LEX STEELE
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 224
- 110
Nijuavyo hawana pesa ya maana labda hizo pesa za post reconstruction wanazopewa na nchi wahisani na vijisenti vya hayo mafuta ya kila kukicha kuzima na kufungua mabomba
sasa je kama mimi nina makampuni ya nje ambayo yako tayari kuingia pale kutakuwa na nafasi ya biashara au vipi?
walipaji wakubwa ni nani? decision making serikalini kwao imekaaje? wanahitaji nini zaidi pale? je rushwa vipi maana mie bila kutoa rushwa huwa hata sijiskiii naona kama vile tayari iko kwenye DNA yangu maana ukishakuwa Mtanzania rushwa should be your middle name.
haya mnao jua michongo ya huko kwa akina Garanga mtujuze.
sasa je kama mimi nina makampuni ya nje ambayo yako tayari kuingia pale kutakuwa na nafasi ya biashara au vipi?
walipaji wakubwa ni nani? decision making serikalini kwao imekaaje? wanahitaji nini zaidi pale? je rushwa vipi maana mie bila kutoa rushwa huwa hata sijiskiii naona kama vile tayari iko kwenye DNA yangu maana ukishakuwa Mtanzania rushwa should be your middle name.
haya mnao jua michongo ya huko kwa akina Garanga mtujuze.