Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wakati dunia ya leo inapinga udikteta bado nchi za Africa Mashariki na ya kati zinaukumbatia kufa na kupona !
Ni nani hapa jf na kwingineko asiyeufahamu udikteta wa Kagame , kwanini mmenyamazia michuano ya vilabu vya nchi hizi kutukuza jina lake ?
Natoa wito kwa Musonye na viongozi wengine wa cecafa kuondoa jina la Dikteta Kagame haraka sana na kurejesha jina halisi la michuano hii , njaa isiwe kisingizio .
Naomba kuwasilisha
Ni nani hapa jf na kwingineko asiyeufahamu udikteta wa Kagame , kwanini mmenyamazia michuano ya vilabu vya nchi hizi kutukuza jina lake ?
Natoa wito kwa Musonye na viongozi wengine wa cecafa kuondoa jina la Dikteta Kagame haraka sana na kurejesha jina halisi la michuano hii , njaa isiwe kisingizio .
Naomba kuwasilisha