Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 373
- 829
Michuano ya CHAN ambayo ilipangwa kuanza kututuma vumbi kuanzia mwezi ujao Sasa imepigwa Danadana Mpaka mwezi August mwaka huu.
Miongoni mwa sababu za Ratiba hiyo ni kutokukamilika kwa baadhi ya miundombinu kwa nchi ya Kenya, Tanzania na Uganda.
Pia, CAF wametafuta Muda ambao mashindano yote yamemalizika katika Bara la Afrika.
Hii itapelekea wachezaji wengi kutokuwa na Muda wa kupumzika na hata Ligi kuu Tanzania Bara inaweza kurejea hivi karibuni.
Umepokeaje taarifa hii??
Miongoni mwa sababu za Ratiba hiyo ni kutokukamilika kwa baadhi ya miundombinu kwa nchi ya Kenya, Tanzania na Uganda.
Pia, CAF wametafuta Muda ambao mashindano yote yamemalizika katika Bara la Afrika.
Hii itapelekea wachezaji wengi kutokuwa na Muda wa kupumzika na hata Ligi kuu Tanzania Bara inaweza kurejea hivi karibuni.
Umepokeaje taarifa hii??