Michigan: Donald Trump ameshikwa na Kiwewe Kufuata Mafuriko ya Watu Waliofika Kumlaki Harris, Adai ni picha za AI

Michigan: Donald Trump ameshikwa na Kiwewe Kufuata Mafuriko ya Watu Waliofika Kumlaki Harris, Adai ni picha za AI

Hayo ni maoni binafsi unyanyapaa usiokua na ushahidi wa kujitosheleza
Kama nchi maarufu kama
Wingereza
Ujerumani
Israeli
Zilisha ongozwa na kina mama na wakafanya vizuri ambazo malekani ndizo nchi alizotoka
Huo ni mfumo wa kiarabu usiokubaliana na wanawake
Ni Kauli za kujifariji na kudhani upumbavu waliokaririshwa hapa Tanzania ndio uko huko kwao.

Kwamba Democrats waliosimamisha wagombea wanawake Kwa mara ya 2 hii hawaelewi Hilo ila hao mbumbumbu wa Tanzania na pro Trump ndio wanaelewa sana 😂😂😂😂
 
Tofauti ya Kamala na Samia ni kwamba,hakuna loophole kwa Kamala kama ilivyokuwa kwa Samia,maana najua kabisa kamwe CCM wasingempa Samia kijiti cha kugombea uraisi
Democrats wamempa Kamala maana no way out,lakini uchaguzi wa November mapema2 Trump atakuwa ikulu kupanda mafile kwenye ofisi yake mpya
 
Hayo ni maoni binafsi unyanyapaa usiokua na ushahidi wa kujitosheleza
Kama nchi maarufu kama
Wingereza
Ujerumani
Israeli
Zilisha ongozwa na kina mama na wakafanya vizuri ambazo malekani ndizo nchi alizotoka
Huo ni mfumo wa kiarabu usiokubaliana na wanawake
Sasa unabisha nini wakati Trump alishinda electoral college ila alipitwa kwenye popular votes....
 
Hujui kitu wewe nyumbu wa Trump,kajifunze ule utaratibu vizuri
Yani wewe ni Kilaza mpaka nashangaa...
Trump alishinda electoral college....
Hillary alishinda popular votes....

Ikiwa ina maana Trump alishinda majimba mengi ....ila Hillary alipata kura nyingi za watu....

Unakaa fuvu kubisha usivyojua....Jifunze.
 
Yani wewe ni Kilaza mpaka nashangaa...
Trump alishinda electoral college....
Hillary alishinda popular votes....

Ikiwa ina maana Trump alishinda majimba mengi ....ila Hillary alipata kura nyingi za watu....

Unakaa fuvu kubisha usivyojua....Jifunze.
Utashinda electrol votes bila kushinda popular votes?

MMarekani wa Kibondo unafeli wapi? 😂😂
 
Utashinda electrol votes bila kushinda popular votes?

MMarekani wa Kibondo unafeli wapi? 😂😂
1.
Marekani ina jumla ya Electoral college 538 na ili uwe Raisi unahitaji electoral college 270...

2.
Kila Jimbo la Marekani lina Idadi maalum ya Electoral college....ambapo
Idadi ya Electoral college= Idadi ya senators wa jimbo + Idadi ya wawakilishi katika House of Representatives +Makadirio ya sensa ya watu....

3.
Jimbo la California kwa sasa ndiyo lina Electoral college wengi...54 huku Wyoming likiwa na 3.

4.
i)Kuna majimbo mwenye votes za kumfanya wa kwanza ,atapigiwa kura na electoral college wote.
ii)Kuna majimbo electoral college siyo lazima akupigie kura

5.
Ilimradi umekuwa wa kwanza tu,,,kwa jimbo la California,,,basi unapewa college zote....
Uwe wa kwanza kwa kura 500k na au wa kwanza kwa kura 20M...california itakupa Idadi hiyo hiyo ya college...

6.
Wakati Hillary alishinda majimbo yenye watu wengi kama Pennsylvania na California...mwenzake alijihakikishia anakusanya electoral college za Majimbo mengi...
Trump alivuka threshold ya college 270....lakini alipitwa jura 2Million na Hillary.


Google ujifunze badala ya kuishia kutukana tu humu.
 
1.
Marekani ina jumla ya Electoral college 538 na ili uwe Raisi unahitaji electoral college 270...

2.
Kila Jimbo la Marekani lina Idadi maalum ya Electoral college....ambapo
Idadi ya Electoral college= Idadi ya senators wa jimbo + Idadi ya wawakilishi katika House of Representatives +Makadirio ya sensa ya watu....

3.
Jimbo la California kwa sasa ndiyo lina Electoral college wengi...54 huku Wyoming likiwa na 3.

4.
i)Kuna majimbo mwenye votes za kumfanya wa kwanza ,atapigiwa kura na electoral college wote.
ii)Kuna majimbo electoral college siyo lazima akupigie kura

5.
Ilimradi umekuwa wa kwanza tu,,,kwa jimbo la California,,,basi unapewa college zote....
Uwe wa kwanza kwa kura 500k na au wa kwanza kwa kura 20M...california itakupa Idadi hiyo hiyo ya college...

6.
Wakati Hillary alishinda majimbo yenye watu wengi kama Pennsylvania na California...mwenzake alijihakikishia anakusanya electoral college za Majimbo mengi...
Trump alivuka threshold ya college 270....lakini alipitwa jura 2Million na Hillary.


Google ujifunze badala ya kuishia kutukana tu humu.
Kwa kutumia mfano 1 tuu wa California,utawapata hao 54 bila kushinda Jimbo Hilo?

Unaweweseka Bure,nimekwambia Harris anaongoza majimbo yote muhimu ambayo kama uchaguzi ungefanyika wiki Jana angezoa ushindi wewe unabisha kisa Babu Yako Trump kaishiwa,kete ya umri imegeuka 😂😂
 
Sasa kama Majimbo yote makubwa 3 ,Harris anaongoza huyo Babu yenu ataponea wapi? 😂😂😂😂😂

Kwamba Babu Trump hajui kwamba wapiga kura ni Baraza Hadi aweweseke ila wewe Marekani wa Uvinza ndio unajua sana au? 🤣🤣🤣
Kamala bado yupo honeymoon
 
Kwa kutumia mfano 1 tuu wa California,utawapata hao 54 bila kushinda Jimbo Hilo?

Unaweweseka Bure,nimekwambia Harris anaongoza majimbo yote muhimu ambayo kama uchaguzi ungefanyika wiki Jana angezoa ushindi wewe unabisha kisa Babu Yako Trump kaishiwa,kete ya umri imegeuka 😂😂
Elewa
Ukishinda kwa kura 500k utapewa college 54....na ukishinda kwa kura 2M utapewa college hizo hizo 54....
Sasa Clinton alishinda majimbo machache lakini yana idadi kubwa ya watu ie.California,New York ,Pennsylvania....

Lakini Idadi ya watu hiyo kubwa haija saidia kitu kwani idadi college alizopata ni fixed haziku ongezeka....
images (1).png
 
Anaongoza Kwa wapiga kura wa kawaida popular vote ambao hawaamui nani awe Rais zaidi tu ya kupiga kura, hata Hillary Clinton aliongoza kwa kura zaidi ya million 2 dhidi ya Trump lakini hakuwa Rais kwa sababu wajumbe wa baraza la uchaguzi yaani electrol college hawakumtaka yeye na badala yake walimchagua trump
Sio kweli labda hujui mfumo wao.
 
Back
Top Bottom