Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahha! Nimecheka sana Mkuu.Hivi Serikali ikibet ikimpa bayern, Madrid, Barcelona, juve, psg, dortmund halafu ikiweka billion 6 si madogo watapat mikopo.
Ni timu za uhakika kwenye magroup..kama imeshindikana why tusitumie njia hii...
Haha mkuu ..toa mbadala basi in context na michezo
Hahaha uko sahihi lakini labda niweke wazi, nilikusudia uefa league..Mbadala upi mkuu au huu
Madrid : ligi yake ya nyumbani kabla ya mechi iliyotoka kasuluhu mechi mbili mfululizo
Dortmund : Mechi mbili za ligi kuu
zilizopita hajashinda hata moja
Bayern : Huyu naye mechi mbili zilizopita huko Bundesliga hajashinda hata moja
PSG: huyu ana nafuu ila inategemea anakutana na nani sababu hadi sasa ligi ikiisha leo hawez chukua ubingwa wa LIGUE 1
FC BARCELONA HAWA PEKEE NDIO WANAWEZA WAKASHINDA KUTOKANA NA UWEPO WA HIKI KIUMBE CHA AJABUView attachment 421389
HADI HAPO UTAJUA KUWA ULICHOKIONGEA SI SAHIHI NA HAPO NDIPO NINAPOHITIMISHA KUWA HUENDA KUNA UKWEL KATIKA HII HABAR YA GAZETI HILI
View attachment 421391
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sawa mkuu na unashabikia timu gani ili nijue kama uko kwenye kundi la wachacheHahaha uko sahihi lakini labda niweke wazi, nilikusudia uefa league..
Na nikuhakikishie mimi ni mmojawapo wa watanzania wachache kulingana na gazeti..
Nipo kati ya MTU mmja sio wanne [emoji23]
Haha Mimi mtaliano mkuu sipo huko, mbabe "dizaini" wa barca[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] sawa mkuu na unashabikia timu gani ili nijue kama uko kwenye kundi la wachache
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Upo Chelsea mkuuHaha Mimi mtaliano mkuu sipo huko, mbabe "dizaini" wa barca
Conte lol..hope ushanijua na kuamini mm ni MTU mmja
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu nianzie hapo uliposema Chelsea ni mbabe wa BarcelonaMkuu hakika na ww sio kati ya wanne
"Mbabe dizaini" ilimaanisha huwa mechi ngumu..dunia huwa inasimama kwa dakika 90, hata yeye wanajua, sio kama man city na arsenal lol[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mkuu nianzie hapo uliposema Chelsea ni mbabe wa Barcelona
LABDA WAWEZA WEKA HEAD TO HEAD
MAANA NAONA KAMA NYIE NDIO MMETAABISHWA SANA NA BARCA
Hovyo"Mbabe dizaini" ilimaanisha huwa mechi ngumu..dunia huwa inasimama kwa dakika 90, hata yeye wanajua, sio kama man city na arsenal lol
Basi sawa mkuu ila washawapiga 5:0 pia wakawachapa 5:1"Mbabe dizaini" ilimaanisha huwa mechi ngumu..dunia huwa inasimama kwa dakika 90, hata yeye wanajua, sio kama man city na arsenal lol