gimanini
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 1,798
- 1,857
Juzi michezo ya Olympic imeanza rasmi, tumeshuhuhudia nchi nyingi zikiwatuma wanamichezo wengi, lakini sisi Tanzania tumewakilishwa wachezaji wachache, kuna michezo mingi ambayo tunatakiwa kujiandaa na kushinda, mfano kulenga shaba, kurusha mikuki, kisahani, hata mieleka, ni aibu kama watanzania kushindwa kuwakilishwa katika michezo na wanamichezo mbalimbali huko RIO.