Michoro iliyopo katika medali za Olimpiki

Michoro iliyopo katika medali za Olimpiki

Full 8

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
313
Reaction score
271
Nimekua nikitazama medal za olympic miaka mbalimbali nikagundua nyingine huwa zimechorwa mwanamke mwenye mabawa kama tulivyozoea kuona picha za Malaika zinavyoonekana.
Ningependa kujua ni nini maana ya picha hizo? na kwanini mwanamke mwenye mabawa?
images
brhistory_0818.jpg
olympic-medals-rio-2016.jpg
 
Niliwai kusoma sehemu nyimbuko ya hii michezo....kuna baadh ya michezo kama kupigana ilikuwa lazima mshindan wako afe ndio uwe pingwa....hivyo kushiki ni kufa na kupona

Sijui kama ilikuwa ni kweli maana kila mtu huwa anaandika kutokana utafiti wake...

Ila kiukweli haya mashindano yana historia chafu sana
 
Nimekua nikitazama medal za olympic miaka mbalimbali nikagundua nyingine huwa zimechorwa mwanamke mwenye mabawa kama tulivyozoea kuona picha za Malaika zinavyoonekana.
Ningependa kujua ni nini maana ya picha hizo? na kwanini mwanamke mwenye mabawa?
images
brhistory_0818.jpg
olympic-medals-rio-2016.jpg
Kuna siku niliwahi kusikia Azam kwenye mshikemshike viwanjani asili ya hiyo picha ni ya ugiriki
 
Back
Top Bottom