Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Mwaka huu huuEe saivi wale tuliowapiga 5 wajindae tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka huu huuEe saivi wale tuliowapiga 5 wajindae tena
Waafrica tabu sana. Kweli sie bado wakutawaliwa tuuMichuano ya CHAN ambayo ilipangwa kuanza kututuma vumbi kuanzia mwezi ujao Sasa imepigwa Danadana Mpaka mwezi August mwaka huu.
Miongoni mwa sababu za Ratiba hiyo ni kutokukamilika kwa baadhi ya miundombinu kwa nchi ya Kenya, Tanzania na Uganda.
Pia, CAF wametafuta Muda ambao mashindano yote yamemalizika katika Bara la Afrika.
Hii itapelekea wachezaji wengi kutokuwa na Muda wa kupumzika na hata Ligi kuu Tanzania Bara inaweza kurejea hivi karibuni.
Umepokeaje taarifa hii??View attachment 3201887
Mwaka huu tumecheza mechi mbili tuMwaka huu huu
AFCON ndio 2027Sikuelewa hapo. Najua Tanzania+Kenya+Uganda wanaandaa CHAN 2027, imekuwaje ihairishwe kutoka 2024 ilhali ilikuwa imepangwa kufanyika 2027? Au wanazungumzia prelimineries ambazo zinafanyika nchi mbalilmbali za Afrika, siyo Tanzania+Kenya+Uganda tu.
AsanteAFCON ndio 2027
Chan ndio 2024/5
Moja ya vigezo ili tufanye afcon ilikuwa lazima tuandae chan