madai kuwa walikuwa hajapata barua ya TFF (Shirikisho la Soka Tanzania) kuombewa ruhusa kujiunga na timu hiyo.

Naye kocha wa timu ya Palestina, Bezaz Moussa aliishukuru Tanzania kwa kukubali kucheza nao kutoka hivyo ni matumaini yao kuwa watafanya vizuri katika mechi hiyo licha ya kuwakosa baadhi ya wachezaji wake nyota ambao wanaishi Ukanda wa Gaza na wameshindwa kujiunga na timu hiyo kutokana na hali ya kisiasa iliyopo kati ya nchi hiyo na Israel.

Tanzania kwa sasa inashika nafasi ya 123 wakati Palestine ipo nafasi ya 178, hivyo endapo Palestina itaibuka na ushindi kwenye mechi hiyo inaweza kupanda juu na Tanzania ikizidi kuporomoka kwenye viwango hivyo.
 
Yanga yawaacha Nurdin, Mwasika


*Kupaa kesho kwenda Ethiopia

Na Elizabeth Mayemba

WACHEZAJI wa Yanga, Nurdin Bakari na Stephano Mwasika wamaeachwa katika kikosi cha
timu hiyo kinachotarajiwa kuondoka kesho kwenda Ethiopia.

Yanga wanatarajiwa kucheza mchezo wa marudiano michuano ya Shirikisho, dhidi ya Dedebits ya Ethiopia kati ya Jumamosi au Jumapili.

Akizungumza Dar es Salaam jana Msemaji wa klabu hiyo, Louis Sendeu alisema Nurdin anasumbuliwa na mguu wakati Mwasika anaumwa malaria, hali itakayowafanya washindwe kusafiri.

"Daktari ametaka wachezaji hawa wapewe muda zaidi wakati wakiendelea na matibabu, hivyo hatuwezi kusafiri na wachezaji ambao wanaumwa," alisema Sendeu.

Alisema kipa namba moja wa timu hiyo, Yaw Berko na beki Ernest Boakye ambao walikuwa majeruhi, wameanza mazoezi mepesi na hali zao zinaendelea vizuri ambao wana uwezekano mkubwa wakasafiri.

Sendeu alisema maandalizi ya mechi hiyo ya marudiano yanakwenda vizuri na Kocha Mkuu mpya, Sam Timbe anazidi kuwapa mbinu mpya wachezaji wake ili kuhakikisha wanashinda mchezo huo.

Alisema uongozi huo bado haujafahamu siku rasmi ya mechi yao kuchezwa na wanaendelea kufanya mawasiliano na wenyeji wao Ethiopia, kupitia Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).

Katika mchezo uliopita ambao ulichezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam timu hizo zilitoka sare ya mabao 4-4. Yanga wakifanikiwa kushinda mchezo huo, raundi inayofuata watakutana na El- Al Hadoud ya Misri.
 
Twanga Pepeta yajibu mapigo


Na Addolph Bruno

UONGOZI wa Kampuni ya African Stars Entertaiment Tanzania (ASET), jana imemtangaza rasmi mwimbaji mahiri Khadija Mnoga 'Kimoteli', kujiunga na
bendi ya Twanga Pepeta akitoa Extra Bongo.

ASET imemtangaza mwimbaji huyo ikiwa ni siku chache tangu, Extra Bongo kuwanyakua baadhi ya wanamuziki wa bendi hiyo, hatua inayoonekana ni katika kulipa kisasi.

Akizungumza Dar es Salaam jana Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka alisema kuondokewa na wanamuziki katika bendi yake ni changamoto kwao na kamwe hawezi kuingia katika malumbani kwa kuwa kampuni yake ina utajiri wa wanamuziki.

Wanamuziki wa Twanga waliochukuliwa na Extra Bongo ni Rogert Hega 'Catapila', Saulo John 'Furgason' na kiongozi wa wanenguaji Hassan Mussa 'Nyamwela'.

Asha alisema yupo katika kazi ya muziki ili kuwasaidia vijana kuwapa ajira kwa kuwa bendi yake ni ya jamii.

"Siwalaumu wanamuziki waliondoka kwa kuwa ni sehemu ya kutafuta maisha, lakini nazishauri bendi zinazochipukia kuiga mfano wa Twanga kufufua vipaji.

Alisema bendi yake kwa sasa ina wanamuziki 32 ambao wanafanya kazi katika sekta tofauti, ambao wana mikataba na wanalipwa vizuri tangu bendi hiyo ilipoanza ikiwana na wanamuziki nane.

Kimobitel baada ya kutambulishwa alimkandia Choki kwa kudai kuwa ameamua kurudi Twanga Pepeta baada ya kuchukizwa na kiongozi huyo Extra Bongo kuikamia Twanga Pepeta badala ya kutoa burudani.

"Sikuwa napata raha nilipokuwa kule licha ya kuwa nilikuwa kiongozi wa bendi, nilitumiwa katika mambo mabaya kama kuwafukuza wanamuziki akiwemo Greyson Semsekwa kitu ambacho kiliniumi sana, mambo mazuri sikishirikishwa na maslahi ndiyo balaa," alisema Kimobitel.
 
Uchaguzi CHAMIJATA wasogezwa mbele


Na Shaban Mbegu

CHAMA cha Michezo ya Jadi Tanzania (CHAMIJATA), kimesogeza mbele Uchaguzi Mkuu wake uliopangwa kufanyika mwishoni mwa
mwezi huu kutokana na ukata wa fedha uliokikumba chama hicho.

