Michezo: Serikali imezuia Mashabiki wa JKT Tanzania fc kuingia uwanjani kwa mechi zote zilizosalia kweye uwanja wa Jamhuri

Michezo: Serikali imezuia Mashabiki wa JKT Tanzania fc kuingia uwanjani kwa mechi zote zilizosalia kweye uwanja wa Jamhuri

Mkogoti

TAPELI Mkubwa
Joined
May 3, 2020
Posts
2,415
Reaction score
3,924
FB_IMG_15924736623838072.jpg
 
Mashabiki gani hao? Hahaha hizi timu ndogo mashabiki wake ni wa Simba na Yanga. Iwapo itacheza na Simba basi mashabiki wa Yanga wanashangilia wao and vice versa!
 
Ila Hapo Yanga Ndiyo Walioleta Shida
Hatua Kubwa Sana Kuwazuia Mashabiki Wa JKT
Kwenye Mechi Zijazo
 
Hawa mikia ndiyo wanakuwaga na shida mara Wang'oe viti na ndiyo hao walileta fujo uwanjani.
 
Back
Top Bottom