Michuano hii kinachotakiwa ni point 3 muhimu lakini kocha wa Simba ajiangalie kwa mbinu zake nilishasema kuna kilio kinakuja asipobadilika!

Michuano hii kinachotakiwa ni point 3 muhimu lakini kocha wa Simba ajiangalie kwa mbinu zake nilishasema kuna kilio kinakuja asipobadilika!

Mbinu za uyu kocha ni zile zile abadiliki nilikwishasema kwenye bandiko langu lililopita nilipomfatilia kwenye mechi 5 zilizopita za ligi,,anapokutana na kocha anayecheza kimbinu anapata tabu sana!

Dk zote 90 ukiondoa goli la penalty ambalo na lenyewe lilisababishwa na makosa binafsi ya beki wa Bravos akuna cha maana walichofanya Simba kimbinu!

Kocha wa Bravos na timu yake wajilaumu wao wenyewe kutoondoka na alama Leo hii nafikiri kukosa uzoefu kumechangia kukosa matokeo wametengeneza nafasi ikiwemo mkwaju wa penalty wameshindwa kutumia!

Lakini pia kwa anayeangalia Mpira kiufundi na sio matokeo nafikiri atakuwa ameona mipira inayopigwa katikati ya mabeki wa Simba imekuwa inawapa shida kubwa sana na sio kwenye mechi hii tu bali kwenye mechi zote walizocheza karibu 5 tatizo Limekuwa ni hilo!

Angalia upangaji wa kikosi wa Simba na sub zake utapata majibu!

Soma Pia: Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024

Uwezi kuwa unategemea magoli ya penalty tu ndio yakuokoe Kuna siku utopata iyo penalty utafanyaje!

Second half Simba inakata upepo zile beki za kulia na kushoto kapombe na Tshabalala ni majanga inawezekana ni Umri umewatupa mkono lakini wanakata moto sana!

Tunaendelea kuwakumbusha kocha wenu asipobadilika kimbinu Kuna jambo litawakuta muda sio mrefu!
Kila mtu amshauri kocha wa timu yake kwa kuzingatia matokeo 😂😂😂
 
Mbinu za uyu kocha ni zile zile abadiliki nilikwishasema kwenye bandiko langu lililopita nilipomfatilia kwenye mechi 5 zilizopita za ligi,,anapokutana na kocha anayecheza kimbinu anapata tabu sana!

Dk zote 90 ukiondoa goli la penalty ambalo na lenyewe lilisababishwa na makosa binafsi ya beki wa Bravos akuna cha maana walichofanya Simba kimbinu!

Kocha wa Bravos na timu yake wajilaumu wao wenyewe kutoondoka na alama Leo hii nafikiri kukosa uzoefu kumechangia kukosa matokeo wametengeneza nafasi ikiwemo mkwaju wa penalty wameshindwa kutumia!

Lakini pia kwa anayeangalia Mpira kiufundi na sio matokeo nafikiri atakuwa ameona mipira inayopigwa katikati ya mabeki wa Simba imekuwa inawapa shida kubwa sana na sio kwenye mechi hii tu bali kwenye mechi zote walizocheza karibu 5 tatizo Limekuwa ni hilo!

Angalia upangaji wa kikosi wa Simba na sub zake utapata majibu!

Soma Pia: Full time: Simba SC 1 - 0 Bravos do Maquis FC | CAF CC | Benjamin Mkapa Stadium | 27-11-2024

Uwezi kuwa unategemea magoli ya penalty tu ndio yakuokoe Kuna siku utopata iyo penalty utafanyaje!

Second half Simba inakata upepo zile beki za kulia na kushoto kapombe na Tshabalala ni majanga inawezekana ni Umri umewatupa mkono lakini wanakata moto sana!

Tunaendelea kuwakumbusha kocha wenu asipobadilika kimbinu Kuna jambo litawakuta muda sio mrefu!
Kila MTU ashinde mechi zake, Utopwax
 
Back
Top Bottom