Michuano ya Kimataifa wawili washanyolewa bado mmoja yupo njiani, na atabaki mmoja anayejielewa

Michuano ya Kimataifa wawili washanyolewa bado mmoja yupo njiani, na atabaki mmoja anayejielewa

Katika hoja zote umetoka na hoja ya kiswahili tu basi, jibu hoja usifanye mangungu aonekane alikuwa sahihi kukataa kujiuzulu maana wanachama wake na mashabiki anaowangoza wengi wao akili ni Kama zako, hoja ujibiwa kwa hoja na sio mipasho ya waimba taarabu!
Sijaiona hoja.Nimeona vichekesho tu.Yanga wenye akili na wewe ulihesabiwa kwani?
 
Nikukumbushe wee uto kipindi yanga wanachukuwa ubigwa mara 3 mfurulizo Simba walienda Azam wakachukuwa wachezaji 4 kina manula wakaenda mtibwa wakachukuwa 3 kina kichuya
Na wakachukuwa ubingwa na kimataifa walifanya vizury mpaka sasaivi Tz tupeleka tim 4 kimataifa
 
Mkiambiwa utopoloni wenye akili ni wawili tu muwe mnakubali. Ulichokiandika na ulichokichambua ni pumba tupu.
 
Back
Top Bottom