Akizungumza Dar es Salaam jana Mwenyekiti wa chama hicho, Mohamed Kazingumbe alisema uchaguzi huo sasa utafanyika Agosti mwaka huu.

Alisema wameamua kufanya hivyo pia, ili kuwapa nafasi wajumbe wa mikoani pamoja na kusubiri chama kijipange kikamilifu kwa ajili ya uchuguzi.

"Tumeamua kusogeza mbele uchaguzi na sasa utafanyika mwezi wa nane, wakati wa mashindano ya kimataifa kwa sababu mpaka sasa baadhi ya maandalizi bado hayajakamilika," alisema.

Wakati huohuo, Kazingumbe aliwaomba wadhamini mbalimbali kujitokeza kudhamini chama hicho, ili kiweze kufikia malengo yake kama walivyojipangia na si kila siku kuendelea kudhamini mchezo wa soka pekee.

"Mara nyingi tumekuwa tukipata ahadi kutoka kwa wafadhili mbalimbali, lakini wamekuwa wagumu kutekeleza pia tunawaomba wabadilike na kudhamini hivi vyama vidogo vidogo, kuliko kila siku kuendelea kufaidisha soka pekee," alisema.
 
Makocha Yanga, Simba wapanga mikakati
Tuesday, 08 February 2011 19:56

Clara Alphonce
MAKOCHA wa Yanga na Simba wameibuka na mbinu tofauti za kukabiliana na wapinzani wao katika michuano ya Afrika, mechi za marudiano mwisho wa wiki.

Kwa upande wake, kocha wa Yanga, Sam Timbe amepangua programu ya mazoezi ya wachezaji wake ili kukabiliana na mechi ngumu ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika dhidi ya Dedebit ya Ethiopia mwishoni mwa wiki.

Akizungumza na Mwananchi jana, Timbe ambaye alianza kibarua juzi alisema kuwa ameanza rasmi kufundisha timu hiyo na amefanya mabadiliko makubwa ya mazoezi kwa ajili ya kuwapa nguvu zaidi wachezaji wake.

Alisema kuwa ameamua kubadilisha ratiba ya mazoezi baada ya kufanya mara mbili kwa siku sasa wanafanya mara moja ambayo ni asubuhi tu ili kuwapa muda wa kupumzika zaidi kwa ajili ya kujiandaa ma mazoezi mengine siku inayofuata.

''Unajua unatakiwa uwape mapumziko wachezaji unapokuwa unatumia nguvu sana katika mazoezi unawapa kazi kubwa wanapokuja kucheza mechi kwani wanakuwa hawana nguvu na kufanya vibaya katika mechi,'' alisema Timbe.

Akizungumzia mchezo wao dhidi ya Dedebit, kocha huyo Mganda alisema kuwa anachokifanya ni kuhakikisha anaiandaa vyema timu yake kwa ajili ya ushindi na si vinginevyo na ndio maana toka aanze mazoezi anazingatia zaidi ufungaji wa mabao.

Yanga ambayo ilicheza vibaya kutoka sare ya mabao 4-4 na Dedebit inatarajia kuondoka nchini kesho ingawa uongozi wake ulisema juzi kuwa hadi sasa hawajui ni siku gani watacheza mchezo wao wa marudiano baada ya Dedebit kukaa kimya bila kuwapa taarifa kuhusu siku ya mchezo huo.

Naye kocha wa Simba, Patrick Phiri amewataka washambuliaji wake kuwa makini katika mchezo wa nyumbani Jumapili ili kuhakikisha wanawatoa nje ya michuano hiyo Elan.

Alisema jana kuwa ndani ya wiki moja amepitia upungufu uliojitokeza katika mchezo uliopita dhidi ya Elan ya Comoro hasa upande wa washambuliaji ili kuhakikisha Jumapili wanaibuka na ushindi mnono.

'' Mechi iliyopita ilikuwa ngumu kwetu kutona na kuwa ugenini ingawa washambuliji wangu walikosa magoli mengi, nimetumia wiki moja kurekebisha kasoro hiyo na kuwapa wachezaji wangu moyo wa kujiamini na mbinu mbalimbali za kuhakikisha tunapata ushindi wa mabao mengi.

'' Tutakuwa tukicheza nyumbani, uwanja wetu na sapoti kubwa ya mashabiki wetu itatusaidia kufanya vizuri ingawa wachezaji wangu wanatakiwa kujituma na kuuchukulia umuhimu mkubwa mechi hiyo kwani ni lazima tushinde ili kuwapa furaha mashabiki.

'' Elan ni wazuri hasa sehemu ya ushambuliji na hata mabeki, hivyo tunapaswa kuwa makini sana katika mchezo huo ili kuhakikisha tunashinda, ninajua ni majeruhi wengi kama Emanuel Okwi,Hillary Echessa, Rashid Gumbo na Joseph Owino, lakini ninaamini baadhi yao watakuwa wamerudi,'' alisema Phiri

Ofisa habari wa klabu hiyo, Clifford Ndimbo alisema kuwa wapinzani wao wamekuwa wa siri kwa kutosema lini wanakuja, lakini wao kwa upande wao wamejiandaa kwa kula kitu kwa ajili ya wageni wao.

Hata hivyo, endapo Simba watafanikiwa kuwatoa Wacomoro hao watakutana na TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DR Congo) huku Yanga wao wakifanikiwa kufuzu watakutana na Al Hoadoud ya Misri.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom