Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #3,101
Stars bado sio riziki
na Mwandishi Maalum, Cairo
TIMU ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars' jana ilizikosa sh milioni 40 baada ya kushindwa angalau kutwaa nafasi ya tano ya mashindano yanayoshirikisha nchi za ukanda wa Bonde la Mto Nile baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-0 dhidi ya Sudan, mchezo uliochezwa mjini hapa.
Taifa Stars na Harambee Stars zilipoteza nafasi ya kunyakua ubingha wa mashindano hayo baada ya kufungwa katika hatua ya nusu fainali ambako fainali za mashindano hayo zimewakutanisha Misri na Uganda katika fainali.
Matokeo ya mchezo wa juzi ya nusu fainali ya michuano hiyo kati ya timu ya Taifa ya Kenya 'Harambee Stars' na Misri 'Farao' uliomalizika kwa Misri kuibuka na ushindi wa mabao 5-1.
Ushindi kama huo iliupata Misri katika mchezo wake wa ufunguzi dhidi ya Tanzania 'Taifa Stars', ambayo yenyewe jana iliadhibiwa kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kusaka mshindi wa tano.
Stars iliyokuwa kundi A ikiwa na timu za Uganda, Burundi na wenyeji Misri.
na Mwandishi Maalum, Cairo
Taifa Stars na Harambee Stars zilipoteza nafasi ya kunyakua ubingha wa mashindano hayo baada ya kufungwa katika hatua ya nusu fainali ambako fainali za mashindano hayo zimewakutanisha Misri na Uganda katika fainali.
Matokeo ya mchezo wa juzi ya nusu fainali ya michuano hiyo kati ya timu ya Taifa ya Kenya 'Harambee Stars' na Misri 'Farao' uliomalizika kwa Misri kuibuka na ushindi wa mabao 5-1.
Ushindi kama huo iliupata Misri katika mchezo wake wa ufunguzi dhidi ya Tanzania 'Taifa Stars', ambayo yenyewe jana iliadhibiwa kwa mabao 2-0 katika mchezo wa kusaka mshindi wa tano.
Stars iliyokuwa kundi A ikiwa na timu za Uganda, Burundi na wenyeji Misri.
PRINT