Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unafikiri jina limekaa bure mkuu? Jamaa ndio mdhamini mkuu wa hayo mashindano. Ilichukua muda mrefu kumpata mdhamini,ndo PK akajitokeza kuokoa jahazi.Wakati dunia ya leo inapinga udikteta bado nchi za Africa Mashariki na ya kati zinaukumbatia kufa na kupona !
Ni nani hapa jf na kwingineko asiyeufahamu udikteta wa Kagame , kwanini mmenyamazia michuano ya vilabu vya nchi hizi kutukuza jina lake ?
Natoa wito kwa Musonye na viongozi wengine wa cecafa kuondoa jina la Dikteta Kagame haraka sana na kurejesha jina halisi la michuano hii , njaa isiwe kisingizio .
Naomba kuwasilisha
Mzee muda wote unawaza siasa wengine haturi hizo siasa zinazowalisha nyinyi.Wakati dunia ya leo inapinga udikteta bado nchi za Africa Mashariki na ya kati zinaukumbatia kufa na kupona !
Ni nani hapa jf na kwingineko asiyeufahamu udikteta wa Kagame , kwanini mmenyamazia michuano ya vilabu vya nchi hizi kutukuza jina lake ?
Natoa wito kwa Musonye na viongozi wengine wa cecafa kuondoa jina la Dikteta Kagame haraka sana na kurejesha jina halisi la michuano hii , njaa isiwe kisingizio .
Naomba kuwasilisha
Ugaidi wa dunia unafadhiliwa kwa fedha nyingi mno lakini unapigwa vita kila kukicha , njaa isituvue nguoUnafikiri jina limekaa bure mkuu? Jamaa ndio mdhamini mkuu wa hayo mashindano. Ilichukua muda mrefu kumpata mdhamini,ndo PK akajitokeza kuokoa jahazi.
Mitizamo yetu ya kisiasa isitufanye tuwe vipofu wa baadhi ya mazuri ya PK.
Siasa ni maisha , ondoeni jina la Dikteta Kagame kwenye soka letuMzee muda wote unawaza siasa wengine haturi hizo siasa zinazowalisha nyinyi.
Ni maisha kwenu nyinyi mnaokula kupitia siasa na chaguzi.Siasa ni maisha , ondoeni jina la Dikteta Kagame kwenye soka letu
Cecafa ni yetu , tuiokoe dhidi ya madiktetaAidha jina lilitoka kwa mkataba ama cecafa wametoa kwa heshima na shukrani kwa mh PK
Kagame ndio mdhamini unategemea nini..
"Baniani mbaya kiatu chake dawa"
Ligi kuu tanzania ilikuwa inaitwa vodacom premier league kipindi voda mdhamini
Uingereza huko carling cup aimekuwa carabao cup
Ligi yao ilikuwa inadhaminiwa na Barclays nadhani jina la ligi ulikuwa unalijua sasa haina mdhamini inaitwa EPL
Nadhani kule COSAFA
Wana michuano inaitwa CASTLE
S.A kuna michuano inaitwa nedbank
Etc
Hakuna jinsi labda aje mdhamini mwingine au kagame mwenyewe achague jina jingine, maana CECAFA hawawezi kubadili jina kienyeji tu.
Nenda kadhamini wewe ambae sio dikteta ili iitwe jina lako.Cecafa ni yetu , tuiokoe dhidi ya madikteta
Tumpige vita dikteta mbowe kwanza ndo tuhamie Rwanda.Cecafa ni yetu , tuiokoe dhidi ya madikteta
Ushauri wako nimeupokea kwa mikono miwiliWe pimbi, weka mpunga wa udhamini mezani tubadili jina tuweke lako, hata la mkeo au la mbwa wako ukitaka tutaweka tu
nimekusikia mkuuNenda kadhamini wewe ambae sio dikteta ili iitwe jina lako.
Mkuu PK hana dogo atatuma majasusi wake wakudedishee!Wakati dunia ya leo inapinga udikteta bado nchi za Africa Mashariki na ya kati zinaukumbatia kufa na kupona !
Ni nani hapa jf na kwingineko asiyeufahamu udikteta wa Kagame , kwanini mmenyamazia michuano ya vilabu vya nchi hizi kutukuza jina lake ?
Natoa wito kwa Musonye na viongozi wengine wa cecafa kuondoa jina la Dikteta Kagame haraka sana na kurejesha jina halisi la michuano hii , njaa isiwe kisingizio .
Naomba kuwasilisha
Kagame anatakatisha pesa kupitia michezoWakati dunia ya leo inapinga udikteta bado nchi za Africa Mashariki na ya kati zinaukumbatia kufa na kupona !
Ni nani hapa jf na kwingineko asiyeufahamu udikteta wa Kagame , kwanini mmenyamazia michuano ya vilabu vya nchi hizi kutukuza jina lake ?
Natoa wito kwa Musonye na viongozi wengine wa cecafa kuondoa jina la Dikteta Kagame haraka sana na kurejesha jina halisi la michuano hii , njaa isiwe kisingizio .
Naomba kuwasilisha
yeye mwenyewe kakalia kuti kavu , siku zake zinahesabika mno !Mkuu PK hana dogo atatuma majasusi wake wakudedishee!