Louis II JF-Expert Member Joined Mar 9, 2018 Posts 3,030 Reaction score 4,647 Jun 18, 2020 #2 Mashabiki gani hao? Hahaha hizi timu ndogo mashabiki wake ni wa Simba na Yanga. Iwapo itacheza na Simba basi mashabiki wa Yanga wanashangilia wao and vice versa!
Mashabiki gani hao? Hahaha hizi timu ndogo mashabiki wake ni wa Simba na Yanga. Iwapo itacheza na Simba basi mashabiki wa Yanga wanashangilia wao and vice versa!
Freyzem JF-Expert Member Joined Jun 29, 2013 Posts 10,120 Reaction score 24,667 Jun 18, 2020 #3 Mashabiki wa vyura ndio waliokwenda kuvuruga, kwani si wangekaa tu nyumbani...
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Jun 18, 2020 #4 Ila Hapo Yanga Ndiyo Walioleta Shida Hatua Kubwa Sana Kuwazuia Mashabiki Wa JKT Kwenye Mechi Zijazo
GAZETI JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 5,286 Reaction score 6,736 Jun 18, 2020 #5 Hapo ni Dodoma ujue, isikuchanganye njano na kijani. Kennedy said: Ila Hapo Yanga Ndiyo Walioleta Shida Hatua Kubwa Sana Kuwazuia Mashabiki Wa JKT Kwenye Mechi Zijazo Click to expand...
Hapo ni Dodoma ujue, isikuchanganye njano na kijani. Kennedy said: Ila Hapo Yanga Ndiyo Walioleta Shida Hatua Kubwa Sana Kuwazuia Mashabiki Wa JKT Kwenye Mechi Zijazo Click to expand...
Babu Kingo JF-Expert Member Joined Nov 2, 2019 Posts 431 Reaction score 164 Jun 18, 2020 #6 Great God said: View attachment 1482309 Click to expand... Je, yupo ambae alikuwa hajui hapo kabla kwamba timu kubwa kama Yanga ikicheza washabiki hawatamudu kujizuia na kuzingatia mashart ya kiafya???
Great God said: View attachment 1482309 Click to expand... Je, yupo ambae alikuwa hajui hapo kabla kwamba timu kubwa kama Yanga ikicheza washabiki hawatamudu kujizuia na kuzingatia mashart ya kiafya???
Iwensanto JF-Expert Member Joined Mar 7, 2019 Posts 1,228 Reaction score 1,157 Jun 18, 2020 #7 Hawa mikia ndiyo wanakuwaga na shida mara Wang'oe viti na ndiyo hao walileta fujo uwanjani.
F11 Member Joined Aug 21, 2019 Posts 51 Reaction score 19 Jun 18, 2020 #8 Hili nchi lina mambo mengi ya ajabu