Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Mbona kama una maumivu! Hayo mambo yapo sana tu. Na hakuna jipya hapo. Hata Somalia juzi kati tu hapa ilicheza michezo yake miwili na Taifa Stars kwa Mkapa.Nimecheka sana kusikia eti Zalan wwmeomba kucheza gemu zao zote hapa bongo, mchezo wa kwanza ukipigwa chamazi...