mabutu1835
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 909
- 1,425
Kumekuwa na kelele kila kona namna ambavyo vyuo na Taasisi za elimu ya juu nchini vinavyosumbua wale wanaojiunga ili kujiendeleza kielimu kwa ngazi ya shahada ya uzamili (Master degree) na uzamivu (PhD).
Ninaomba tuweke tupeane connections (michongo) ikiwemo scholarship links na vyuo vyenye gharama sawa na hapa Tanzania.
Ili kuwasaidia wenye Nia kuweza kuchangamkia na msaada ili kufanikisha lengo. Tusisahau turudi nyumbani na tuombe kazi katika vyuo hivyo vyenye wakuda ili kuleta mabadiliko.
Mungu atusaidie
Ninaomba tuweke tupeane connections (michongo) ikiwemo scholarship links na vyuo vyenye gharama sawa na hapa Tanzania.
Ili kuwasaidia wenye Nia kuweza kuchangamkia na msaada ili kufanikisha lengo. Tusisahau turudi nyumbani na tuombe kazi katika vyuo hivyo vyenye wakuda ili kuleta mabadiliko.
Mungu atusaidie