Michuano ya CHAN yasogezwa mbele hadi mwezi August, 2025

Waafrica tabu sana. Kweli sie bado wakutawaliwa tuu
 
Ngoja tusubiri press release ya bodi ya ligi kesho, najua ligi kuu inaendelea kuanzia J3
 
Sikuelewa hapo. Najua Tanzania+Kenya+Uganda wanaandaa CHAN 2027, imekuwaje ihairishwe kutoka 2024 ilhali ilikuwa imepangwa kufanyika 2027? Au wanazungumzia prelimineries ambazo zinafanyika nchi mbalilmbali za Afrika, siyo Tanzania+Kenya+Uganda tu.
 
Sikuelewa hapo. Najua Tanzania+Kenya+Uganda wanaandaa CHAN 2027, imekuwaje ihairishwe kutoka 2024 ilhali ilikuwa imepangwa kufanyika 2027? Au wanazungumzia prelimineries ambazo zinafanyika nchi mbalilmbali za Afrika, siyo Tanzania+Kenya+Uganda tu.
AFCON ndio 2027
Chan ndio 2024/5

Moja ya vigezo ili tufanye afcon ilikuwa lazima tuandae chan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…